JF Scheduled Maintenance - October 2020

JF Scheduled Maintenance - October 2020

Akhsante kwa mabadiliko haya yenye Tija na hongereni pia JAMIIFORUMS kwa hili. Nimeikubali sana tu 'Signature' yako JF Founder Maxence Melo.
 
======
UPDATE: Marekebisho yamefanywa Oktoba 6, 2020 around 23:00hrs na yamechukua dakika 15
======

Wakuu,

Kuna maboresho yanafanyika chini kwa chini, search functionality inaweza isifanye kazi vema kwa siku moja au mbili (tangu jana).

Tunatarajia hadi kesho muda kama huu mambo yatakuwa yamerejea sawa.

Baada ya marekebisho kadhaa, kutakuja features ndani ya JF na urahisi na usalama zaidi wa matumizi ya platform yetu.

Tunafanya haya ili kuendana na teknolojia ya habari na usalama wa mitandao.

Mtarajie mabadiliko gani? Yatajionyesha, si kwenye mwonekano bali kwenye User Experience. Wenye uoni hafifu wamefikiriwa na sasa watazidi kuitumia JF bila vikwazo.

Tunashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano mnaotupa.
Big up Maxence.
 
Tunatumia visoma scree yan screen readers. Hapa simu au computa yako inatumia text to speach engine. Hii hutoa sauti ambayo hutuwezesha kujua nini kinafanyika katika kifaa hicho iwe simu au komputa.A screen reader is a form of assistive technology that renders text and image content as speech or braille output. Screen readers are essential to people who are blind, and are useful to people who are visually impaired, illiterate, or have a learning disability.
na katika kuandika kama hivi unavyoandika unaandikaje mkuuu?
 
======
UPDATE: Marekebisho yamefanywa Oktoba 6, 2020 around 23:00hrs na yamechukua dakika 15
======

Wakuu,

Kuna maboresho yanafanyika chini kwa chini, search functionality inaweza isifanye kazi vema kwa siku moja au mbili (tangu jana).

Tunatarajia hadi kesho muda kama huu mambo yatakuwa yamerejea sawa.

Baada ya marekebisho kadhaa, kutakuja features ndani ya JF na urahisi na usalama zaidi wa matumizi ya platform yetu.

Tunafanya haya ili kuendana na teknolojia ya habari na usalama wa mitandao.

Mtarajie mabadiliko gani? Yatajionyesha, si kwenye mwonekano bali kwenye User Experience. Wenye uoni hafifu wamefikiriwa na sasa watazidi kuitumia JF bila vikwazo.

Tunashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano mnaotupa.

Kwenye search yenu naomba kutoa ombi kiongozi, mtu anapo-search tunaomba itokee drop down menu inayoleta suggestions ya maneno au threads anazotafuta mtumiaji tafadhali.

Sjui nimeeleweka vizuri mkuu...?
 
======
UPDATE: Marekebisho yamefanywa Oktoba 6, 2020 around 23:00hrs na yamechukua dakika 15
======

Wakuu,

Kuna maboresho yanafanyika chini kwa chini, search functionality inaweza isifanye kazi vema kwa siku moja au mbili (tangu jana).

Tunatarajia hadi kesho muda kama huu mambo yatakuwa yamerejea sawa.

Baada ya marekebisho kadhaa, kutakuja features ndani ya JF na urahisi na usalama zaidi wa matumizi ya platform yetu.

Tunafanya haya ili kuendana na teknolojia ya habari na usalama wa mitandao.

Mtarajie mabadiliko gani? Yatajionyesha, si kwenye mwonekano bali kwenye User Experience. Wenye uoni hafifu wamefikiriwa na sasa watazidi kuitumia JF bila vikwazo.

Tunashukuru kwa uvumilivu na ushirikiano mnaotupa.
Mkuu Maxence Melo, hongereni kwa kazi njema ya kuboresha platform hii muhimu.

Nakukumbusha tena niliomba mtubadilishie font colour pale mtu anapokuwa quoted user name inakuwa faint sana, inasomeka kwa tabu.
 
Nikushukuru mkuu kwa maelezo yako mujarabu kabisa.

Binafsi mimi ni mtu asiyeona. Unayosema ni sahihi kabisa. Nimekuwa nikitumia mtandao huu kwa zaidi ya miaka sita kwa ID tofauti.

Nawapongeza sana maana kwa Tanzania ndio site na App ambayo iko accessible kwetu watu tusioona. Ni tatizo kubwa sana hapa Bongo masuala ya kiteknolojia tunasahaulika sana. Ila ninyi mnakuwa makini na hata kama tukiwasilisha tatizo yetu humu hushughulikiwa haraka.
mkuu samahani lakini

inamaana ww huoni kabisa yani ni kipofu ama una uono hafifu yani unaona lakini kwa mbaali

na je kama hauoni kabisa ni njia gani unatumia kusoma hizi nyuzi humu ndani vilevile na kuchangia mada husika

samahani lakini ningependa kujua hilo kama hutojali
 
Samahanini wakuu

Nikitaka kubadili jina naenda wapi ili niweze kupata access ya kuchange jina

Asanteni
 
mkuu samahani lakini

inamaana ww huoni kabisa yani ni kipofu ama una uono hafifu yani unaona lakini kwa mbaali

na je kama hauoni kabisa ni njia gani unatumia kusoma hizi nyuzi humu ndani vilevile na kuchangia mada husika

samahani lakini ningependa kujua hilo kama hutojali
Ndiio sioni kabisa. Jinsi navyoitumia jf fuatilia post yangu no67 nahis nimetoa majibu. Matumizi ya jina kipofu sio sahihi. Tumia jina asiyeona.
 
Kwa nini post zinazo husu Mgombea wa CCM hasa negative zinaondolewa ila zina zo husu Mgombea wa Chadema hasa negative zinaachwa?
Hilo swali wakikujibu ni tag.
Hili jukwaa la jf nilakuponda ccm na serikali yake, na kusifia chadema na kundi lake, ndio maana wadau muhim wte wameanza kujiondoa jf.
 
Hatujapewa tamko kama ni maagizo toka juu au ni nini. Kila uzi wenye mambo yanayohusu Chadema leo kama kuna Video haifunguki. Inakuwa kama ipo broken. Ila nyingine zinafunguka kama kawaida
 
Mkuu wangu,

Hawa hasa ndio tunawalenga. Kwenye matengenezo yetu tunajaribu kuboresha zaidi namna ya kuweka attachments ili wadau wanapofanya hivyo iwe rahisi kwa wenzetu.

KWA WENGINE:
JF ni tovuti ambayo kwa Tanzania imekuwa ya mfano kwa kuwapa fursa wenye changamoto ya kuona (wengine huwaita vipofu) ili nao washiriki kwenye mijadala anuai.

Mnaombwa mnapoweka attachments mziweke kama “full attachments” na mkiweza tafadhali wekeeni na caption ili wenzetu wenye changamoto ya kuona au wenye uoni hafifu washiriki nasi.

Technologically tumejitahidi kufanya inclusion lakini wadau huenda hamkujua hili hivyo kuwapa wakati mgumu wenzetu kusoma attachments.

Picha zikiwa attached JF wenzetu bado wanaweza kujua lakini caption zinawarahisishia sana.

Sina hakika kama mdau niliyemnukuu ana changamoto hii lakini ni “wake up call” kwetu sote kuwajali na kuwarahisishia kushiriki nasi.

Asante
Mkuu Maxence Melo hilo jina "vipofu" is no longer in use,tumia "mlemavu wa macho" au "mwenye shida ya uoni"
 
Back
Top Bottom