JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

Sana mkeo.

Ooh yeah. Kizuri kula na mwenzio

Pita zako

Nimzidi mara ngapi?

hahaa

namba moja haiwezi kuwa kumi utabaki wa pembeni hivi yule Desert Storm umemvumbulia wapi maana ana kasi ya marathon lol
 
Last edited by a moderator:
Rich paul...whr are u? I mc u ghafla! XOXO!
 
Huu kweli udaku spesheli...teh teh!!!
 
Huu kweli udaku spesheli...teh teh!!!

mkuu umeadimika sana chit chat, mambo vipi lakini?
juzi nilikuwa natoka Singida kuja Arusha kuna kijiji kati ya Kateshi na Babati kinachoitwa measkron..
vipi ndiyo anakotokea wife wako?
 
Last edited by a moderator:
mkuu umeadimika sana chit chat, mambo vipi lakini?
juzi nilikuwa natoka Singida kuja Arusha kuna kijiji kati ya Kateshi na Babati kinachoitwa measkron..
vipi ndiyo anakotokea wife wako?
uran sie wazima kabisa hapo ndo kijijini penyewe mkuu, mzima lakini wewe?
 
Last edited by a moderator:
uran sie wazima kabisa hapo ndo kijijini penyewe mkuu, mzima lakini wewe?

niko poa, safi sana.
niliona kibao nikakumbuka sana,
kidogo nisimame nikisalute.
si unajua tena pale barabara sasa iko safi..
 
Last edited by a moderator:
mkuu umeadimika sana chit chat, mambo vipi lakini?
juzi nilikuwa natoka Singida kuja Arusha kuna kijiji kati ya Kateshi na Babati kinachoitwa measkron..
vipi ndiyo anakotokea wife wako?

Mkuu nipo nipo, huku huwa naja kwa kuibia si kama zamani...

Haswa huko ndipo atokapo mwandani wangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…