Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Nimesema wapi kuwa Chadema walijua? Sasa kama hata kwenye kitu simple kama hiki unajaribu kukipotosha, hamna haja ya kuadiliana kitu na wewe.

Amandla...
Umesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?
 
Umesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?
Asante kwa ku clarify.
Nikisema CDM au Chadema namaanisha chama ambacho Mbowe alikuwa Mwenyekiti wake. Hapa nilikuwa nauzungumzia uongozi wa CDM. Kama jambo linamhusu Mbowe peke yake nitasema Mbowe.

Amandla...
 
Kiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani alisaini mchakato wa wao kuingia bungeni huku akisema yupo tayari kuwapokea wabunge hao .

Kauli ya Tundu Lissu ilisema:

"Katibu mkuu John Mnyika hawajahi kusign fomu na sheria inasema lazima zisigniwe na katibu mkuu za kwao zilisainiwa na nani na aliyekuwa gerezani ilikuwaje akatoka gerezani akaenda kuwapa kuwa mbunge ,kama wanakuja waje wafungue siri za mioyo yao wanataka suluhu na chama waje na mioyo mieupe na tuichunguze ni mieupe kweli wasije tuu kwa sababu ya uchaguzi umekaribia " Lissu

Lakini kwa upande wake Halima Mdee Kupitia mtandao wa X alichukua kipande hicho cha sauti ya Mwenyekiti wao na kutuma alama ya kucheka

Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama


Kifupi halima kahaidiwa viti na mboga mboga kwa muhula mwingine.
 
Ndugai asingeweza kufichua hizo fomu kwasabb Mbowe aliyezisaini ni ccm mwenzao
Mbowe aliwaita Nairobi akala pesa zao na pia baaadhi akapiga Rushwa ya ngono akina Esta matiko na mdee ndiyo maana mdee huwa anamchukia Lisu kwa kiwango cha kutisha na hata ile kamati ya Roho mbaya iliundwa na mbowe kwa ajili ya kumdhoofisha Lisu iliongozwa na mdee ambaye alikuwa kinara wa kugawa pesa kwa Wajumbe wamchague mbowe
 
  • Mshangao
Reactions: G4N
Asante kwa ku clarify.
Nikisema CDM au Chadema namaanisha chama ambacho Mbowe alikuwa Mwenyekiti wake. Hapa nilikuwa nauzungumzia uongozi wa CDM. Kama jambo linamhusu Mbowe peke yake nitasema Mbowe.

Amandla...
Wabunge covid 19 walikuwa mali binafsi ya mbowe kwani Ruzuku ya milion 100 kila mwezi iliishia mifukoni kwa mbowe ndiyo maana chama hakina pesa
 
Mdee huwa hampendi Lisu toka kitambo aliwahi kumpiga lisu kibao kwa kuhoji uhalali wao kwenye vikao vya ndani ya chama, Mdee ni hawala wa mbowe ni mnufaika wa pesa alizokwapua Mbowe toka kwenye chama ana kinyongo kikubwa na Lisu na yupo tayari kwa lolote baya ili mradi Lisu na Heche wafeli kuongoza chama , wanapaswa wamuundie tume ya siri kumchunguza mdee kwani chuki yake kwa Lisu inazidi kukua na anaweza kufanya lolote baya mda wowote
 
Mnataka watu wawe loyal kwa Lissu au kwa chama? Si ndio mwanzo wa uchawa?

Amandla...
Ubaya wa mdee kwa Lisu haujaanza jana wala juzi ni ubaya wa mda mrefu sana, mdee anamchukia Lisu kwa kiwango cha kutisha sana na ndiyo maana Mbowe alimteua kuwa mwenyekiti wa kamati ya Roho mbaya kumdhoofisha Lisu kipindi cha kampeni na kuvuna pesa nyingi toka kwa mbowe ingawa pesa nyingi kala mwenyewe zingine kaficha anakojua ili azitumie kuwahujumu lisu na Heche baadae
 
Heche na Lisu wakae Ofisini kwa umakini mkubwa na wasimame na mungu zaidi kwani vita ya mdee na kikundi chake bado ipo na inazidi kuongezeka kama m23 wanavyosonga mbele kule jimboni Goma Nchini Congo, mdee ni wa kumchunga kumchunguza saa 24 kila siku vinginevyo atawavuruga uongozi mpya mpaka washangae
 
Walishafukuzwa siku nyingi mbona
Bado wanaota kurejea wanakaa vikao mara kwa mara kujadili jinsi ya kuwavuruga uongozi mpya, pia wamebuni mbinu ya kula pesa za wale wote wasioupenda uongozi mpya, waebubini mradi wa kula pesa kwa visingizio vya kuudhofisha uongozi mpya
 
Nadhani hauelewi maana ya neno kukiri au admit. Kukiri ina maana kuwa kuna tuhuma tayari ambazo mnataka wazikubali. Hiyo sio haki. Hata mahakamani una haki ya kukiri kosa au kukataa. Hapa ina maana hamtafuti haki bali kuwadhalilisha.

Ni yale yale ya plea bargain.

Amandla...
Covid 19 wamekupa Rushwa hadi umeamua kuwatetea pasipo kujali kuwa wana makosa mengi ya kujibu ikiwemo kusainiwa form kienyeji na mbowe kule Nairobi na kuwa wanagawana na mbowe ile Ruzuku ya kila mwezi
 
Nichutame kwa kosa lipi?

Seriously? Ndugai awe na form zinazoonyesha ushiriki wa Mbowe katika njama hiyo halafu atazificha kwa sababu itajulikana kuwa alihusika katika mpango mzima! Tangu lini Ndugai amejali kuhusu public opinion? And worse, mnadhani Mbowe au mtu wake mwingine ni stupid kiasi ya kusaini form ambazo anajua zinaweza kutumika kumchafua?

Legitimacy inapatikana kwa uwepo wa wale wabunge na sio form. Walitakiwa wabunge kutoka Chadema ambao watakubali kuapishwa hata bila kuwa na form. Na ndivyo ilivyokuwa. Wakina Halima wameendelea kuwa wabunge bila kuonekana form au mtoto wa form.


Asiyekubali kushindwa si mshindani. Mimi naheshimu uamuzi wa waliompigia kura Lissu lakini bado naamini kuwa hafai kuwa Mwenyekiti. Muda ndio utakaoonyesha kama niko sahihi au waliompigia kura walipatia.

Aidha, sisi tulichokataa ni mpango wenu wa kutaka mgombea wenu apewe Uenyekiti kwenye kisahani. Tulisema ashindane badala ya kutaka Mbowe amuachie nafasi. Kashindana na kashinda. Tofauti na mlivyotaka kushindana kwake kumempa yeye na chama chake credibility na legitimacy. Hata Lema amekiri hilo.

Naelewa sana ninachosema. Hakuna mpinzani wake dhati anaweza kuhamia kwa mtesinwake sababu tu anaona kuwa anaonewa kwa kunyimwa nafasi ambayo anaamini aliandikiwa kuwa yake. Wapinzani wa dhati walihamia vyama vingine au walikaa pembeni. Hao unaowatetea, sio tuu walihamia upande wa waliokuwa wanawatesa bali walijiungq nao katika kukibomoa chama chao cha awali. Hao ni watu wetu wenye sense of entitlement na uhusiano ambao ni transactional.
Mimi mpaka sasa hivi huo usaliti wa wakina Halima hata siuoni. Hawa mnaowachukiq hata siku moja hawajakitukana au kukichafua chama chao cha awali kama ambavyo wengi wamefanya. Hawajasaliti principle za chama chao. Na inawezekana na wao walifanya hivyo baada ya frustration na chama chao lakini tofauti na wakina Msigwa waliendelea kukiheshimu.

Kwani nani amesema wasiombe msamaha? Ninachopinga mimi ni kuweka masharti ya kijinga ya kuwataka kukiri na kuwataja waliohusika katika huo mnaouita usaliti. Naona attitude hiyo ni insulting kwa kuamini kuwa wanawake kama Halima hawawezi kufanya uamuzi bila kushirikisha mwanaume.

Aidan alikaidi agizo la chama chake kuwa haitakuwa na mbunge bungeni kwa sababu hawqutambui uchaguzi mzima. Ni sababu hiyo hiyo iliyowafanya wasipeleke majina ya wabunge wa viti maalum.
Aidan, ni perseverence ndio pengine imewafanya watu waamue asifukuzwe na hapa mwishoni kumkumbatia.

Kwa taarifa yako niliamua kutojibu chochote utakachoweka humu kwa sababu sikubaliani na lugha unazotumia. Nimeijibu hii kwa sababu tumekuwa pamoja humu ndani kwa muda mrefu.

Aidha, katika muda wote huo haukuwahi kutumia maneno ya shombo hata pale tulipotofautiana. Isingekuwa hivyo ningekuweka katika ignore list yangu. Na nikihisi tu kuwa unachotaka ni kubishana tuu na sio kubadilishana mawezo nitakuweka kwenye hiyo list. Umeanza kunichosha.

Amandla...
Ndungai alifanya kwa uoga kumuogopa magufuli na pia alikuwa kwenye mgao wa ile Ruzuku ya milion 100 kila mwezi
 
Na walipomuuliza aliwajibu nini? Mimi binafsi naamini kuwa Mbowe anajua sababu ( after the fact) zilizowaanya Halima na wenzake wafanye walichofanya. Na ana sympathise nao. Na nina amini kuwa hakuziweka hadharani kwa sababu alijua zikitoka zitawaharibia sana wakina Halima. Naamini pia kuna uwezekano kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu kupita wakina Halima wataeleza kwa nini walifanya walichofanya.

CDM sio wajinga. Walijua mpango mzima ni kuhakikisha wakina Halima wanaendelea kuwepo Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata. Kuendelea kujishughulisha na ile kesi ingekuwa upotezaji wa resources adimu walizokuwa nazo.

Amandla...
Covid 19 wakiongozwa na mdee waliweza kuleta Ruzuku ya milion 100 kila mwezi, lakini hiyo pesa ilimezwa na mbowe mwenyewe akawa anagawana nao na pia ndungai kwa Siri, uwepo wa uongozi mpya utawafanya wakose mgao na ndiyo maana mdee bado ana kinyongo cha kutisha sana
 
Umesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?
Zamani chadema ilikuwa saccos duka kibanda biashara binafsi ya mbowe , ndiyo maana pesa zote ziliishia mfukoni kwake, viongozi wengine hawakuwa na mamlaka idara ya pesa licha ya ushiriki wao ktk kukijenga chama
 
Covid 19 wakiongozwa na mdee waliweza kuleta Ruzuku ya milion 100 kila mwezi, lakini hiyo pesa ilimezwa na mbowe mwenyewe akawa anagawana nao na pia ndungai kwa Siri, uwepo wa uongozi mpya utawafanya wakose mgao na ndiyo maana mdee bado ana kinyongo cha kutisha sana
Sijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.

Amandla...
 
Sijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.

Amandla...
Hutakiwi ujibu unatakiwa ujue tu inatosha kwani hii ndiyo Tanzania hakuna lisilowezekana chini ya jua
 
Sijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.

Amandla...
Covid 19 walikuwa wabunge wa mchongo mwenye Dili ni Mbowe mwenyewe na ndungai , zamani walikula pesa kiulaini kwa kuwa pesa zote za Ruzuku zilikuwa chini ya mbowe lakini sasa uongozi mpya pesa ikiingia kwenye chawa hawamo tena maana kila kitu kipo kwa uwazi mkubwa tofauti na mbowe ambaye aliendesha chama kama saccos duka binafsi
 
Sasa yupo kwenye kamati ya Roho mbaya mshauri aache ushirikina amrudie mwenyezi mungu
Sina connection nae, sikio la kufa mkuu halisikii dawa. Ila kitaa kugumu nae hajawahi kukaa naona aliogopa.
 
Jamaa mmoja alisema vyama vyote vya upinzani ni project za CCM, isipokuwa CCM ilifeli kwa kukipa nguvu chama kimoja (CDM) na hivyo CCM kikajikuta kinapata upinzani kutoka kwenye project yake chenyewe.

Akasema ilitakiwa CCM ivipe vyama vyote fedha ili vipingane vyenyewe kwa vyenyewe na chenyewe CCM kiendelee kula minofu. Sio unakipa hela CDM tu na vingine unavinyima vinakuunga mkono waziwazi ili uvionee huruma.

Ndio unaona kama vile ACT kinavyopingana au kuchekana na CDM, au CDM kupingana na ACT. Na ndio ile CDM inavyoita vyama vingine vya upinzani kuwa ni CCM B, kumbe chenyewe pia ni CCM A.

Ilikuwa ngumu kuamini kuwa kauli ya jamaa kuwa vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja na CDM ni mradi wa CCM, ila sasa mambo ndio yamekaa hadharani hivyo, tumeshuhudia mtu jabali kabisa kama Mbowe anaongea na kufanya matendo ya ki-CCM .

Ingawa Lissu amekuwa mwenyekiti wa chama, bado upinzani atakaopata ndani ya chama hautakuwa mdogo sababu yeye yupo real kama mpinzani ila kumbe yupo kwenye mradi wa chama kingine (CCM).

Alifananisha uwepo wa vyama hivi kama uwepo wa dini ya uislamu inavyosemwa kuwa ni project iliyoanzishwa na majasusi wa kanisa la Roman Catholic kwa faida zao binafsi.

Dawa ya yote ni kuwa na mgombea binafsi. Kwenye mabadiliko ya katiba, Lissu na wengine hakikisheni mgombea binafsi atambulike kikatiba. Huo ndio mwarobaini.
 
Back
Top Bottom