Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Hata CCM na hao Covid 19 walikuwa wanashangaa kwa nini, rufaa ya kina Mdee haisikilizwi badala yake Mbowe na wanachadema wanalalamika kuhusu spika kuendelea kuwatambua.

Wenyewe chadema hawataki kusikiliza rufaa ila wanalalamika kuhusu spika.

Kuhusu Mbowe kuhusika na hao Covid 19 kuwepo bungeni, Mdee alishasema kitambo sana, "muulizeni mwenyekiti"
Na walipomuuliza aliwajibu nini? Mimi binafsi naamini kuwa Mbowe anajua sababu ( after the fact) zilizowaanya Halima na wenzake wafanye walichofanya. Na ana sympathise nao. Na nina amini kuwa hakuziweka hadharani kwa sababu alijua zikitoka zitawaharibia sana wakina Halima. Naamini pia kuna uwezekano kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu kupita wakina Halima wataeleza kwa nini walifanya walichofanya.

CDM sio wajinga. Walijua mpango mzima ni kuhakikisha wakina Halima wanaendelea kuwepo Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata. Kuendelea kujishughulisha na ile kesi ingekuwa upotezaji wa resources adimu walizokuwa nazo.

Amandla...
 
Mimi hapa ndio simuelewi Lissu. Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha? Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM? Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae. Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake. Hawa wanawake katika muda wote huu hawajawahi kukitukana chama chao wala viongozi wao. Lakini hao anao wakumbatia walifanya juhudi za wazi kukichimba chama chake.

Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia. Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
Warudi bila kuomba radhi na kuomba uanachama upya?
Hakuna kulea ujinga, walifanya uhuni wao huo na acha uwatafune.
Uovu waliofanya ni mkubwa mno.
 
Na walipomuuliza aliwajibu nini? Mimi binafsi naamini kuwa Mbowe anajua sababu ( after the fact) zilizowaanya Halima na wenzake wafanye walichofanya. Na ana sympathise nao. Na nina amini kuwa hakuziweka hadharani kwa sababu alijua zikitoka zitawaharibia sana wakina Halima. Naamini pia kuna uwezekano kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu kupita wakina Halima wataeleza kwa nini walifanya walichofanya.

CDM sio wajinga. Walijua mpango mzima ni kuhakikisha wakina Halima wanaendelea kuwepo Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata. Kuendelea kujishughulisha na ile kesi ingekuwa upotezaji wa resources adimu walizokuwa nazo.

Amandla...
Unasema chadema walijua, hii kauli unamaanisha nini?
Kwamba Mbowe ndio chadema au? Kwa sababu ni mbowe pekee aliyejua huo mchongo wao wa kuingia bungeni.
Huo ni uhuni na cha ajabu Mbowe alikuwa muhusika mkuu
 
lisu anashida gani na hawa kina mama ache ujinga jamii inamwona debe tupu
Kwani hao kina halima walifukuzwa na Lisu? Chama kiliwafukuza na ndio msimamo wa chama.
Kwa hiyo akiulizwa swali unataka alikimbie? Majibu aliyotoa ndio msimamo wa chama.
 
Unasema chadema walijua, hii kauli unamaanisha nini?
Kwamba Mbowe ndio chadema au? Kwa sababu ni mbowe pekee aliyejua huo mchongo wao wa kuingia bungeni.
Huo ni uhuni na cha ajabu Mbowe alikuwa muhusika mkuu
Nimesema wapi kuwa Chadema walijua? Sasa kama hata kwenye kitu simple kama hiki unajaribu kukipotosha, hamna haja ya kuadiliana kitu na wewe.

Amandla...
 
Sasa hiki chama kinapokea ruzuku ipi, ya Mbunge mmoja aliyeshinda, au na ya hawa wengine 19 wa kuteuliwa?
Maridhiano yalifanya wakapokea ruzuku, siyo swala la katiba.
Anapaswa akatae, ruzuku ili kuwakataa wabunge.
Sidhani kama unajua namna ruzuku inavyopatikana.
Unaropoka vitu usivyovijua.
Ruzuku haitokani na wabunge viti maalumu bali idadi ya kura halali za ubunge katika uchaguzi
 
Hahaha hujielewi wewe na Lisu wako, Simpangii lakini asilopoke. Wabunge wa viti maalum chadema mnaowaita covid19, wanatambulika ndani ya chama labda Lisu ajitoe akili tu kutafuta umaarufu.
Wanatambulika huku wakiwa wamefukuzwa na baraza kuu?
Sasa wanatambulikaje? Kichwa chako sio kizima, afya ya akili haipo sawa
 
Lissu atajuaje kama wanasema ukweli au uongo? Au tayari anaujua ukweli na anachotaka ni watu wakiri tu? Wakiri nini? Hiyo sio justice hata siku moja.

Wote tunajua kuwa wajumbe wengi wa hiyo mikutano wanafuata muelekeo wa Mwenyekiti wao. Wengi ni loyal kwa tafsiri yako.

Kwa mtazamo wangu, Lissu anageuza kichuguu kuwa mlima Kilimanjaro. Kwangu mimi anaonyesha kuwa ni petty na vindictive. Na ni mtu anaesikiliza sana umbeya na fitna. Anawezaje kuwashikilia bango wakina lakini akawa kimya kwa watu kama:
1. Slaa ambae aliandika mpaka kitabu ambamo alituhumu kuhusika kwa CDM kwenye mambo ya utekaji. Na kuwa hamna haja ya mikutano ya hadhara baada ya uchaguzi.
2. Msigwa ambae anasimama kwenye jukwaa kuwaaminisha wananchi kuwa CDM imeoza na haistahili kupewa dhamana ya kusimamia dola.
3. Yule mbunge aliyedai kuwa CDM ndio walimpiga risasi.
4. Waitara ambae wakati akiwa Naibu Waziri Tamisemi aliwa hujumu sana katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
5. Lijualikali aliyelia Bungeni kuhusu uozo wa CDM na ambae mpaka sasa hivi anaendesha vita dhidi ya CDM.
6. Upendo Peneza ambae nae alianza na moto wa kuichafua CDM ingawa sasa amepoa.

Kwangu mimi hawa wamesababisha maumivu zaidi kwa chama kuliko wakinq Halima.

Anapaswa kusamehe kwa dhati na aache kuwasikiliza wapambe ambao wana agenda zao. K.m. wakati anazungumzia jinsi anavyomheshimu Mbowe anachomokea tuhuma za mamia ya mamilioni kuingizwa kwenye uchaguzi.

Alipozungumzia kuponya majeraha amezungumzia yale ya loyalists wake tu. Mambo kama watu kuenguliwa bila sababu. Hakuzungumzia kabisa lugha⁶ za matusi na uongo zilizotumiwa na wapambe wake!

Amandla...
Kwani hao uliowataja wameomba kurudi chadema? Utaratibu upo wazi kwa yeyote anayetaka kurudi.
Baraza kuu ndio chombo cha mwisho cha kukubali au kukataa lakini lazima aseme ukweli ili asamehewe.
 
FAM alishindwa na TAL atashindwa and he knows it

TAL amewaongopea sijui kuwafukuza na blah blah kibao

Hawafukuziki kama mnavyojitapa hapa

Kundi maalumu la wanawake,halafu sio wepesi ni women heavy weights CDM repercussions zake wakifukuza these women ni severe,

watatandaza sumu kwamba wanawake wapo marginalized CDM and people will believe that shit,pia kuna ACT which complicates things even further!

Uchaguzi ni just few months away,CDM cant afford to empower ACT by giving these women to ACT,maana ACT will just be number one opposition party in TZ for free

These women are powerful and they know how to win elections,most of them will go back to the parliment kupitia ACT

This is a blunder waiting to happen.
Unataka wafukuzwe mara ngapi?
Mbona walishafukuzwa kitambo, au wewe mwenzetu upo kuzimu?
 
Kwani hujui kuwa walishajadliwa kuanzia kamati kuu, Baraza kuu na mkutano mkuu na kote huku wakaridhika kuwa wamefanya makosa na adhabu ya kuwavua uanachama iliwastahili...?

Unataka kuaminisha watu kuwa watu wote kwenye ngazi zote hizo walioridhia adhabu yao hawana akili waliwaonea tu hawa kina mama...?

Na unajua Mwenyekiti mpya kasema nini..?

Ameulizwa na kujibu kuwa, hana mamlaka ya kuwarudisha hata kama watamfuata na kumlilia kwa sababu walifukuzwa na chombo kikuu (Baraza kuu) na hilo ndilo lenye hukumu la kuwarudisha tena likiona inafaa...

Hata hivyo, alitoa maoni yake, kusema kuwa utawasamehe vipi watu ambao hawaoni wala kukiri makosa yao? Akamalizia kusema waje, wafungue mioyo yao, wafanye kitubio na waseme kwa uwazi;

1. Walienda endaje bungeni..?

2. Walitoa wapi fomu za Tume (NEC) maana zilizoletwa kwa GS zipo mpaka leo..?

3. Nani aliwasainia hizo fomu maana GS John Mnyika anasema hakuwahi kufanya huo uhuni..?

4. Nusrat Hanje alitokaje gerezani na ghafla tu kuonekana ktk uchochoro fulani huko Dodoma mbele ya Job Ndugai - Spika wa Bunge (by then) akiapa kuwa mbunge wa viti maalumu? Alijaziwa fomu na nani, wakati gani na wapi..?

## Wewe ungekuwa ndiye Tundu Lissu usungekuwa na msimamo huu pia..?

## Huoni kuwa huu ni msimamo dhabiti wenye lengo la kutibu uhuni na ufisadi wa kimadaraka ndani ya CHADEMA..??
Good
 
Yaani wewe na nyumbu wenzako ni wajinga sana.

Halima ana shida kweli ya kwenda Chadomo wakati Yuko Bungeni na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu ya Bunge? Aende Chadomo kufanya nini Sasa?

Tufanye hatogombea Urais,Samia ana viti 10 atamteua tena au alitaka atawapa u DC au RC nk
Sasa hii hoja ya kuwasamehe inatoka wapi? Sisi cdm tulishamalizana nao.
Acha waende kwenye chama cha mambuzi huko
 
Unachanganya kuwa loyal kwa mtu na kudharaulika. Mtu anaweza kudharauliwa na kadamnasi lakini watu wake wakawa bado wako loyal kwake.

Amandla...
Watu wake sio sehemu ya kadamnasi? Mbona sikuelewi
 
Kwani hao uliowataja wameomba kurudi chadema? Utaratibu upo wazi kwa yeyote anayetaka kurudi.
Baraza kuu ndio chombo cha mwisho cha kukubali au kukataa lakini lazima aseme ukweli ili asamehewe.
Shida ni kuwa mmeishaamua ukweli ni upi kabla hata ya kumsikiliza. Mnataka wakiri kwa ukweli wenu na sio wao! Hiyo misimamo ni ya kangaroo court. Lissu alisema kuwa kwa sababu walifukuzwa na Baraza Kuu ni Mkutano Mkuu peke yake ndio unaweza kusikiliza maombi yao kama wataomba.

Amandla...
 
Nimesema wapi kuwa Chadema walijua? Sasa kama hata kwenye kitu simple kama hiki unajaribu kukipotosha, hamna haja ya kuadiliana kitu na wewe.

Amandla...
Fundi Mchundo, stop talking rubbish...unajiaibisha. Nakupa ruhusa ya kuniweka kwenye ignore list yako. Unatetea usichokijua.
 
Shida ni kuwa mmeishaamua ukweli ni upi kabla hata ya kumsikiliza. Mnataka wakiri kwa ukweli wenu na sio wao! Hiyo misimamo ni ya kangaroo court. Lissu alisema kuwa kwa sababu walifukuzwa na Baraza Kuu ni Mkutano Mkuu peke yake ndio unaweza kusikiliza maombi yao kama wataomba.

Amandla...
Fundi Mchundo kwani Kuna ubaya wakijiunga CCM na wakawa wanachama wenu...?

Kama wanataka kurudi CHADEMA, wakiri kwa ukweli wao...

Kwa namna mambo yalivyo, Kuna jinai ya forgery of signature ya GS wa CHADEMA kwenye nyaraka zilizowapa uhalali wa kuwa wabunge...

Hoja hapa ni nani engineer wa forgery hiyo..?
 
Back
Top Bottom