Umesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?Nimesema wapi kuwa Chadema walijua? Sasa kama hata kwenye kitu simple kama hiki unajaribu kukipotosha, hamna haja ya kuadiliana kitu na wewe.
Amandla...
Asante kwa ku clarify.Umesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?
Kifupi halima kahaidiwa viti na mboga mboga kwa muhula mwingine.Kiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani alisaini mchakato wa wao kuingia bungeni huku akisema yupo tayari kuwapokea wabunge hao .
Kauli ya Tundu Lissu ilisema:
"Katibu mkuu John Mnyika hawajahi kusign fomu na sheria inasema lazima zisigniwe na katibu mkuu za kwao zilisainiwa na nani na aliyekuwa gerezani ilikuwaje akatoka gerezani akaenda kuwapa kuwa mbunge ,kama wanakuja waje wafungue siri za mioyo yao wanataka suluhu na chama waje na mioyo mieupe na tuichunguze ni mieupe kweli wasije tuu kwa sababu ya uchaguzi umekaribia " Lissu
Lakini kwa upande wake Halima Mdee Kupitia mtandao wa X alichukua kipande hicho cha sauti ya Mwenyekiti wao na kutuma alama ya kucheka
Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama
Mbowe aliwaita Nairobi akala pesa zao na pia baaadhi akapiga Rushwa ya ngono akina Esta matiko na mdee ndiyo maana mdee huwa anamchukia Lisu kwa kiwango cha kutisha na hata ile kamati ya Roho mbaya iliundwa na mbowe kwa ajili ya kumdhoofisha Lisu iliongozwa na mdee ambaye alikuwa kinara wa kugawa pesa kwa Wajumbe wamchague mboweNdugai asingeweza kufichua hizo fomu kwasabb Mbowe aliyezisaini ni ccm mwenzao
Wabunge covid 19 walikuwa mali binafsi ya mbowe kwani Ruzuku ya milion 100 kila mwezi iliishia mifukoni kwa mbowe ndiyo maana chama hakina pesaAsante kwa ku clarify.
Nikisema CDM au Chadema namaanisha chama ambacho Mbowe alikuwa Mwenyekiti wake. Hapa nilikuwa nauzungumzia uongozi wa CDM. Kama jambo linamhusu Mbowe peke yake nitasema Mbowe.
Amandla...
Ubaya wa mdee kwa Lisu haujaanza jana wala juzi ni ubaya wa mda mrefu sana, mdee anamchukia Lisu kwa kiwango cha kutisha sana na ndiyo maana Mbowe alimteua kuwa mwenyekiti wa kamati ya Roho mbaya kumdhoofisha Lisu kipindi cha kampeni na kuvuna pesa nyingi toka kwa mbowe ingawa pesa nyingi kala mwenyewe zingine kaficha anakojua ili azitumie kuwahujumu lisu na Heche baadaeMnataka watu wawe loyal kwa Lissu au kwa chama? Si ndio mwanzo wa uchawa?
Amandla...
Bado wanaota kurejea wanakaa vikao mara kwa mara kujadili jinsi ya kuwavuruga uongozi mpya, pia wamebuni mbinu ya kula pesa za wale wote wasioupenda uongozi mpya, waebubini mradi wa kula pesa kwa visingizio vya kuudhofisha uongozi mpyaWalishafukuzwa siku nyingi mbona
Sasa yupo kwenye kamati ya Roho mbaya mshauri aache ushirikina amrudie mwenyezi munguNilikuwa nampenda Mdee sana nasikitika kumpoteza kisiasa.
Covid 19 wamekupa Rushwa hadi umeamua kuwatetea pasipo kujali kuwa wana makosa mengi ya kujibu ikiwemo kusainiwa form kienyeji na mbowe kule Nairobi na kuwa wanagawana na mbowe ile Ruzuku ya kila mweziNadhani hauelewi maana ya neno kukiri au admit. Kukiri ina maana kuwa kuna tuhuma tayari ambazo mnataka wazikubali. Hiyo sio haki. Hata mahakamani una haki ya kukiri kosa au kukataa. Hapa ina maana hamtafuti haki bali kuwadhalilisha.
Ni yale yale ya plea bargain.
Amandla...
Kwani wewe umetumwa na mbowe ugomee mabaya yake na mabaya ya mdee na covid wenzake?Wamekutuma eti.
Mbowe is no longer the chairman.
Ndungai alifanya kwa uoga kumuogopa magufuli na pia alikuwa kwenye mgao wa ile Ruzuku ya milion 100 kila mweziNichutame kwa kosa lipi?
Seriously? Ndugai awe na form zinazoonyesha ushiriki wa Mbowe katika njama hiyo halafu atazificha kwa sababu itajulikana kuwa alihusika katika mpango mzima! Tangu lini Ndugai amejali kuhusu public opinion? And worse, mnadhani Mbowe au mtu wake mwingine ni stupid kiasi ya kusaini form ambazo anajua zinaweza kutumika kumchafua?
Legitimacy inapatikana kwa uwepo wa wale wabunge na sio form. Walitakiwa wabunge kutoka Chadema ambao watakubali kuapishwa hata bila kuwa na form. Na ndivyo ilivyokuwa. Wakina Halima wameendelea kuwa wabunge bila kuonekana form au mtoto wa form.
Asiyekubali kushindwa si mshindani. Mimi naheshimu uamuzi wa waliompigia kura Lissu lakini bado naamini kuwa hafai kuwa Mwenyekiti. Muda ndio utakaoonyesha kama niko sahihi au waliompigia kura walipatia.
Aidha, sisi tulichokataa ni mpango wenu wa kutaka mgombea wenu apewe Uenyekiti kwenye kisahani. Tulisema ashindane badala ya kutaka Mbowe amuachie nafasi. Kashindana na kashinda. Tofauti na mlivyotaka kushindana kwake kumempa yeye na chama chake credibility na legitimacy. Hata Lema amekiri hilo.
Naelewa sana ninachosema. Hakuna mpinzani wake dhati anaweza kuhamia kwa mtesinwake sababu tu anaona kuwa anaonewa kwa kunyimwa nafasi ambayo anaamini aliandikiwa kuwa yake. Wapinzani wa dhati walihamia vyama vingine au walikaa pembeni. Hao unaowatetea, sio tuu walihamia upande wa waliokuwa wanawatesa bali walijiungq nao katika kukibomoa chama chao cha awali. Hao ni watu wetu wenye sense of entitlement na uhusiano ambao ni transactional.
Mimi mpaka sasa hivi huo usaliti wa wakina Halima hata siuoni. Hawa mnaowachukiq hata siku moja hawajakitukana au kukichafua chama chao cha awali kama ambavyo wengi wamefanya. Hawajasaliti principle za chama chao. Na inawezekana na wao walifanya hivyo baada ya frustration na chama chao lakini tofauti na wakina Msigwa waliendelea kukiheshimu.
Kwani nani amesema wasiombe msamaha? Ninachopinga mimi ni kuweka masharti ya kijinga ya kuwataka kukiri na kuwataja waliohusika katika huo mnaouita usaliti. Naona attitude hiyo ni insulting kwa kuamini kuwa wanawake kama Halima hawawezi kufanya uamuzi bila kushirikisha mwanaume.
Aidan alikaidi agizo la chama chake kuwa haitakuwa na mbunge bungeni kwa sababu hawqutambui uchaguzi mzima. Ni sababu hiyo hiyo iliyowafanya wasipeleke majina ya wabunge wa viti maalum.
Aidan, ni perseverence ndio pengine imewafanya watu waamue asifukuzwe na hapa mwishoni kumkumbatia.
Kwa taarifa yako niliamua kutojibu chochote utakachoweka humu kwa sababu sikubaliani na lugha unazotumia. Nimeijibu hii kwa sababu tumekuwa pamoja humu ndani kwa muda mrefu.
Aidha, katika muda wote huo haukuwahi kutumia maneno ya shombo hata pale tulipotofautiana. Isingekuwa hivyo ningekuweka katika ignore list yangu. Na nikihisi tu kuwa unachotaka ni kubishana tuu na sio kubadilishana mawezo nitakuweka kwenye hiyo list. Umeanza kunichosha.
Amandla...
Covid 19 wakiongozwa na mdee waliweza kuleta Ruzuku ya milion 100 kila mwezi, lakini hiyo pesa ilimezwa na mbowe mwenyewe akawa anagawana nao na pia ndungai kwa Siri, uwepo wa uongozi mpya utawafanya wakose mgao na ndiyo maana mdee bado ana kinyongo cha kutisha sanaNa walipomuuliza aliwajibu nini? Mimi binafsi naamini kuwa Mbowe anajua sababu ( after the fact) zilizowaanya Halima na wenzake wafanye walichofanya. Na ana sympathise nao. Na nina amini kuwa hakuziweka hadharani kwa sababu alijua zikitoka zitawaharibia sana wakina Halima. Naamini pia kuna uwezekano kuwa baada ya uchaguzi wa mwaka huu kupita wakina Halima wataeleza kwa nini walifanya walichofanya.
CDM sio wajinga. Walijua mpango mzima ni kuhakikisha wakina Halima wanaendelea kuwepo Bungeni mpaka uchaguzi unaofuata. Kuendelea kujishughulisha na ile kesi ingekuwa upotezaji wa resources adimu walizokuwa nazo.
Amandla...
Zamani chadema ilikuwa saccos duka kibanda biashara binafsi ya mbowe , ndiyo maana pesa zote ziliishia mfukoni kwake, viongozi wengine hawakuwa na mamlaka idara ya pesa licha ya ushiriki wao ktk kukijenga chamaUmesema CDM sio wajinga, ndipo jamaa anauliza by CDM unaamanisha Mbowe au chama (wanachama)?
Sijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.Covid 19 wakiongozwa na mdee waliweza kuleta Ruzuku ya milion 100 kila mwezi, lakini hiyo pesa ilimezwa na mbowe mwenyewe akawa anagawana nao na pia ndungai kwa Siri, uwepo wa uongozi mpya utawafanya wakose mgao na ndiyo maana mdee bado ana kinyongo cha kutisha sana
Hutakiwi ujibu unatakiwa ujue tu inatosha kwani hii ndiyo Tanzania hakuna lisilowezekana chini ya juaSijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.
Amandla...
Covid 19 walikuwa wabunge wa mchongo mwenye Dili ni Mbowe mwenyewe na ndungai , zamani walikula pesa kiulaini kwa kuwa pesa zote za Ruzuku zilikuwa chini ya mbowe lakini sasa uongozi mpya pesa ikiingia kwenye chawa hawamo tena maana kila kitu kipo kwa uwazi mkubwa tofauti na mbowe ambaye aliendesha chama kama saccos duka binafsiSijui hata nianzie wapi kukujibu mtu unaeamini kuwa Halima na wenzake wanaweza kupeleka ruzuku CDM halafu wakazitafuna wao na Ndugai! Tuachie hapo hapo.
Amandla...
Sina connection nae, sikio la kufa mkuu halisikii dawa. Ila kitaa kugumu nae hajawahi kukaa naona aliogopa.Sasa yupo kwenye kamati ya Roho mbaya mshauri aache ushirikina amrudie mwenyezi mungu