Vita ya Ukraine na Russia wala sio kipimo! Na kama kwako ni kipimo basi tumia kipimo hichohicho kwa US na Taliban pale Afrganistan!
Wala usijidanganye kuwa NATO haipo kwenye Operation ya Urusi dhidi ya Ukraine, hipo tena hipo kwelikweli, Interegensia zote za NATO zinafanyakazi pale Ukraine.
Zaidi ya Satellite 70 zipo upande wa kuwasaidia Ukraine tena zikiongozwa na za Elon Musk zinaisaidia Ukraine
Ukraine anapokea Siraha, wanajeshi na Interejensia toka west! Inshort anafanyiwa kila kitu na West, tuseme tu kuwa NATO iko mzigoni Ukraine dhidi ya Russia.
Russia anapigana na mataifa zaidi ya 20 pale Ukraine yaliyoungana na kujificha kwenye mgongo wa Ukwaine, we juulize ni siraha ngapi wameleka mpk leo? Kwanini bado Russia anawasumbua? Basi Russia yuko vizuri banah kijeshi.
Angel Merkel amewaambia EU msije mkadhani mtakuwa salama kwa kuendeleza vita baridi dhidi ya Urusi, EU yenye aman ni ile ambayo itakuwa na maelewano mazuri ya Russia.
Sasa mtendaji kata wa kwa Mpalange andelea kuiona Russia dhaifu.