Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Hamfatilii vita harafu mnakuja kuandika humu ushaona huko yake makaburi waliyozikwa Wa ukraine wanayofukua sasa hivi na kuyazika upya wamesema hiyo kazi itachukua miaka kadhaa...pana mass burial za kutosha kama kitu hukijui tulia mkuu..
 
Mkuu, hivi ni kwamba umeamua ku block akili yako kutambua kuwa Russia anapigana na NATO hapo Ukraine ama ni makusudi tuu au akili hauna?naamini HAUNA AKILI ya kufikiri
Sasa kwenye akili huku tutafika mbali mkuu mimi huwa simtoi mtu akili mazee...wewe mwenye akili jitathimini kwanza harafu angalia unaweza kusimama kumwambia mtu mwingine nisiemfahamu hana akili?
 
Hivi wajuzi Kuna bomu linaloweza kutoka marekani Hadi Tanzania.
Tunajua marekani na urusi zipo karibu karibu wanaogopa
 
Wewe ni mhanga mwingine wa hollywood movies
 
Mkuu, hivi ni kwamba umeamua ku block akili yako kutambua kuwa Russia anapigana na NATO hapo Ukraine ama ni makusudi tuu au akili hauna?naamini HAUNA AKILI ya kufikiri
Mbona Putin alishatahadharisha mapema kabisa yeyote atakayeingilia vita vya Ukraine kwa namna yoyote atajibiwa kwa kipigo kikali.

Kwahiyo kama NATO wapo Ukraine maana yake Putin ana mikwara mbuzi?
 
Wakati US akiwa hapo Afghanistan kwa kipindi chote si alikuwa ana control kila jitu hadi Rais alikuwa kibaraka wake.

Baada ya kujichotea walichokitageti basi wakaona wajiondokee sasa waendelee kubaki ili wagundue nini?
 
Du! Ficha ujinga wako yaani taifa moja lijjpe uhalali wa kutumia nyuklia kwa dhana tu ya kwamba kuna taifa linataka ku kutumia nyuklia. Inasikitisha sana kuona kuna mijitu bado inaamini marekani ndio kila kitu
 
Hayo mabomu hadi kufika Marekani sana sana washington kuna muda unakuwepo...
Ila Urusi ndiye ana tabu maana kwake mabomu yako karibu tu hapo Turkiye
 

Vyema sana. Unajua
 
Ndio maana tunakwambia Soviet tactics no more weigh
Ndio maana silaha za kipindi Cha Soviet no more weigh kwa sasa, Urussi Yuko too mechanical hata Kama ana nyuklia at hand!
Mfano mrussi alijua kwa vifaru atashinda vita...ni njia ya kisovieti kbs
Bado nasema Russia pamoja na ukubwa wake na ukuu wake hawako makini
 
Hata Mrusi aliiaminisha dunia kuwa ana Jeshi bora na silaha bora kabisa duniani lakini leo anaumbuka. Hivyo, usiamimini sana katika huo ufanisi unaoelezwa maana sometimes ni exaggeration tu.
SMO ndogo tu kachukua 15 ya nchi kama Ukraine ambayo ni ya pili barani ulaya. Tuache mahaba inaharibu reputation zetu mkuu
 
Ndio upo mirembe
 
Ndio upo mirembe
Mkuu sisi wa Kilwa huwa hatutukani tumelelewa maisha ya kuheshimu watu hata usiowajua badili avatar yako ndio uendelee kutukana mimi huwa sihangaiki na matusi hiyo stage nilipita siwezi kuirudia tena mazee...Ustaarabu haauzwi dukani au hakuna Elimu ya ustarabu...
 
Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".
!

Hii mikwara ya "Putin alisema ...." tumeshaizoea.Putin alisema atakaeisaidia Ukraine kwa silaha atakiona cha moto.Putin alisema Wanajeshi wa Ukraine wamuondoe Zelensiky na wao wajisalimishe mara moja.Putin alisema atapiga Finland na Sweden wakithubutu kutaka kujiunga na NATO.Putin alisema hiki Putin alisema kile and the list goes.
 
Kwenye hii ishu usimuamini au usihadaike sana na Muongeaji ukampuuza anayekaa kimya.

Binafsi sitishiki kivile na Putin. Najua anaweza kuharibu ila naye ataharibiwa na hakuna atakachofaidi maana anachokitafuta hatokifikia tena.
 
Hata Mrusi aliiaminisha dunia kuwa ana Jeshi bora na silaha bora kabisa duniani lakini leo anaumbuka. Hivyo, usiamimini sana katika huo ufanisi unaoelezwa maana sometimes ni exaggeration tu.

Kila siku nawakumbusheni kuhusu vita ya VietNam - swali ni,je,WavietCong walikuwa na uwezo gani kijeshi, kiuchumi kuishinda Merikani, sasa ilikuwaje kuwaje wakaishinda a Super Power, hilo hamliasemi masaa yote kuisema na kuwakebehi Warusi na Putin - hamkumbuki yaliyo wahi kuwakumba jeshi la Wamerikani miaka ya nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…