Broo nyuklia sio AK 47.
Eti atumie Russia dhidi ya Ukraine Marekani waijibu Russia dhidi ya shambulio. Hili sahau. Tuliokuwemo katika miaka ya Vita baridi tunajua na kukumbuka Kwamba Tension ( sintofahamu) ya kijeshi iliopo Ukraine haifiki hata Robo ya tukio la Cuban missiles Crisis.
Kulikua na urushianaji maneno was kutisha.
Ukiachana na Hilo Kuna Vietnam alipokimbizwa Marekani na wavietnam wakisaidiwa na Warusi ( Soviet) kwa kila kitu .
Pia Kuna hii wasovieti ( Russian) walipokimbizwa vibaya Afghanistan baada ya Vita ya miaka takriban 9. Hapa Wamarekani walikuwa dhidi ya Wasovieti wakiwasaidia was Afghanistan.
Kwahiyo basi si rahisi Kwamba endapo itatokea Russia pekee ndo itaangamia. West yote hasa NATO ya ulaya itaangamia . Yatapigwa makombora Russia yote lakini kumbuka Kuna submarine ziko active mda wote zitafanya exchange ya makombora. Atabaki Nani?
Sent from my TECNO RA7 using
JamiiForums mobile app