Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Hii mikwara ya "Putin alisema ...." tumeshaizoea.Putin alisema atakaeisaidia Ukraine kwa silaha atakiona cha moto.Putin alisema Wanajeshi wa Ukraine wamuondoe Zelensiky na wao wajisalimishe mara moja.Putin alisema atapiga Finland na Sweden wakithubutu kutaka kujiunga na NATO.Putin alisema hiki Putin alisema kile and the list goes.

Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu - ni lini Putin aliwahi kusema Sweden na Finland wakijiunga na NATO atawashambulia, lini??
 
Kabla ya uvamizi wa Putin ni lini Rais au kiongozi yoyote wa Ukraine aliwahi kusema wanataka kujiunga na NATO?
Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu - ni lini Putin aliwahi kusema Sweden na Finland wakijiunga na NATO atawashambulia, lini??
 
Wanafanya vitu kwa malengo baada ya malengo yao kutumia wanawaachia lengo ilikua ishu ya Osama na vikundi vyake wanawaachia wale wahuni juzi wameanza kuwatoa watoto wa kike waliotimiza miaka 15 kutofundishwa na walimu wanaume mashuleni na msako unaendelea Nchi nzima pana vitu vya kushangilia mazee..
😄😄😄 Hata somalia na kule Vietnam pia US ilifanya vitu vyake kwa malengo 😄😄😄
 
Hakutaka kupiga kama [emoji631] anavyoshambulia mpaka watoto wa shule na mahospitali kama alivyofanya katika sehemu nyingi duniani
Mrusi ameheshimu sana hii vita na isitoshe ni ndugu tu

America wao wakinyanyua makombora wanapiga hata desert popote iwe kambi ya jeshi au walipojihami wananchi ni kupiga tu

Nakumbuka bunker busters alizotumia Iraq huku akisema ni wameficha silaha kali wakati ni mahandaki ya kujificha watu

Ila vita mbaya ni kuisikia kwa jirani tu
Prorussia mkiwa mnaandika jaribuni kutumia bongo zenu kidogo, msiandike tu kama mnatapika.
Screenshot_20221008-090728_Twitter.jpg
Screenshot_20221008-090819_Twitter.jpg
Screenshot_20221008-090845_Twitter.jpg
 
Hawa hawaelewi kitu alafu mkuu usitumie nguvu nyingi kumwelekeza mtu ambae hataki kuelewi, unapoteza nguvu nyingi kumuelekeza mtu asieelewa ni kupoteza muda
Wengi wanadandia tu na ubishi wa kijiweni ila hata mchakamchaka hawajakimbia let alone Frontline
Dunia hii itawafunza mkuu hata wajitoe ufahamu
 
Wewe kilaza hata kambi ya Lugalo na Mbagala kule kulipotokea ajali ya milipuko ya mabomu ziko katika makazi ya watu.

Halafu huyo Prorussia mwenzako alivyokuwa anasema US huwa inashambulia makazi ya raia mbona hukumwambia kuna magaidi walikuwa wamejificha huko katikati ya raia.

Na badala ya kusherekea ufidhuli wa Putin na kuwapangia wapi Ukraine waweke wanajeshi au silaha zao kwenye nchi yao ungejiuliza kipi kimemfanya Putin avamie nchi ya watu na kuua watu hovyo.
Ungetumia ubongo wako kidogo tu ungeelewa kwa nini Russia imeshambulia maeneo hayo kama shule, hospitali na shopping malls.

Ngoja nikukumbushe kupitia ripoti ya amnesty intl.

View attachment 2380428View attachment 2380429View attachment 2380430
 
Hamfatilii vita harafu mnakuja kuandika humu ushaona huko yake makaburi waliyozikwa Wa ukraine wanayofukua sasa hivi na kuyazika upya wamesema hiyo kazi itachukua miaka kadhaa...pana mass burial za kutosha kama kitu hukijui tulia mkuu..
Hivi unafikiri vita watu huwa wanaenda kucheza msita eti
Watu Vitani lazima wafe ndio maana ya vita, silaha za kila aina zinatumika
Wala sijaelewa unatetea upande gani

Sijaelewa uko upande upi wa ubishi au fact
Mass Graves inaweza kuwa Legacy pia
Human right abuses
 
Hawa chuki yao kwa West imewapofusha kabisa wasione ukatili dhidi ya binadamu unaofanywa na majeshi ya Putin huko Ukraine
Hamfatilii vita harafu mnakuja kuandika humu ushaona huko yake makaburi waliyozikwa Wa ukraine wanayofukua sasa hivi na kuyazika upya wamesema hiyo kazi itachukua miaka kadhaa...pana mass burial za kutosha kama kitu hukijui tulia mkuu..
 
Acha watumie tuuu I think Africa tupo safe nacho taka kuona ni Washington ipo kama mbagala
kuwa wazungu hawajui kama mkiachwa mtakuwa vzr sio ? mtu alikuandalia future yako huez shindana nae hata mkibadilisha mabara , israel ya 1948 ila leo hii inawasaidia nyiny wahenga wa 1885
 
Hivi unafikiri vita watu huwa wanaenda kucheza msita eti
Watu Vitani lazima wafe ndio maana ya vita, silaha za kila aina zinatumika
Wala sijaelewa unatetea upande gani

Sijaelewa uko upande upi wa ubishi au fact
Mass Graves inaweza kuwa Legacy pia
Human right abuses
Wanaouwawa Ukraine ni raia wa Ukraine sio wa Russia, ulitaka upande gani utetewe??!
Hawa wote ni Wa-Ukraine, hakuna Warusi hapa
Screenshot_20221008-101202_Twitter.jpg
Screenshot_20221008-101317_Twitter.jpg
Screenshot_20221008-092319_Twitter.jpg
 
Ok...umeandika vizuri...hiyo inaitwa ' first strike'....Lakini kitu ambacho pengine hujui na kwa maana hiyo hujaainisha hapa ni kuwa Russia kwenye 'First strike' Russia ana Kinga mbaya Sana kwa maadui zake nayyo ni kitu kinachoitwa ' hand of death'...Maana yake hapa ni kuwa hata Kama Russia amewahiwa na wenzake na hasa USA kwa first strike' Lakini Russia ana system ambayo mitambo ya nyuklia itajilipua yenyewe bila kuwepo na mkono wa binadamu kubonyeza vitufe...
inajilipua kwenda wap ? yaan wewe ujue hilo halaf USA wasiwe na solution , unafikir kwa akili yako fupi USA atalipua nyuklia kutokea nchini kwake ? kabla ya kuchangia vitu vingine reason well
 
Unafikiri yangekua hayaogopeshi wamarekani wangekua hawajamvamia mpaka leo? Kama silaha zake hazina kitu marekani angekua anahangaika kila siku kutumia pesa nyingi kuweka military bases kumzunguka Urusi?

Mnafikiri marekani ni wajinga kutokupambana na Urusi mpaka leo?
kwann Marekan hawakuivamia Ethiopia kipind cha vita na Watigray ? kwann hawakuivamia Azebaijan baada ya kuivamia Armenia , pia kwann hawakuivamia India ilipoivamia kashmir , sio kila situation USA atavamia , USA hufuata taratibu za kuiandaa dunia kwenye kila operation ukiachana na Vietnam na Iraq , tofaut na Urusi ambae akiamka anavamia tu
 
Kwani Ukraine unaichukuliaje mkuu? Unadhani Ukraine ni kama Somalia au Yemen?


Hebu ingia google uangalie GDP ya Ukraine kabla ya vita alafu urudi hapa tujadili. Pia uangalie marekani amepambana kwa muda gani Afghanistan, na alitumia muda gani Vietnam.


Kuna vitu mnaviongea kishabiki tu bila kujua undani wake.
sasa hv Ukraine mnaitambua kumbe , aya mdo mdo kitaeleweka
 
Wanaouwawa Ukraine ni raia wa Ukraine sio wa Russia, ulitaka upande gani utetewe??!
Hawa wote ni Wa-Ukraine, hakuna Warusi hapa
View attachment 2380440View attachment 2380442View attachment 2380443
Ndio maana nikasema vita ni vita na watu wanakufa tu
Nimeshuhudia vita na front nimeingia pia mkuu najua madhara ya vita sio wa kuhadithiwa

Kumbuka vita ya Iraq alipovamia Kuwait mimi nilikuwa huko na walichkifanya hawa mnaowatetea ni unyama ambao utakuwa kwenye vitabu miaka mingi ijayo

Baada ya Iraq soldiers kuamua kuondoka Kuwait baada ya kuzidiwa nguvu na kuona hawawezi kupigana na Dunia nzima wakaamua kutoka wakiwa Kuwait

Kulichofuata ni kuuwawa na ndege za Kivita bila huruma na ndio ikaitwa HIGHWAY OF DEATH
Nilikuwa huko na nimeshuhudia hiyo highway na ninaijua vizuri kwa sababu ilikuwa njia yangu ya kwenda kazi kwa miaka mingi
Wanajeshi wamepigwa wakiwa wanakimbia kurudi kwao na hawa hawa NATO na [emoji631]na [emoji289]

Mtabishana na ninajua kuna watu wamo humu wananukuu maneno tu na kufuata mkumbo ila hata bunduki hawajawahi kuiona

Kwa hiyo hapo Mrusi ameuwa iwe fundisho na legacy yao kuwa don't mess with us
Ni kama usa walivyofanya Iraq

Highway of Death asieijua ni hii hapa inatoka Jahra, Kuwait mpaka Basra,Iraq

Wametuharibia maisha tu mafala hao
Screenshot_20221008-082901_Gallery.jpg
Screenshot_20221008-082837_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom