Jicho la tatu: Tundu Lissu unaweza kukabiliwa na assassination attempt nyingine wakasingiziwa CHADEMA kiwa hoja ya maswala ya uchaguzi ndani ya chama

Utakuwa ni uoga kumu assassinate Lissu kwasababu sio threat kwa CCM tena wala pia sio threat kwa Mbowe ndani ya Chadema.

Threat kubwa kwa CCM ni Dr Wilbroad Slaa, ambaye namuona ndio anaenda kuwa mgombea wa Chadema 2025
Hapa ndio unaona umetupoteza maboya vibaya sana. Uza ubongo huo boss.
 
Naunga mkono hoja
P
 
Mkuu, naona yanataka kutimia
 
Sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…