Hapa ndio unaona umetupoteza maboya vibaya sana. Uza ubongo huo boss.Utakuwa ni uoga kumu assassinate Lissu kwasababu sio threat kwa CCM tena wala pia sio threat kwa Mbowe ndani ya Chadema.
Threat kubwa kwa CCM ni Dr Wilbroad Slaa, ambaye namuona ndio anaenda kuwa mgombea wa Chadema 2025
Naunga mkono hojaTundu Lissu, wewe kwa sasa ndio tishio kubwa sana kwa watu wa chama fulani na mgombea wao mtatajiwa wa uchaguzi mkuu wa mwakani.
Hivyo, nakushauri uwe makini sana katika mienendo yake yote kwani wanaweza kukufanyia jambo lolote baya na wakasingia chama chako ndio kimehusika kwa hoja ya vuguvugu la uchaguzi ndani ya chama chako.
Wanaweza kufanya another assassination attempt kama.ile ya 2017, kukuteka au ukatengenezewa ajali, n.k mradi tu ni katika kipindi hiki ambacho umetangaza kusudio la kugombea uongozi wa juu katika chama chako.
Hata uchaguzi ukiishi na ukashinda, bado lolote linaweza kutokea.
Ushauri: ongeza ulinzi unaonekana na usioonekana(wa siri) kila unapokwenda.
Tujiuliulize: Kama Adulu Nondo wamemuona tishio, itakuwaje kuhusu Lissu?
Siasa ni audui tena uadui mbaya sana.
He is sent with Special Mission for Tanzanians.Kwa sasa umakini utaongezwa vilivyo Kwa lissu.Huyu ni tegemeo kubwa kwa taifa
Wenye Akili akina Pascal Mayalla wanaelewa hii. Au Sio Mtani.Naunga mkono hoja
P
Umefanya nimecheka kwa sauti humu kwenye Dala Dala 😂Wewe inajulikana siku zote ni mpumbavu tunakupuuza.
Mkuu, naona yanataka kutimiaAngalizo sahihi, pata picha shambulio lile la 2017 yuko hai, lakini bado kuna wapotoshaji wanasema ni chama chake kilitaka kufanya hayo. Hili la kitisho cha kuweza kuuwawa na wanaofadhili watu wasiojulikana ili kumchafua Mbowe na cdm, lipo wazi sana. Ni sahihi Lisu kuchukua tahadhari ya kutosha.
Sahihi kabisa.Tundu Lissu, wewe kwa sasa ndio tishio kubwa sana kwa watu wa chama fulani na mgombea wao mtatajiwa wa uchaguzi mkuu wa mwakani.
Hivyo, nakushauri uwe makini sana katika mienendo yake yote kwani wanaweza kukufanyia jambo lolote baya na wakasingia chama chako ndio kimehusika kwa hoja ya vuguvugu la uchaguzi ndani ya chama chako.
Wanaweza kufanya another assassination attempt kama.ile ya 2017, kukuteka au ukatengenezewa ajali, n.k mradi tu ni katika kipindi hiki ambacho umetangaza kusudio la kugombea uongozi wa juu katika chama chako.
Hata uchaguzi ukiishi na ukashinda, bado lolote linaweza kutokea.
Tujiuliulize: Kama Adulu Nondo wamemuona tishio, itakuwaje kuhusu Lissu?
Siasa ni audui tena uadui mbaya sana.
Ushauri: ongeza ulinzi unaonekana na usioonekana(wa siri) kila unapokwenda.
Bwabwa la nduli magufuliMbowe alishatangaza hadharani sumu haionjwi na Lisu aneshaonja tayari.
Ila hatutakubali yamtokee ya Chacha Wangu, safari hii tutamnyoosha gaidi