Jicho la Ujasusi la Tanzania linatakiwa kuwa macho sasa kuliko wakati mwingine wowote ule

Jicho la Ujasusi la Tanzania linatakiwa kuwa macho sasa kuliko wakati mwingine wowote ule

WW3 inakuja kwa sababu Marekani na Ulaya karibia nchi 30 zinapeleka siraha Ukraine nakupigana na Russia. Na kila siku Russia anatishia kutumia Nuclear.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
1. Ulichoandika wala sio ujasusi ni speculations tu vijiweni.

2. WW3 haijaanza na haiko karibu kuanza.

3. Kama taifa tuko aligned na USA toka miaka ya Mwinyi, you have no idea how much of our intelligence comes as a courtesy of US and their allies. Uaujua ushirikiano wetu na USA kwenye counter terrorism?

4. Ziara ya mama USA sio mistake, vile ndivyo ilivyopaswa kuwa.
Mbona hatujawapigia kura mapen dekezo yao kama tupo USA? Msilazimishe mambo...Mkiniambia kuna ambao wameshanunuliwa na kuligawa taifa, that I can snif na hii ni hatari sana maana tunakoelekea tutavurugwa mpaka tuvurugike, may; God forbid!

But be aware, mlinzi wa kiroho nipo gado, so my words are decrees non can go against! And so it is well with my country
 
Kutofungamana na upande wowote haukutufanya tusiunge mkono upande unaoonewa.Palestina,Sahrawi,nchi za kusini mwa Afrika tuliwaunga mkono.
 
Hili ndio nimelijua kwako mkuu....

Lina ukweli wowote.???
Nikimnukuu msemaji mkuu wa serikali; ......hela zilizotumika ktk muvi na gharama za uzinduzi wa movie ya "loyo tua" sio za watanzania.

Halafu sio sisi tulioiweka hiyo filamu huko sokoni mf. Amazon.

Sisi tumetoa location na starring wa movie. Ngoja niishie hapo.

Tunaweza kuwa tunatamani sana kufungua nchi, tukajikuta tunaitoboa.
 
Suala la ujasusi kwa watanzania nisuala ambalo utaona watz hawako serious nalo kabisa
Nitaandika yanayoendelea. Kiukweli unaweza ichukia nchi, kumbe kuna watu tu mamangimeza yapo yapo hayajali kuhusu nchi kabisa.
A nation is something else, lakini sisi Tz hewala wala hatujali. My God!
 
Tusimlaumu Sana MAMA KWENYE HILI!!YEYE hakuandaliwa kuwa Raisi tangu mwanzo!!!???KWA hiyo code za uraisi hazijui na hakujiandaa kuwa RAISI ndio maana KILA ushauri anaopewa YEYE anajichimbia kaburi!we ona wakati akiwa USA kinana anafanya ziara za ki CHAMA unadhan ni co incidence tena nasikia na msoga yupo huko huko USA!Kuna jambo linapikwa tuupe muda UAMUE!!!!
Kiukweli sijui wanachokitengeneza, lakini lazima tuijali nchi na tujue thamani yake. Hewala nchi sio familia ndugu zangu.
 
Na cha ajabu, kumbe ile ya barua ya Urusi kumpongeza Rais kwa sababu ya sherehe za Muungano ni ya kweli. Nimeona kwenye page ya Russia in Tanzania(Ubalozi wa Russia).
Ile ni kweli kabisa.
Kiujasusi ule ni "UJUMBE" soft.
 
Kwamba intelijensia yako ni kubwa kuliko TISS wote, TPDF na kila organ bongo. Unaamini kabisa uko Well informed kuliko waziri wa ulinzi na waziri wa mambo ya nje!

Pole sana
 
Kwamba intelijensia yako ni kubwa kuliko TISS wote, TPDF na kila organ bongo. Unaamini kabisa uko Well informed kuliko waziri wa ulinzi na waziri wa mambo ya nje!

Pole sana
Asante. Pole yetu sote
 
1. Ulichoandika wala sio ujasusi ni speculations tu vijiweni.

2. WW3 haijaanza na haiko karibu kuanza.

3. Kama taifa tuko aligned na USA toka miaka ya Mwinyi, you have no idea how much of our intelligence comes as a courtesy of US and their allies. Uaujua ushirikiano wetu na USA kwenye counter terrorism?

4. Ziara ya mama USA sio mistake, vile ndivyo ilivyopaswa kuwa.

Sidhan kama unaijua vyema Intelligence ya TZ. However, ninachoweza kusema ni kuwa it was bad move kwa Rais kufanya hiyo royal tour kwa sasa
 
Sidhan kama unaijua vyema Intelligence ya TZ. However, ninachoweza kusema ni kuwa it was bad move kwa Rais kufanya hiyo royal tour kwa sasa
Asante kwa kunisaidia kumuelimisha.
 
Wakati corona inaingia tuliona Kama vile haituhusu tukadhani inaishia huko huko kwao.. Matokeo yake ikaspread dunia nzima. Vita inakuja na Vita hii itatuhusu Sana na wanajeshi plus watu wa kujitolea kutoka Tanzania wataenda.Pia Hali ya maisha itabadilika Sana .tujipange Mambo magumu yaja..
 
Back
Top Bottom