Hizi betri kkoo hukosiiWakuu naweza kupata Battery ya Nokia 3310 .
Maana betri yangu imevimba , mwenye uwezo wakuniagizia online naomba tuwasiliane.
mwl-Rct Msaada wako.View attachment 1457310View attachment 1457311View attachment 1457312View attachment 1457313View attachment 1457314
Sent using Oppo A3s
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.
Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.
Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.
Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.
JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
Wangu upo on transistKuna yoyote amepokea bidhaa kutoka aliepress kwa mwezi wa sita au huu wa saba mwaka huu kwa njia ya posta Tanzania?
Nataka kujua maana posta walisitisha kupokea bidhaa
Mimi nimepokea mzigo mwezi huu mwanzoni. Mzigo huo niliagiza mwezi wa tatu mwaka huu
Sent from N using Tapatalk
Asante mkuu, mimi nimepata mwezi huu wa saba na vifurushi vingine vipo njiani,na viwili vimefika nchini ila sijavipata mkononi nimeona ujumbe kuwa vimefika.Kuna yoyote amepokea bidhaa kutoka aliepress kwa mwezi wa sita au huu wa saba mwaka huu kwa njia ya posta Tanzania?
Nataka kujua maana posta walisitisha kupokea bidhaa
Asante mkuu, mimi nimepata mwezi huu wa saba na vifurushi vingine vipo njiani,na viwili vimefika nchini ila sijavipata mkononi nimeona ujumbe kuwa vimefika.
Peana hiyo contract Kwa North Korea wadungue hiyo kitu haraka usijepoteza mzigo wako.Aise me mwenyewe meagza may 19 adi leo mzigo upo kwenye ndege imegoma kutua
Mwezi wa tatu mwaka huu. Yaani vinakuja kama maji ya kungojea. Kuna cha mwezi wa nne nimepata leo. Vingine bado vipo njiani toka mwezi wa tatu. Vingine vinaonesha vilishakuja hapa nchini lakini sijui vimekwamishwa wapi.Uliagiza mwez wa ngap? Mimi niliagiza mwezi wa tatu, track number hazina update yoyote toka March 15. Sijui hata natatiliaje au nimdai nani
Pole sana mkuu, mimi tangu february kuna mizigo sijaipata. Ila naamini itafika tu. Ukiona mambo magumu omba wakurefundMimi toka mei 5 mpaka sasa sijapata mzigo nikipiga simu namba za posta hawapokei kabisa..nikumuuliza muuzaji anasema wasiliana na wakala wako.. hapo nifanyaje wazee?
mkuu naomba contact zako unielekeze Zaidi ,nahitaj sana hizo huduma but cjui pa kuanzia1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.
2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.
3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza
very easy