Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

M-PESA master card naweza kufanyia manunuz mtandaoni,kama ebay!aliexpress,alibaba,kikuu
 


Safi sana.
 
Kuna yoyote amepokea bidhaa kutoka aliepress kwa mwezi wa sita au huu wa saba mwaka huu kwa njia ya posta Tanzania?

Nataka kujua maana posta walisitisha kupokea bidhaa
 
Kuna yoyote amepokea bidhaa kutoka aliepress kwa mwezi wa sita au huu wa saba mwaka huu kwa njia ya posta Tanzania?

Nataka kujua maana posta walisitisha kupokea bidhaa
Asante mkuu, mimi nimepata mwezi huu wa saba na vifurushi vingine vipo njiani,na viwili vimefika nchini ila sijavipata mkononi nimeona ujumbe kuwa vimefika.
 
Uliagiza mwez wa ngap? Mimi niliagiza mwezi wa tatu, track number hazina update yoyote toka March 15. Sijui hata natatiliaje au nimdai nani
Asante mkuu, mimi nimepata mwezi huu wa saba na vifurushi vingine vipo njiani,na viwili vimefika nchini ila sijavipata mkononi nimeona ujumbe kuwa vimefika.
 
Aise me mwenyewe meagza may 19 adi leo mzigo upo kwenye ndege imegoma kutua
 
Uliagiza mwez wa ngap? Mimi niliagiza mwezi wa tatu, track number hazina update yoyote toka March 15. Sijui hata natatiliaje au nimdai nani
Mwezi wa tatu mwaka huu. Yaani vinakuja kama maji ya kungojea. Kuna cha mwezi wa nne nimepata leo. Vingine bado vipo njiani toka mwezi wa tatu. Vingine vinaonesha vilishakuja hapa nchini lakini sijui vimekwamishwa wapi.
 
Mimi toka mei 5 mpaka sasa sijapata mzigo nikipiga simu namba za posta hawapokei kabisa..nikumuuliza muuzaji anasema wasiliana na wakala wako.. hapo nifanyaje wazee?
 
Mimi toka mei 5 mpaka sasa sijapata mzigo nikipiga simu namba za posta hawapokei kabisa..nikumuuliza muuzaji anasema wasiliana na wakala wako.. hapo nifanyaje wazee?
Pole sana mkuu, mimi tangu february kuna mizigo sijaipata. Ila naamini itafika tu. Ukiona mambo magumu omba wakurefund
 
Habari za asubuhi!ningeomba msaada kujua ofisi za Y&M express zipo sehemu gani kwa hapa Dar es salaama, maana niliagiza bidhaa kupitia kikuu but mzigo haujanifikia mpaka leo
 
Habarini wanna jamvi....
Shida tangu Ni kutaka kujua unapokuta bidhaa mtandaoni imeandikwa mfano: piece/lot 7 maana take Ni ipi?

Je..!!?
Wanamaanisha piece 1 vinakua vitu 12 au hivyo vitu 7 ndio pcs/lot?...


Nifafanulieni kupitia hii bidhaa hapa chini
 
mkuu naomba contact zako unielekeze Zaidi ,nahitaj sana hizo huduma but cjui pa kuanzia
 
Nimesoma huu uzi nmeona maoni tofauti tofauti lkn pia kuna cjui niseme ni kampuni au agent wanaitwa EASYBUY kule mtandaoni nmeona kitu cha usd 7 nikawauliza hadi kinifikie kitagharimu bei gan? Nilipigiwa hesabu hadi ikafika elfu 80 na bado wakaniambia inaweza kuongezeka maana kikifika inabidi kipimwe kilo, wkt kitu chenywe ni suppliments/shampoo. Kwa wenye uzoefu hii ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…