Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Nimeipenda hii simu, kinachonitia hofu hiyo (unlocked) ana maanisha nini?
 
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.

Nimeipenda hii simu, kinachonitia hofu hiyo (unlocked) ana maanisha nini?

simu yenyewe ni hii hapa;-
 

Attachments

  • 1429174903485.jpg
    1429174903485.jpg
    41.5 KB · Views: 244
Wadau UncleUber Njunwa Wamavoko naomba nifahamu namna ya kuchagua mzigo wako utumwaje kwako, ikiwa seller anasema shipping ni Standard Int'l Shipping???
Msaada tafadhari.
 
Last edited by a moderator:
Wadau UncleUber Njunwa Wamavoko naomba nifahamu namna ya kuchagua mzigo wako utumwaje kwako, ikiwa seller anasema shipping ni Standard Int'l Shipping???
Msaada tafadhari.

Hapo iko hiyo option tu au ipo na ile ya economic na/au expedited shipping?.

Huwa automatic wao watatumia intl.standard shipping. Just in case wewe unataka ile expedited shipping (ambayo mara nyingi huwa ghali ila bidhaa iko guaranteed kukufikia haraka) just contact the seller na u'request aina ya shipping unataka akutumie bidhaa yako!.
 
Last edited by a moderator:
Hapo iko hiyo option tu au ipo na ile ya economic na/au expedited shipping?.

Huwa automatic wao watatumia intl.standard shipping. Just in case wewe unataka ile expedited shipping (ambayo mara nyingi huwa ghali ila bidhaa iko guaranteed kukufikia haraka) just contact the seller na u'request aina ya shipping unataka akutumie bidhaa yako!.

Ipo hiyo niliyoandika tu. Huyu seller namcontact vipi ndugu yangu King Shaat maana some tyme kweli mtu unahitaji fast shipping.
 
Last edited by a moderator:
Just click hapo kwa "seller" then itakapofungua next interface utaclick on "ask seller question" then utampa request au swali lako
 

Attachments

  • 1429603298030.jpg
    1429603298030.jpg
    42.8 KB · Views: 219
  • 1429603543267.jpg
    1429603543267.jpg
    43 KB · Views: 213
Just click hapo kwa "seller" then itakapofungua next interface utaclick on "ask seller question" then utampa request au swali lako

Ninataka kununua laptop ebay, inaweza kunifikia kweli kwa hapa tz? Vipi kuhusu mambo ya kodi kwa hawa tra?
 
Ninataka kununua laptop ebay, inaweza kunifikia kweli kwa hapa tz? Vipi kuhusu mambo ya kodi kwa hawa tra?

Duh, mkuu sijawahi agiza PC ila nadhani kama utaweza kuwatumia intermediaries kama ComGateway na MyUS unaweza ipata ndani ya wiki au chini ya hapo. Shida ni gharama za huduma zao. Coz kuna kipindi niliwauliza cost ya services zao (ComGateway) wakaniambia Standard Shipping ya wiki moja kwa mzigo unaoanzia kilogram 1 ni almost 120k za bongo na kama unataka fasta zaidi ni 75$ (sikumbuki hizo digits vizuri mkuu coz ilikuwa ni ka miezi 3 iliopita). Hawa wanaweza ongeza guarantee ya wewe kuupata kwani wanasimamia show nzima wao na hao couriers wanaowatumia wao mpaka mzigo ukufikie na pia mzigo unakuwa na Tracking Number.

Sa kwa kawaida, hii ya kununua tu na kusubiria ufike posta wakushtue ukauchukue, hapo ndo sina uhakika napo. Ila kwa uhakika wa kupata mzigo wako haya yanaweza ongeza guarantee ya wewe kupata mzigo wako:-

i) Request Tracking Number kutoka kwa Muuzaji.

Mara nyingi items utakazolipia Shipping costs/charges, seller anakutumia pamoja na Tracking Number ikiwa pamoja na jina la Carrier (ni kampuni gani itabeba item yako). In case hajakutumia, unaweza request afanye hivyo, japo lazma itaku'cost kama 5$ hivi ya nyongeza. Na hii ufanye kabla hujalipia bidhaa kupitia "contact seller". Mizigo yenye tracking number dizain flan ngumu kukana uwepo wake kwani movements zake zinaweza kuwa tracked all over the globe.

ii) Kuwa na 'mtu wako' pale posta. Si unajua tena bongo yetu. Katika trip zako za kwenda kuchukua mzigo wako, tengeneza urafiki (au pata contacts za) na mmoja wa wanaohusika na International Parcels. Then, huyo atakuwa anakushtua pale mizigo ikifika. Siku moja moja hata 5k ya chai si mbaya.

iii) Kuwa mfuatiliaji kweli na serious.

Sasa kuhusu TRA, naskiaga kwa parcel kubwa kubwa za kwenye box kama kuanzia kg 1 (sina uhakika katika hili, wengine mtanisaidia) wanatoza asilimia 16 (16%) ya gharama ya mzigo. Kwa PC naskia hawana kodi zaidi ya cable yake tu (napo sina uhakika). Mkuu ntaulizia kiundani kwenye hili kwa uhakika zaidi.

Pale nilopokosea, wakuu mnisaidie kurekebisha.
 
eliasy na wengine mliokuwa mkohitaji kujua gharama za kupokea vifurushi vya bidhaa zilizonunuliwa online/international tembeleeni hii tovuti ya Tanzania Posts Corporation na click on tools then utaona tariffs au click on the following url

http://www.posta.co.tz/tarifindex.htm
 
Last edited by a moderator:
Anayefahamu process za hela kuingizwa kwenye acc maana paypal wamenirudishia pesa yangu kutoka kwa MTU niliyekuwa nnamdai lakini haijaingia kwenye acc yangu ya NBC mpaka Leo huu ni mwezi wa tatu
 
Anayefahamu process za hela kuingizwa kwenye acc maana paypal wamenirudishia pesa yangu kutoka kwa MTU niliyekuwa nnamdai lakini haijaingia kwenye acc yangu ya NBC mpaka Leo huu ni mwezi wa tatu

Duh, mkuu labda uende na kithibitisho (PayPal description ya hela iliokuwa refunded) NBC af uwaulize ukiwaonesha kabisa kuwa pesa zimerudi.
 
Duh, mkuu labda uende na kithibitisho (PayPal description ya hela iliokuwa refunded) NBC af uwaulize ukiwaonesha kabisa kuwa pesa zimerudi.

Hawaoneshi ushirikiano na Mimi kabisa hao jamaa wa bank
 
Back
Top Bottom