Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Nashukuru sana mkuu.Piga dawa ya ukungu yenye kiuatilifu cha kukinga na kutibu kama yenye ivory 72,ebony72,ridomil gild,linkomil,milraz,othelo top,score,ortiva etc
Kwa hio nitumie moja kati ya dawa hizo au ni zote natakiwa kutumia, kila lari.