Jifunze kitu hapa: Hii hapa Taarifa ya mwanaume aliechomwa moto na mwanamke wake (mchepuko)

Jifunze kitu hapa: Hii hapa Taarifa ya mwanaume aliechomwa moto na mwanamke wake (mchepuko)

Bidada alidhamiria alichokifanya, huwenda hata hajutii maamuzi yake.
Kuna watu wana roho ngumu jama
 
Kwa Mujibu wa Malelezo ya awali Marehemu alitumiwa laki moja na mtuhumiwa baada ya kupokea pesa ya mchezo aliokuwa akichangia kupitia ujasiriamali wa kuuza supu ya kongoro.......
Inasemekana marehemu alikuwa kalewa siku ya tukio.

Huyu Binti ana akili TIMAMU Ila nahisi alipata kichaa Cha muda, Hatujui marehemu alimkosea nini mtuhumiwa zaidi ya tunayosikia.

Tukumbuke hakuna mahakama ya mapenzi. Hakuna shahidi wa moja kwa moja.

Tuwaelewe watu Tusihukumu watu.
 
Oyaaa

Wanawake wa Kichagga/Kipare ni nomaaa. Huwezi ona Wabena wanaua waume zao. Mwanamke wa Kibena ni mvumilivu sana. Wachagga/Wapare siyo wa kuwakurupukia.

Ukioa akina Mushi ujiandae kisaikolojia.
 
HAMNA MTU ANASTAHILI KUUWAWA KISA WIVU SIJUI USALITI.

Mtu sio mwaminifu mwache au msamehe muendelee na maisha.
Yani uue mtu kisa ana wanawake wengi?
We wanaume wengi huwaoni?

Anat...MBEa kwenye mwili wako?
Mmeshindwana achaneni!
Haya maujinga ujinga ya tumetoka mbali, sijui nimemfanyia hiki.
It's a total nonsense!!

Thamani ya Uhai wa mwanadamu haijawahi kuwa less ya chochote.
Ubinafsi wa kipepo sana!
Mxxxxxxxxxxxxiiiiiie
 
Kwa Mujibu wa Malelezo ya awali Marehemu alitumiwa laki moja na mtuhumiwa baada ya kupokea pesa ya mchezo aliokuwa akichangia kupitia ujasiriamali wa kuuza supu ya kongoro.......
Inasemekana marehemu alikuwa kalewa siku ya tukio.

Huyu Binti ana akili TIMAMU Ila nahisi alipata kichaa Cha muda, Hatujui marehemu alimkosea nini mtuhumiwa zaidi ya tunayosikia.

Tukumbuke hakuna mahakama ya mapenzi. Hakuna shahidi wa moja kwa moja.

Tuwaelewe watu Tusihukumu watu.
Nothing justifies anything.
Unauaje mtu, kisinguzio ni mahakama ya mapenzi haipo.
We need to understand rejections.
We need to accept not being accepted.
We just need to normalize people's NO!
Its a total sentence.
 
Nothing justifies anything.
Unauaje mtu, kisinguzio ni mahakama ya mapenzi haipo.
We need to understand rejections.
We need to accept not being accepted.
We just need to normalize people's NO!
Its a total sentence.
Mkuu Sina Nia ya kumtetea mtuhumiwa, Kumbuka ni mtuhumiwa kwa kuwa bado chombo Cha Sheria hakijathibitisha.

Usikute akapata wakili mzuri akashinda Kesi maana hakuna Shahidi Hadi Sasa aliyekuwepo eneo la tukio kuthibitisha mtuhumiwa ndiyo alisababisha CHANZO Cha Moto.
 
Hahahaaaaa, ikabidi uwe mpoleee
nikawa mpole, maana alikua ananisema sana kuwa yeye anataka wawe wawili tu, yeye na wife! Alivoona kama sieleweki akasema anaenda kumwambia wife maana ndioa mwogopa.
 
nikawa mpole, maana alikua ananisema sana kuwa yeye anataka wawe wawili tu, yeye na wife! Alivoona kama sieleweki akasema anaenda kumwambia wife maana ndioa mwogopa.
Dah😂😂😂😂😂
 
Jamaa huyo maarufu kwa jina la Zungu ameuliwa kwa kuchomwa moto na mpenzi wake huyo kwa jina la Neema. Tukio limetajwa kutokea huko Mbezi Makabe, Dar jana usiku.

Sababu inadaiwa ni jamaa kutokuwa mwaminifu katika mapenzi yao ndipo mdada anadaiwa kumfungia ndani jamaa kisha kumwaga petrol na kuunguza nyumba inayodaiwa kuwa ya baba wa mdada huyo.

Kabla ya tukio hilo jana, inadaiwa Neema aliweka status mtandaoni kuashiria atafanya tukio baya huku katika status hizo akisema mtanisamehe

Zungu ambaye ametajwa kuwa kinyozi huko Mbezi, kwa upande mwingine anadaiwa alikuwa na mke na watoto wawili hivyo Neema alikuwa mpenzi wake mwingine. Kwa mujibu wa walioshuhudia nyumba ikiungua wamesema walikuwa wakisikia sauti ya Zungu akimuomba Neema amsamehe na amfungulie mlango asifariki lakini moto uliochagizwa kwa petrol unadaiwa ulikuwa mkubwa

Neema tayari inadaiwa amedakwa yupo polisi.

Je, kitendo alichofanya Neema ni sahihi?

Nini maoni yako?

View attachment 1856649
Simlaumu Neema hata kidogo kusema ukweli wanaume baadhi wanakera mno unavumilia mpka unachoka[emoji30]
 
Nikianza ku imagine kwa circumstances ya tukio naona kama hata mchizi kafa kizembe

Yani demu anawasha moto we uko ndani baada ya ku fight utoke unaanza kumuomba afungue mlango?

Hapo ningekua mimi vyombo vya habari headlines zingeandika the return of koyla.

Yani ningepita na mlango huku nawaka kama sharukan
Mageti ya chuma mlangoni, madirisha grill za chima hutoboi labda upande mezani utoboe bati.
Tatizo moto wa petrol unakuwa mkubwa sana na mlipuko wa ghafla.
 
Mageti ya chuma mlangoni, madirisha grill za chima hutoboi labda upande mezani utoboe bati.
Tatizo moto wa petrol unakuwa mkubwa sana na mlipuko wa ghafla.
Kumbuka geti la chuma linashikwa na lock tu, forcus kwenye lock piga na kitu kizito kwa pressure kubwa fasta utajikuta upo nje

Moto wa petrol ni mkubwa ila utakua mkubwa zaidi kama ukiuacha ukuvamie bila kufanya jitihada ya kujiokoa kwa kutegemea kelele zako za kumuomba demu afungue zitafua dafu

Hapo ni jihadi tu
 
Back
Top Bottom