Kwanza kabisa mungu Hana JANJA JANJA, MWENYE ENZI MUNGU YEYE YUPO, kwanza hongera sana maana upo katika hatua nzuri sana ya kwenda kuanza kuziiishi nakuni zake za ukweli kanuni za NAMBA yani upo sehemu sasa unaweza kuanza kuhesabiwa baraka zako, kitu ambacho kutoka sasa unatakiwa Kujifunza Ili ufike sehemu salama na uanze kuenjoy maisha, sasa kunazo hatua za kuanza Kujifunza Ili uanze safari yako vizuri, kuna swali lazma ulijibu Ili safari yako ianze kuwa ya kweli na uhakika, na uwe kwenye mafanikio kwa KADRI na KUDRA zake Kila siku.
JE ? KAMA MUNGU WETU MKWELI ANAIJUA KESHO YAKO/YETU, YANI ALIJUA WEWE UTAFANYA HAYO YOTE ULIOFANYA KABLA ATA HUJAANZA KUFANYA, KWANINI ATAKUCHOMA MOTO/ KWANINI ATAKUANGAMIZA ?
Ile siku unapata jibu ata wewe utagundua na kukili MUNGU NI MKUBWA, na utasema YEYE YUPO.
hili swali usipoweza kulijibu ni mpaka unakufa hautoelewa nini ni nini. Mungu akaipe shauku kubwa nafsi yako Ili utafute na ujibu, Asante.