Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Juzi kuna mtu nilikuwa namwambia kwamba hadi mwanamke akusaliti ni lazima kuwe kuna ufirauni umemfanyia, otherwise, wanawake mko loyal sana kwa wanaume wanaowapenda na kuwathamini.
Sometimes mwanamke anatafuta mtu nje sio kwasababu anataka akukosee au kukumiza ni kwasababu anataka kuona nje kuna nini anataka kuonja so not necessarily anafanya kwasababu personal.
 
Dah
Dah! Hata kama mkeka umesoma huwez kuwa na dharau za namna hii,
Huyo unaesema unamridhisha kwa pesa ujue kuwa hakosi sababu,
Kuna Uzi humu dada analalamika kuwa boyfriend wake anampa Kila kitu ila mvivu kitandani yaan Kila akikutana nae dada haoni ndani mpaka inafika wakati anamchukia saivi, na jamaa analazimisha ndoa but dada anasita kuwa kama yakuiba Inakuwa hivi je ikiwa mbelelele itakuaje?
Mi Kila siku huaga nawaambia nyie wanaume papala kuwa mwanamke haridhishwi hata siku Moja iwe kwenye pesa au kwingine kokote kule.
Hiki kiumbe kilivyo Cha ajabu ni kwamba anaridhishwa na mambo yakijinga saana, yaani kuwa bandidu saana kwake alafu siku Moja Moja uwe mwema yaan maisha yenu yanakuwa kwenye hiyo circle hawez kutoka kwako niamin mim.
Ila ukiwa na mapenz ya ujinga kama haya unayoyasema ww anakuona zoba huyu na atakufanyia vituko mbele ya miamala Yako mpaka ushangae dadeewki.
We jiulize kwann zamani watu walikuwa hohehahee lakin ndoa zao zilikuwa zinadum?? Hata ukute mume fukara kias Gani lakin mke hatok
 
Mama yako pia usimsahau
 
True DAT,baba zetu walikuwa mabandidu kuanzia kwa mama hadi watoto na ndo kilichopelekea now wanazeeka pamoja na sisi tumekua watu wazima.
 
kuna mada humu ndani zinachekesha sana
 
Mwanamke anaweza akachukua pesa yako na bado akaenda kumpa utampa asiemuhudumia ita very possible,hudumia mwenyewe hisia za kweli nawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…