Changchun yatai
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 410
- 1,050
Pamoja na kucheza karate kote kule kumbe huku unatulia kama kuku mwenye kideli? Ama kweli nimeamini hayana mwongozo.Endelea kuwepo usome comments
Mjeda nae anayo haki ya kufurahishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kucheza karate kote kule kumbe huku unatulia kama kuku mwenye kideli? Ama kweli nimeamini hayana mwongozo.Endelea kuwepo usome comments
Mjeda nae anayo haki ya kufurahishwa
Sawa mkuu [emoji28][emoji28]Hapana, hizo utakuwa unakunywa kidogo kidogo hata mwezi mzima. Zikiisha useme tuongeze zingine.
Wewe wasema [emoji28][emoji28]You do, it'd obviously break your heart to have the bitch you keep suxk dicks around.
Hakika, kuna mahali tu alikosea [emoji28]Aaah experience yako mbovu usituhusishe wanawake wote bwana. Huyo kuna mahali ulimkosea[emoji1787]
Sometimes mwanamke anatafuta mtu nje sio kwasababu anataka akukosee au kukumiza ni kwasababu anataka kuona nje kuna nini anataka kuonja so not necessarily anafanya kwasababu personal.Juzi kuna mtu nilikuwa namwambia kwamba hadi mwanamke akusaliti ni lazima kuwe kuna ufirauni umemfanyia, otherwise, wanawake mko loyal sana kwa wanaume wanaowapenda na kuwathamini.
Nawakaribisha sana [emoji28], nipo tayari kuwahudumia.Kama uyasemayo unayatenda basi jiandae leo pm yako kufurika
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]Wageni na wenyeji wote waone sanamu lake litakalobeba ujumbe maridhawa “Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu.
Wewe ndio umenena sasa mkuu [emoji28]Ili utoe kwanza unatakiwa uwe nazo, hapo ndipo shida inapoanzia
Haha... Haya bhana.Wewe wasema [emoji28][emoji28]
Dah! Hata kama mkeka umesoma huwez kuwa na dharau za namna hii,Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Hello!! Naona watu wamenuna [emoji75][emoji75]Hi Kelsea [emoji4]
Siku ukileta Uzi umechapiwa naomba unitag mkuu.Juzi kuna mtu nilikuwa namwambia kwamba hadi mwanamke akusaliti ni lazima kuwe kuna ufirauni umemfanyia, otherwise, wanawake mko loyal sana kwa wanaume wanaowapenda na kuwathamini.
Kama navyokugonga wewe na mama yako.Watu wenye midevu like zenu za nini au na nyi mnataka mpewe hela mgongwe
Mama yako pia usimsahauKindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
True DAT,baba zetu walikuwa mabandidu kuanzia kwa mama hadi watoto na ndo kilichopelekea now wanazeeka pamoja na sisi tumekua watu wazima.Dah
Dah! Hata kama mkeka umesoma huwez kuwa na dharau za namna hii,
Huyo unaesema unamridhisha kwa pesa ujue kuwa hakosi sababu,
Kuna Uzi humu dada analalamika kuwa boyfriend wake anampa Kila kitu ila mvivu kitandani yaan Kila akikutana nae dada haoni ndani mpaka inafika wakati anamchukia saivi, na jamaa analazimisha ndoa but dada anasita kuwa kama yakuiba Inakuwa hivi je ikiwa mbelelele itakuaje?
Mi Kila siku huaga nawaambia nyie wanaume papala kuwa mwanamke haridhishwi hata siku Moja iwe kwenye pesa au kwingine kokote kule.
Hiki kiumbe kilivyo Cha ajabu ni kwamba anaridhishwa na mambo yakijinga saana, yaani kuwa bandidu saana kwake alafu siku Moja Moja uwe mwema yaan maisha yenu yanakuwa kwenye hiyo circle hawez kutoka kwako niamin mim.
Ila ukiwa na mapenz ya ujinga kama haya unayoyasema ww anakuona zoba huyu na atakufanyia vituko mbele ya miamala Yako mpaka ushangae dadeewki.
We jiulize kwann zamani watu walikuwa hohehahee lakin ndoa zao zilikuwa zinadum?? Hata ukute mume fukara kias Gani lakin mke hatok
kuna mada humu ndani zinachekesha sanaKindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh bay nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Tena kimbubga aina ya bi hidayaJichanganye ufilisike kwa kasi ya kimbunga