Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Asante mama!

Ni aibu iliyoje kuja kutambua kuwa umezaa omba omba au mtegemezi /mlemavu mwenye viungo vyote!!

So sad!
 
HUU UJINGA NILIUACHA KWA WYF NILIWAHI INGIWA NA JN MAHABA YA WAKE ZA WATU MMOJA ALIKUWA ANAPEWA MZIGO MREFUU M NAFANYA KUTAFUTA CHOCHO TUNAHONDOMOLAA YAAN BALAA MWAKA MZIMA NA NUSU NALETEWA CASH MPAKA AKAENDA MAREKAN....ENDELÈN KUWAPA TENA MKOPE X PESA ..MPESA MKOSE KULIPA MWONE MSG ZA WAHUNI KILA CONT ZAKO TUTAZILA ATUACHII
 
WEWE ni mtu wa maana,Leo nitakuweka kwenye maombi yangu.

Kwanza wewe malaika Gabriel akulinde Kila unapoenda,

Mungu akubariki unapoingia na unapotoka,

Atakayekulaan na alaaniwe yeye mpaka kizazi chake Cha 3


Kwanza umekula ?
 
Kwa hiyo hata sisi tunaolipwa 60k kwa kazi za ulinzi, tunahusika?

Tuoneeni huruma jamaa.
 
If you want your woman to feel like a real woman kuna baadhi ya mambo lazima umfanyie aisee, sio ufundi tu kitandani, ni zaidi ya hapo.

Hata mimi mwanaume nikimpa mwanamke wangu hela tena bila yeye kuniomba huwa nau-feel kabisa uanaume wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…