Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Hivi kuagiza camera mfano canon 5d na kisha utumie njia ya posta ya kawaida si risky kubwa sana?
Ni risk ndiyo kama mzigo wako utakuja kwaida kwa kutumia international mail postage.
Lakini unaweza kupunguza hiyo risk kwa kutumia tracking postage.

Mzigo wako utakuwa tracked katika kila kituo ambacho umepitia mpaka kukufikia wewe mtu wa mwisho. Na unaweza ukaongea na Seller wako akakutufutia best shipping method you can afford.
 
Katika bidhaa kuna bei imeandikwa pale, je kuna uwezekano wa ku-bargain ili kupunguziwa bei kwa namna moja au nyingine.

Kama jibu ni NDIO, je manunuzi yatakuaje baada ya seller kupunguza bei na kuwa tofauti na ile iliyoandikwa pale amazon/ebay/ alibaba n.k.
 
Nimejifunza jambo zuri sana hapa, ambalo kwa kweli nilikuwa ni kipofu katika hili. Je, MasterCard na Visa card ipi ni bora katika manunuzi ya mtandaoni?
 
Nimejifunza jambo zuri sana hapa, ambalo kwa kweli nilikuwa ni kipofu katika hili. Je, MasterCard na Visa card ipi ni bora katika manunuzi ya mtandaoni?

swali gumu kidogo ila kwa ufahamu wangu mastercard ni bora zaidi kuzidi visa kaka.. mastercard ina huduma nyingi kuliko visa ila kwa upande wa online shopping zinakuwa na same value kwa maana karibu masoko yote wanakubali visa na mastercard.. hivi karibuni naona visa inazidi pukoteza support ila still sio mbaya,, to be safe nakushauri go for mastercard...
 
Kwa seller ambaye hatumi mizigo tz nimetumia campany ya SHIPITO ni nzuri sana na bei zao ni cheap sana

Unazionaje huduma za SHIPITO mkuu.. nikikuomba rate yako ya huduma uliyo pata utairate ngapi out of ten
 
Unazionaje huduma za SHIPITO mkuu.. nikikuomba rate yako ya huduma uliyo pata utairate ngapi out of ten

Kwa SHIPITO naipa 8/10 kwasababu
1.gharama zao zipo chini sana.
2. Wanatumia Paypal kufanya malipo
3.wanakupa option nyingi za kutumiwa mzigo wako kuanzia dollar $3 mpaka dollar $65 ni wewe tu unauwaraka kiasi gani na unapenda njia gani.
4.wanakutumia mzigo wako hata kama hauna hela kwenye akaunti yao.
5. wako fasta sana mzigo ukifika kwenye warehouse yao wanakutumia email kuwa kuna mzigo wako haizidi dakika 15 baada ya mzigo kuwafikia
6.wanaonline chat ambayo muda wote wapo online na unasikilizwa 24 hrs.
 

Asante kaka kwa ushirikiano wako. Nimekupata sasa.
 

Ungetoa ufafanuzi zaidi kuhusu hao SHIPITO
1.Gharama ziko chini ukilinganisha na zipi ?
2.Paypal nafikiri karibia kampuni zote wanatumia paypay

3.Wanatumia vigezo gani kucharge gharama zao,wanaangalia uzito wa mzigo,thamani ya mzigo,nchi uliyopo?

Kama ikiwezekana ungetupa simu au link ya website yao
 

nashukuru mkuu kwa kuniongezea vitu vipya......!!!
 

link yao ni www.shipito.com nawapenda kwasababu hawana pesa ya kufungua acc na wanacharge mzigo kutokana na uzito kama kampuni nyingine wanavyofanya ila wana option nyingi sana kuanzia za bei rahisi sana mpaka za bei kubwa tofauti na kampuni nyingine utakuta kutuma mzigo kutoka marekani lazima utumie FEDEX au DHL.
 
Safi sana hii

huu uzi ni mzuri sana mimi mwenyewe nilijifunzia hapa hapa nikajaribu na nimefanikiwa na nilichogundua wenzetu wazungu waaminifu sana siyo kama sisi waafrika kwaiyo msiogope kujaribu. japo unatakiwa uwe makini pia.
 
Hii kitu imetulia, nilishajaza fomu husika kupata huduma hii, Leo hii naiwakilisha banki inayohifadhi madafu yangu.
 
Mwenye uzoefu na gari za mazda demio anipatie. Intems of spare je kwa nchini zinapatikana? Je zipo kama IST au swift kwa ukubwa.
 
Nahitaji kujua juu ya Matumizi ya PayPal Account!!! Hasa katika Kuweka au tuseme Ku-Add hela Kwenye akaunti yangu ya PayPal.
 
Mwenye uzoefu na gari za mazda demio anipatie. Nataka kujua spare zake zinapatikana hapa Tanzania kwa urahisi au gharama ni kubwa sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…