Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

hii ni gharama ya kutuma shati la usd 17 imefikia total 85usd...
View attachment 483412
- Ghalama kubwa ni sehemu ya changamoto kwa shipping company za USA.
1. Kwa kuzingatia hizo changamoto
2. Pia kwa kuzingatia uhitaji wa watanzania wengi

Hivyo nimeanzisha huduma kama ya MYUS, COMGATEWAY etl

Huduma hiyo nimeiita SHIP4ME
- Unanunua bidhaa wewe mwenyewe
- Ila shipping address nakupatia yakwangu ya USA au Taifa jingine kama UK, GERMAN etl kwa kutegemea ni site ipi na ya wapi unanunua bidhaa.

(NB: Faida ya kutumia huduma yanguni zaidi ya MYUS au COMGATEWAY ambapo wao wanakupa anwani ya USA tu, ila kwa mimi nakupa anwani ya CHINA, USA, UK, MUMBAI, JAPAN, FRANCE, GERMAN, etl)

- Ambapo ghalama za kusarishia kwangu zinatokana na uzito wa mzigo tu

Tuchukue mfano hai, Kwa sharti moja uzito wake hauzidi 500g ila ni chini ya hapo, Hapo kwangu ungelipia USD 15 kama freight cost.

Hiyo ghalama walio kucharge kwa upande wangu hiyo ni ghalama ya kusafirishia LAPTOP na sio shati.

Kuhusu huduma ya BUY4ME & PAY4ME pitia hii link: www.v.ht/buy4me

Pole sana Mr. MTUI
 
Asante mkuu ngoja wajuzi waje... Ntapitia hyo website yako nione yaliyomo
 
Mbona kuna bidhaa nyingine wanasema hauzi kwa tz?
 
Habari za jion, naomba kujua jinsi ya kulipia huduma online, especially kama kama service yenyewe iko china,.marekani nk....
Nimejaribu kutumia card zangu za benki ila zinakataa
 
Labda ungetoa maelezo kama umeshawahi kuitumia kadi kununua bidhaa online hapo kabla? Na je kadi yako ni ya benki gani?
 
jalibu kufungua account ya paypal itakuwa rahisi kwa ww kuripia hizo huduma ingia google andika paypal alaf neenda sehemu wameandika creat account alaf utafuata maelekezo hii njai ni rahisi pia ni salama
 
jalibu kufungua account ya paypal itakuwa rahisi kwa ww kuripia hizo huduma ingia google andika paypal alaf neenda sehemu wameandika creat account alaf utafuata maelekezo hii njai ni rahisi pia ni salama
hawezi kwa kadi ya CRDB mpaka wai activate wenyewe..
 
Naomba msaada. Nimeshindwa kubadilisha account kwenda premium kwenye MyUS.com, hasa shida inayoonekana ni kulipia fee
 
Naomba msaada. Nimeshindwa kubadilisha account kwenda premium kwenye MyUS.com, hasa shida inayoonekana ni kulipia fee
Nimebadilisha membership nikaletewa majibu haya:

An error has occurred. You may need to update the payment or billing information. Please select the My Account Settings tab above then update your Payment Method. Please contact Customer Service if you require further assistance.
 
An error has occurred. You may need to update the payment or billing information.
Hili hujitokeza iwapo account yako ina fedha kidogo au haina fedha kuweza kulipa kiasi husika.
 
Account ina kiasi cha kutosha kulipa madai wanayodai, lakini bado inakataa
 
Im impressed...keep on doing good stuffs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…