Hiki ndicho kinafanyika hapa: Nunua bidhaa: Kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaNi bora uwe na mtu au kampuni, au wakala ambaye anakuwakilisha na kukuhakikishia mzigo wako unakufikia salama na sehemu husika.
mkuu strawberry ni mimea ya aina ipi?????? toa ufafanuzi tafadhali, huenda nimeukalia uchumi!!!Mkuu... angalizo... mimi ni mkulima wa strawberry miaka mingi saaana... kuotesha mbigu ni kazi ngumu saana kulingana na condition zetu...
La msingi ni kununua miche tu.
Mmoja unauzwa 1000.
Ukinunua 50 tu baada ya muda unapata miche yako km mia 5 na kuendelea
Sent from "La -Vista"
Aina gani kivip... kitaalamu au vipi?mkuu strawberry ni mimea ya aina ipi?????? toa ufafanuzi tafadhali, huenda nimeukalia uchumi!!!
Asante sana nimeelimika ninahitaji hasa kufanya manunuzi online,mahitajio msaada zaidiunafanya kwa Credit Card...Aliexpress hamna PAYPAL ila wana ESCROW ambao wao wanashika pesa kama Brokers mpaka buyer a confirm mzigo umefika na uko na similar descriptions wakati ananunua....
then ukishaupata una confirm umepokea ndio wanamlipa PESA YAKE MUUZAJI
na unaweza kufungua KESI (dispute) ikiwa una mashaka na item yako uliyopokea LI EXPRESS wakishirikiana na ESCROW watakusaidia kupata aidha refund au new item from seller
BenkiHyo credit card inapatkana wap?
Benki yoyote au? Na je ni lazma niwe na benk a/c ktk hyo benki?Benki
Kuna baadhi ya benki wanakupa card hata bila ya kuwa na accountBenki yoyote au? Na je ni lazma niwe na benk a/c ktk hyo benki?
Asante sana ndugu,nimekupataKuna baadhi ya benki wanakupa card hata bila ya kuwa na account
Na benki zingine huwa ni card pamoja na account.
Anzia mwazo kuna majibu ya haya maswali!Habari Wana jamiiF
Nafurahi Muwazima Wa Afya njema
leo naomba kuuliza je nikinunua bidhaa amazon au ebay nitatumiwa kwa njia ipiii?
je pia njia ipi salama kama nahitaji kununua bidhaa online?
Pia naomba kuuliza mzigo kusafirishwa kwa njia ya ndege kuna garama gani?(mizigo midogo midogo kama kamera hivi ama simu)
Napia mzigo nikinunua nje na kisha ukalipiwa garama za usafiri huko nnatakiwa nami kulipia tena jambo lolote kwa hapa tanzania?
Naombani msaada wakuu maana ninahitaji haswaaa kujua
iko vyema kwa order kubwa.Vipi kuhusu alibaba.com
Price +Durability....
Ahsante sana Mwalimu, ngoja nikucheki kuna kitu nataka kuagiza.Kitu gani cha msingi zaidi unaangalia unaponunua bidhaa mtandaoni?
1. Njia salama ya malipo itakayotumika - Epuka seller wanaotaka malipo yafanyike kwa Moneygram au western union iwapo ni mara ya kwanza kufanya naye biashara.
2. Njia ya usafirishaji, Hii inakupa Uhakika wa kupata mzigo kwa wakati - Usipo kuwa makini kipengele hiki waweza jikuta mzigo unaupata baada ya wiki 5, wakati ukiwa makini basi utapata mzigo ndani ya siku 15 - 21 au chini ya hapo.
3. Reviews za wateja wengine kwa seller na bidhaa husika kabla sijafanya maamuzi ya kulipia bidhaa husika.
Karibu www.bit.ly/101buy4me