Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Telegraphic Transfer. Unaenda bank unafungua account ya $. Ukishafungua hiyo account na kujaza form ya TT, benki wanamalizia kutuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si lazima uwe na account ya USD unaeza ukatumia suspense account ya bank husika as long as una account na hiyo bank, (hata kama ukiwa huna account na benki husika ingawa yumkini kanuni zinaeza kua zimebadilika...kwenye game kitambo sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu acha siasa mtu wa Mungu. Elezea uhalisia. Elezea suspense account ni nini na inatumika vipi.

Nena usaidie mwingine sio uonekane unajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu acha siasa mtu wa Mungu. Elezea uhalisia. Elezea suspense account ni nini na inatumika vipi.

Nena usaidie mwingine sio uonekane unajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kila kitu kimeingizwa siasa siku hizi, kitu kisipoeleweka ni siasa kumbe basi siasa ni utapeli uongo uzuzu nk....anyway hayo tuwaachie wanasiaisa.....

Ni hivi, suspense account ni kwa mfano unataka kutuma let say TT kwenda kwa supplier yuko China na umeona bank X ina rate nzuri hata kama huna account hapo ,unaenda na [emoji383] [emoji385] [emoji384] zako una kubaliana exchange rates then unatuma. Unajaza details zako na za supplier. Kwa kifupi kabisa kupunguza siasa. Yaani benki inakutumia kwa niaba yako kwa commission.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna bidhaa nahitaji kununua katika mtandao wa Alibaba ila seller kunambia nimlipe kwa TT je ni njia salama kwa pesa yangu?
Ni sahihi mkuu agiza sema wanatakiwa wakutumie orodha ya oder uliyoweka kwao ili uweze kuombea TT kupitia benk yako
 
Habar zenu wanajukwaa, nauliza nikinunua bidhaa amazon itatumwa kwangu kwa njia gan , namaanisha ntaipata wap ?
 
Habar zenu wanajukwaa, nauliza nikinunua bidhaa amazon itatumwa kwangu kwa njia gan , namaanisha ntaipata wap ?
itatumwa kwangu kwa njia gan
Nyingi ya bidhaa kwa amazon hawatumi direct kuja Tanzania,.

Ili upate bidhaa toka amazon kuna huduma mbili, mojawapo waweza kuitumia.

Kuhusu njia gani?

Angalia hizi thread:
Kwa huduma ya BUY4Me utawasiliana nami moja. karibu
namaanisha ntaipata wap ?
Anwani utakayojaza (Shiiping address) wakati unafanya manunuzi ndio itakayotumia kupokelea bidhaa yako.
 
JF ni zaidi ya uifikiriavyo.
Nimeongeza maarifa tena
 
Sasa naweza kupata mzigo mpya kwa bei nzur ikiwemo shipping fees nkauza na kupata faida au ndo gharama kama bongo tu?
 
Sasa naweza kupata mzigo mpya kwa bei nzur ikiwemo shipping fees nkauza na kupata faida
Ndio.
Hata wafanya biashara wengine hufanya hivyo.
Bidhaa zote unazoziona madukani huagizwa.

Hivyo ni vyema kuchukua mzigo mkubwa kwa bei ya jumla jumla - Hii itapunguza ghalama ya usafirishaji
- Alibaba
- DHgate
- made-in-china

Hizo ndio shopping site za kuchukua bidhaa kwa wingi ikiwa lengo ni biashara.
 
Kama mtaj Wang haufk ata lak 5 nafanyaj npate faida kwa kununua bidhaa online?
 
Live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…