chukua hiyo namba waliyokupa, nenda home page international tracking halafu ingiza hiyo nambaSijawahi kupotelewa mzigo kutoka china ila bpost sjapata mzigo wangu nilioagiza since May... Tatizo kubwa ni tracking ya mzigo... Tracking number zao ni tofauti na hzi nyingine.
Baada ya kutumia hyo link ya postatzTracking kwa local postal ni tatizo mkuu sijui kama umenielewa mzigo kupitia site mbalimbali unaonesha ulishafka since 13 June ila nothing.
huo umepigwa, log appealTracking kwa local postal ni tatizo mkuu sijui kama umenielewa mzigo kupitia site mbalimbali unaonesha ulishafka since 13 June ila nothing.
Teyar mkuu, nasubiria refund tu.huo umepigwa, log appeal
Mimi kwangu haijatokea wala haitotokea nipo makini mnonimeibiwa mara 4 na sasa nina case mbili nimefungua aliexpress na nyingine ebay, wanadanganya wametuma kumbe hawajatuma
Ohoooo ngoja nisubirie haki nitakomaa naoBpost ni kimeo mkuu, mmi mzigo ulipotelea kwenye transit ikabid niombe refund.
Umeshafungua dispute?km,bado na unasubiria njoo pm nikusaidie anyway mm ninatumia system mbili kutrack mzigo ya kwanza ni track no ya pili natrack kwa system ya postaSijawahi kupotelewa mzigo kutoka china ila bpost sjapata mzigo wangu nilioagiza since May... Tatizo kubwa ni tracking ya mzigo... Tracking number zao ni tofauti na hzi nyingine.
Umeenda posta yako kuangalia??ikiwa umeenda local postal yako umekosa nenda posta kuu ya sehem husikaTracking kwa local postal ni tatizo mkuu sijui kama umenielewa mzigo kupitia site mbalimbali unaonesha ulishafka since 13 June ila nothing.
Nisaidie nami tracking system ya posta mkuu kama hutojaliUmeshafungua dispute?km,bado na unasubiria njoo pm nikusaidie anyway mm ninatumia system mbili kutrack mzigo ya kwanza ni track no ya pili natrack kwa system ya posta
Kiukweli sijawahi kukadiriwa kodi. Toka nimeanza kununua labda buku jero tu mara nyingine inahitajiwa na posta na mara nying naagiza vitu vidogo vidogo tuMkuu umeshafanya Manunuzi mara ngapi. Na vipi kuhusu issue za Kodi TRA. Na pià je huwa unatumia Posta kupokea Mizigo?? Tupe Hints za usalama wa mali
Tracking system ya posta ukienda pale posta unawapa tracking zako wanaangalia wanakwambia mzigo km ushawasili kwenye posta yao na kujua upo wap popote pale tzNielekeze nami tracking system ya posta mkuu kama hutojali
Pitia nyuzi humu utajifunza mengi sana mm mwenyewe nilijifunzia hukoNahitaji kuagiza simu aliexpress ila sasa i know nothing kwa kweli...
Kweli hata mimi bpost umepotea,naombaje refund mkuu?Bpost ni kimeo mkuu, mmi mzigo ulipotelea kwenye transit ikabid niombe refund.