Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Ni elimu nzuri kwa kweli
 
Wakuu msaada..EBAY kila nikitaka kufanya malipo( confirm and pay), muda huo nipo kwenye ya pay with paypal( kwa sababu tayari nimeshajiunga) Naambiwa your payment didn't go through..please select a different payment option and try again...hebu mnisaidie kwa hilo wataalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUO TE="moureen mwakibinga, post: 14390989, member: 231228" Tumia unique air cargo
VP sis tunaoagiza mizgo China njia gani rahisi kwetu kampuni gani inafaa
[/QUOTE]
 
Kama kuna yeyote amewahi kuagiza kitu au vitu kutoka Amazon au Ebay,kama mpo naomba mnipe muongozo kame ifuatavyo je kitu ulichoagiza kilifika salama na je huwa ni mda gani kitu hufika baada ya kuagizwa na iwapo kuna huduma ya kuenyesha usogeaji wa bidhaa ninapokuwa safarini
 
nimekutana na forwarding company inaitwa reship, spesheli kwa USA, Canada and UK. Ubora wake hii ipoje?
 
Msaada nataka kununua vitu kwa bei ya jumla alibaba vipi kuhusu uaminifu wa supplier
 
Msaada nataka kununua vitu kwa bei ya jumla alibaba vipi kuhusu uaminifu wa supplier

Alibaba wana kitu inaitwa “Alibaba trade assurance” ambayo kazi yake kuu ni kulinda pesa yako , ubora wa bidhaa , na muda mlokubaliana wa mzigo kukufikia wewe
cha kuzingatia wasiliana nae na mfanye makubaliano humo humo alibaba sio kwenye e-mail au whatsapp namna ya kufanya malipo nenda help center watakuelekeza vizuri kuhusu alibaba trade assurance ili uwe salama zaidi usilipe nje ya humo alibaba
 
Babarazack,
Seller huchagua njia za kuwatumia parcels wateja wake, wapo wanaotoa option kwa njia zote na kumpa uhuru buyer kuchagua njia ipi nafuu na ya haraka kwake, ila wapo baadhi ambao huwa wameweka njia moja tu with no options mfano; unakuta seller amechagua only DHL/FedEx hizi ni very expensive, bidhaa inauzwa 11.99$ lakini shipping fee 120$ by DHL/FedEx took 5-7 days shipments to arrived. So itakubidi kuachana na seller huyo na kutafuta mwenye nafuu unless kama unapesa ya kupoteza!
 
Wakuu kwanaemjua shiping agent yeyote india to tanzania Naomba mawasiliano yake nahitaji kuagiza bidhaa amazoni.in na flipkart lakini jamaa hawaship bongo.
 
nelson15,
Kwanza sikushauri kufanya manunuzi huko yaani Amazon.in or Flipkart hizi Indian-based shopping platforms, ila kwa upande wa Amazon.in unaweza tumia EasybuyAfrica.com hawa wananunua on your behalf, unachotakiwa kufanya ingia kwenye page husika (sio flipkart) copy URL then ingia easybuyafrica.com nenda sehemu ya search then paste ile URL bidhaa itatokea utaichagua kama rangi etc. Pia kuna kipengele cha kukokotoa amount ya pesa mpaka mzigo kufika+ their fees. Shortcomings za kuwa tumia hawa their too expensive, unless ingia Amazon.com maana huku bidhaa zilizopo Amazon US/UK/India zinapatikana!
NB:
Hawa EasybuyAfrica wapo partnership na Vodacom so hakuna ubabaishaji zaidi ya gharama tu, wapo karibia every Vodashop. Ukiona unahitaji maelezo ingia EasybuyAfrica.com utapata maelezo!
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…