Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Shika neno hili. Kuna mtu ukimkopesha Hela, kila mara unakuwa mtu wa kupoteza simu na mtu msahaulifu.
Mtu mwingine ukimkopesha Hela Yako, anakupeperusha, unajikuta bila sababu yoyote umehamia mbali na eneo la mdaiwa wako.
Mtu mwingine ukimkopesha Hela, unajikuta unaanza kuandamwa na makesi ya ajabu ajabu unaishia jela.
Mwingine ukimkopesha Hela, unaishia kitandani. Utaumwa mpaka basi.
Mwingine ukimkopesha Hela lazima ufe.
Jihadhari sana.
SIRI YA UTAJIRI NI UBAHILI
Mtu mwingine ukimkopesha Hela Yako, anakupeperusha, unajikuta bila sababu yoyote umehamia mbali na eneo la mdaiwa wako.
Mtu mwingine ukimkopesha Hela, unajikuta unaanza kuandamwa na makesi ya ajabu ajabu unaishia jela.
Mwingine ukimkopesha Hela, unaishia kitandani. Utaumwa mpaka basi.
Mwingine ukimkopesha Hela lazima ufe.
Jihadhari sana.
SIRI YA UTAJIRI NI UBAHILI