Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Sitaki kupoteza hii chance,π₯Ή Ndio maana nimekua muwazi na mkweli. Au nimejiponza?ππ kwishaaa
Ushajichanganya hapo mkuu wangu π€£Sitaki kupoteza hii chance,π₯Ή Ndio maana nimekua muwazi na mkweli. Au nimejiponza?
Hiyo nafasi nimeisubiri sana, namfukuza hapa kweli. Na ninasafisha kila kitu.π₯ΉUshajichanganya hapo mkuu wangu π€£
Haya ntakuchek mjini unitumie 20k nikalipie vicoba kesho ntakupa manka mmoja ππNikimpa mtu pesa huwa siamini kama zitarudi Kwa 100% Kwa sababu binadamu haaminiki maana anaweza akageuka au anaweza kufa so nikimpa mtu pesa naamini lolote linaweza kutoka.
Mpira unadunda.
Monetary doctor Poor Brain
Benki hairogekiNa wakikopa kwenye mabenki je? Mabenki yanakufa? Vp ukimrushia kwa simu? Simu zinakufa?
Huwezi kunielewa njoo kanisani nikuonyeshe macho kwa machoHuduma gani ambayo sadaka hazitoshi?
Huwezi kunielewa njoo kanisani nikuonyeshe macho kwa macho
Nakutumia soon ila kunilupa siyo lazimaπHaya ntakuchek mjini unitumie 20k nikalipie vicoba kesho ntakupa manka mmoja ππ
Nipo serious ujue π ngoja nije inboxNakutumia soon ila kunilupa siyo lazimaπ
KamonNipo serious ujue π ngoja nije inbox