upo kiushabiki sana mkuuArusha na ulevi ni hivii [emoji529][emoji205]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo kiushabiki sana mkuuArusha na ulevi ni hivii [emoji529][emoji205]
well saidSister achana na stand ya daladala kuna mambo mengi hayapo sawa, Arusha haina stand kuu ya mabus yaani ni kila kampuni ya mabus ina stand yake na kushusha abiria na kuwapakiza kila kampuni inaamua sehemu yake kwa mfano BM coach, Dar Express na Kilimanjaro express ushusha abiria pale kwenye jengo la NHC pembeni ya Golden crest sehemu ambayo abiria akishuka inamlazimu kutembea hadi kilombero au klokoni kupata daladala ya route yake vivyo ivyo wanaoshushiwa stand ndogo, pia Arusha municipal wanafeli kwenye management ya masoko yao kwa mfano soko la kilombero mvua ikinyesha ni hapatoshi ni kuna tope balaa😂, kitu kingine Arusha waondoe vipanya bhana waweke coasters , waache ushamba coasters sio kwa ajili ya tourists tu.
Kitu nacho ipendea Arusha ina hali ya hewa nzuri , sema udongo wake sasa ni vumbi na tope😂ndo maana boots zinahusika sana,
Kama wakifanyia kazi ivyo vitu na hakika Arusha ni mkoa poa sana sema ndo ivyo imesaulika
😂😂"Mikoa ya kaskazini hio imeshaendelea,Sasa Ni zamu ya kupeleka maendeleo Mikoa mingine"-Kiongozi wa wanyonge aliwahi kusema hayo maneno hadharani.
Dah siku nilipoenda Arusha mara ya kwanza nilichoka Yani Arusha inasifiwa mtandaoni ila ukifika uhalisia hamna mji hauna miundombinu mizuri kabisaArusha inayosifiwa mitandaoni ni tofauti na Arusha yenyewe ilivyo kiukweli huo mji Bado upoupo tu, kuanzia mpangilio Hadi watu wake wako rafurafu tu, wajifunze Kwa majirani zao Moshi mji unavutia na kupendeza
Hili ni janga la Tanzania nzimaMitaa mingi Giza..hakuna taa za barabarani
Dah siku nilipoenda Arusha mara ya kwanza nilichoka Yani Arusha inasifiwa mtandaoni ila ukifika uhalisia hamna mji hauna miundombinu mizuri kabisa
Nilichoona ni kuwa baadhi ya watu wanatoa maoni kwa lengo la kujenga na wengine wanatoa maoni binafsi ya chuki juu ya Arusha.
Ni kweli kama miji yote Tanzania hasa uliokua chini ya upinzani kwa mda mrefu serikali kuna namna iliusisia huu mji lakini bado haiondoi ukweli ndio jiji la pili kwa maendeleo nyuma ya dar.
uyo ameuliza kwa chuki binafsi ndio nilikua na sema pamoja na changamoto tulizonazo Arusha bado kwenye nyanja zingine tupo bora sana mfano halmashauri ya Arusha jiji ndio inayoongoza kwa kuwa na makazi bora nchi nzima sasa uyo anayesema aliona nyumba ya udongo Arusha basi ujue huko alipotoka kuna utitiri wa hizo nyumba na ndio maana hapa watu wenye constructive arguments ni wachache mtoa mada kasema Arusha hamna vituo mtu anachangia eti Arusha aliona nyumba ya udongo seriously 🤣 ni kweli Arusha inachangamoto na kubwa ni taa za barabarani ambazo mwezi huu wa 12 wanaanza kufunga mpya manake sio kwamba zilikua hazipo zilikuwepo ila zilikua haziwaki na kuhusu stendi ya kilombero it's just a temporary thing japo kama halmashauri kuna uzembe stendi haiwezi kuachwa kuwa vile lakini hilo haliondoi uzuri wa mengi ambao Arusha inao na bado ndio halmashauri iliyoendelea zaidi nje ya dar. Naomba kuwasilishaHao wenye nyumba za tope ni Waarusha, na ni za miaka mingi
Ni Kama Moshi mjiniArusha unaweza kusafiri ukaa hata miaka kumi ukija kurudi unakuta kwa asilimia kubwa jiji liko vilevile hakuna kilichoboreshwa au kubadilika.
wewe bila shaka ni zwaza mmoja hujawahi kufika hata Arusha tunaposema changamoto zetu haimaanishi mikoa mingine hamna mfano ukiangalia taarifa ya habari kila siku utakuta wakazi wa dar wanalalamika mara barabara nk haimaanishi dar haina sehemu nzuri ila ni watu wao wanataka huduma bora zaidi. ningependa kufahamu ndugu wewe unatoka wapi??? lazima tu utakua kanda ya ziwa wewe kule kwenye ufukara wakutupwa🤣🤣 tafuta hela uje kutembea Arusha wewe 😎Bidii zao Wakazi wa huko za kupenda Kuvuta na Kulima sana Sigara Bwege ( Bangi ) bila kusahau Kutafuna Mirungi na Kuvimba hovyo Macho yao wakizihamishia tu katika Kuujenga zaidi huu ( huo ) Mkoa wao hizi Changamoto ulizozitaja hapa zitakuwa ni Historia.
🤣🤣"Ina dar mi na hot slama gyal 2 times mi jus float,dats y Mi luv a city weda si don wi mi bway stackin togeda ina consat mi gi ve dem fleva"...Yokoi