Jiji la Arusha limekosa vituo vya daladala, pembeni ya barabara kuu ndio mwisho wa kituo

well said
 
"Mikoa ya kaskazini hio imeshaendelea,Sasa Ni zamu ya kupeleka maendeleo Mikoa mingine"-Kiongozi wa wanyonge aliwahi kusema hayo maneno hadharani.
 
Natamani wenye mamlaka husika waone haya malalamiko, huku hali ni mbaya yani mavi matupu
 
Arusha inayosifiwa mitandaoni ni tofauti na Arusha yenyewe ilivyo kiukweli huo mji Bado upoupo tu, kuanzia mpangilio Hadi watu wake wako rafurafu tu, wajifunze Kwa majirani zao Moshi mji unavutia na kupendeza
Dah siku nilipoenda Arusha mara ya kwanza nilichoka Yani Arusha inasifiwa mtandaoni ila ukifika uhalisia hamna mji hauna miundombinu mizuri kabisa
 
Halafu nilimshangaa jiji kuwa na nyumba za tope na makazi holela yasiyokuwa na barabara za mtaani.
Hao wenye nyumba za tope ni Waarusha, na ni za miaka mingi
 
Mitaa mingi Giza..hakuna taa za barabarani
Ni karibu mji mzima tu. Taa za barabarani zipo sehemu chache sana kama vile barabara ya sakina,Uswahilini.
Lakini sehemu kubwa ni giza
 
Arusha inayosifiwa mitandaoni ni tofauti na Arusha yenyewe ilivyo kiukweli huo mji Bado upoupo tu, kuanzia mpangilio Hadi watu wake wako rafurafu tu, wajifunze Kwa majirani zao Moshi mji unavutia na kupendeza
Ukweli
 
 
Hao wenye nyumba za tope ni Waarusha, na ni za miaka mingi
uyo ameuliza kwa chuki binafsi ndio nilikua na sema pamoja na changamoto tulizonazo Arusha bado kwenye nyanja zingine tupo bora sana mfano halmashauri ya Arusha jiji ndio inayoongoza kwa kuwa na makazi bora nchi nzima sasa uyo anayesema aliona nyumba ya udongo Arusha basi ujue huko alipotoka kuna utitiri wa hizo nyumba na ndio maana hapa watu wenye constructive arguments ni wachache mtoa mada kasema Arusha hamna vituo mtu anachangia eti Arusha aliona nyumba ya udongo seriously 🤣 ni kweli Arusha inachangamoto na kubwa ni taa za barabarani ambazo mwezi huu wa 12 wanaanza kufunga mpya manake sio kwamba zilikua hazipo zilikuwepo ila zilikua haziwaki na kuhusu stendi ya kilombero it's just a temporary thing japo kama halmashauri kuna uzembe stendi haiwezi kuachwa kuwa vile lakini hilo haliondoi uzuri wa mengi ambao Arusha inao na bado ndio halmashauri iliyoendelea zaidi nje ya dar. Naomba kuwasilisha



 
"Ina dar mi na hot slama gyal 2 times mi jus float,dats y Mi luv a city weda si don wi mi bway stackin togeda ina consat mi gi ve dem fleva"...Yokoi
 
wewe bila shaka ni zwaza mmoja hujawahi kufika hata Arusha tunaposema changamoto zetu haimaanishi mikoa mingine hamna mfano ukiangalia taarifa ya habari kila siku utakuta wakazi wa dar wanalalamika mara barabara nk haimaanishi dar haina sehemu nzuri ila ni watu wao wanataka huduma bora zaidi. ningependa kufahamu ndugu wewe unatoka wapi??? lazima tu utakua kanda ya ziwa wewe kule kwenye ufukara wakutupwa🤣🤣 tafuta hela uje kutembea Arusha wewe 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…