Vipanya vyenyewe vimebanwa seats kwa ajili ya watoto wa shuleVipanya sio ushamba. Mbona south au nairobi vinatumika? Wewe ndio mshamba
Seen Idren"Ina dar mi na hot slama gyal 2 times mi jus float,dats y Mi luv a city weda si don wi mi bway stackin togeda ina consat mi gi ve dem fleva"...Yokoi
alafu unakuta mtoa mada anatoka simiyu🤣🤣Oyaa achana na life etu areef fata mambo ako asee..
mwamba unajua sana dah🤣mkuu Arusha inawasumbua sana ukaenda kugoogle kabisa🤣🤣🤣
tangu lini umeona blogs za wazungu zikaongea mazuri kuhusu afrika
au unataka niwakumbushe wasukuma kuhusu video ya mapanki😉
Mi nawaambiaga milele na milele huo mkoa wenu wa maskini hautaifikia Arusha 😥 ndo maana kila siku mnatupostia masoko na stendi mnasahau watu wenu wanajisaidia ziwani🤣
View attachment 2022875
View attachment 2022876
View attachment 2022877
View attachment 2022878
View attachment 2022879
View attachment 2022880
View attachment 2022882
View attachment 2022883
View attachment 2022884
mimi nishindwe na watu wanajisaidia ziwani ase🤣🤣mwamba unajua sana dah🤣
naona watu wa ziwani wanajikusanya wote hawakuwezi dah