Jiji la Arusha limekosa vituo vya daladala, pembeni ya barabara kuu ndio mwisho wa kituo

Jiji la Arusha limekosa vituo vya daladala, pembeni ya barabara kuu ndio mwisho wa kituo

Tanga, Mbeya, Arusha, Mwanza, hiz ni manispaa tu hazikutakiwa kupewa hadhi ya Jiji ispokuwa idadi ya watu ndio ikawapa motisha wanasiasa kuona haya mavijiji yaliyochangamka kuyaita majiji.

mifumo ya miundombinu ni hovyo hakuna mataa ya mijini na njia za magari hazina ubora, mipango miji ni hovyo, huduma za kijamii ni hovyo, maisha ya wananchi ndio usiseme hayatofautian na wale wa vijijin.

afazal kidogo kwa Dodoma ambayo inapewa upendeleo lkn nayo ni takataka tu haina vigezo hivyo kwa nchi yenye maliasiri zakutosha,

hiv ilishindikana vip kwa serikali kutenga kiasi fulani cha pesa kila mwaka kitumike kuyajenga na kuyarekebisha majiji haya yawe mfano na chachu ya maendeleo nchin? kila kanda iwe na makao yake ambayo yataboreshwa kwa kila nyanja...

hii Nchi kuja kuendelea mpka hawa wanasiasa wote watakapopotea ktk uso wa dunia pamoja na vizaz vyao vyote
 
tatizo inajengwa stendi alafu iko katikati ya umaskini sasa
ngoja nikuambie boss sifa ya mji wowote ulioendelea ni private sector investments
sio hiyo miradi mliyopewa kwa huruma za serikali kwa sababu in time kila mkoa utakua na stendi
yani ni kichekesho kwamba eti tunamaendeleo kwa sababu tuna stendi [emoji1787][emoji1787] kwani aliyekuambia Arusha haijengwi nani tena mbili kwa mpigo tutakua na stendi ya kisasa East Africa
Kua mpole chief league umeitaka mwenyewe je wajua ukiutoa mkoa wa lindi pekee mikoa yote iliyobaki kuna usafari wa moja kwa moja kutoka mwanza[emoji1787][emoji1787] mabasi yapo ya kutosha coz wabiria wapo hii ndio sababu mwanza inastand kubwa mbili za mabasi nyegezi na buzuruga na zote zimejaa mabasi bila kusahau mwanza inahudumia nchi 4 kwa usafiri wa basi pekee kunabasi za mwanza-Nairobi-lubumbashi-Kigali na Kampala

Mwanza ni mji wa kimkakati...arusha airport ipo kweli
 
tatizo inajengwa stendi alafu iko katikati ya umaskini sasa
ngoja nikuambie boss sifa ya mji wowote ulioendelea ni private sector investments
sio hiyo miradi mliyopewa kwa huruma za serikali kwa sababu in time kila mkoa utakua na stendi
yani ni kichekesho kwamba eti tunamaendeleo kwa sababu tuna stendi [emoji1787][emoji1787] kwani aliyekuambia Arusha haijengwi nani tena mbili kwa mpigo tutakua na stendi ya kisasa East Africa
Kutakua na stand[emoji3]... Wewe maendeleo unayadifainije kwanza?
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo wakipata pesa za safari mbili 3 wanaanza kulewa na kumwaga kojo hovyo hovyo au!
Yah boss na kupigana juu siku nenda pale palipogeuzwa stand ya soko kuu jioni utajionea vituko
 
halafu nimeona mtu hapo anasema hata njiro ni barabara za tope!!
Mkuu naomba uniambie mitaa ipi ya njiro ambako barabara zake zina lami?

Barabara pekee ya lami njiro ni main ya kutoka mjini kwenda njiro. Pamoja na mzunguko wa maji taka. Mitaa ya Njiro yote ni barabara za vumbi hakuna hata moja yenye lami kwenye mitaa ya makaazi ya watu
 
Jiji la Arusha halina barabara za lami mitaani ukiondoa sehemu chache za mjini kati. Kwingine kote ni vumbe hata huko Njiro wanakosifia hamna kitu vumbi na tope
Kweli bro njiro watu upaita kwa kishua ila mvua ikinyesha ndo utajionea maajabu barabara ya TANESCO uwa haipitiki kirahisi kwa miguu ni tope tupu, waikumbuke waweke Lami na Remala pia
 
Mkuu naomba uniambie mitaa ipi ya njiro ambako barabara zake zina lami?

Barabara pekee ya lami njiro ni main ya kutoka mjini kwenda njiro. Pamoja na mzunguko wa maji taka. Mitaa ya Njiro yote ni baranraza za vumbi hakuna hata moja yenye lami kwenye mitaa ya makaazi ya watu
Barabara pekee labda Relini mitaa wanapoishi watu wazito Lawyers and Judges na uzunguni ila shuka uko chini nanenane kwenda chini Engutoto,Lemara , hakuna kitu na kwa udongo wa mfinyanzi wa Arusha inatakiwa rami street roads, ukienda kata nyingine kama kwa Mrombo hali ni ile ile
 
ila jamani Arusha ni ulaya ya Tanzania 😀🤗

kuna watu walikua wanaishi kwa huruma za mwendazake tu

Screenshot_20211124-172702.png
 

Attachments

  • Video_Cutter-10184.mp4
    1.2 MB
Barabara pekee labda Relini mitaa wanapoishi watu wazito Lawyers and Judges na uzunguni ila shuka uko chini nanenane kwenda chini Engutoto,Lemara , hakuna kitu na kwa udongo wa mfinyanzi wa Arusha inatakiwa rami street roads, ukienda kata nyingine kama kwa Mrombo hali ni ile ile
kabla hujajifunza kwanza tofauti ya rami na lami niambie mji gani mwingine ambazo barabara zake za mitaani zina lami braza🤣🤣 kwamba watu wote lami inafika getini kibongo bongo hapa 😥 hivi unajua bro kuna halmashauri hapa nchini hazina hata km 2 za lami

Sasa bro nakupa assignment nenda kwa tamisemi nitafutie halmashauri ya jiji lolote nje ya dar ambalo lina km nyingi za lami kama Arusha just do that you'll tell me

ngoja nikupe mfano kidogo

Arusha by pass 42km zote ziko tarmaced

cbd to njiro atomic 18 kms zote zina lami

cbd to ngaramtoni 17 kms zote lami

cbd to muriet dampo 11 kms

cbd to chekereni to ngarasero 25 kms zote lami

morombo to intel via dampo 8 kms zote lami

bado barabara za ngarenaro levolosi zote lami

town to ngusero

bado zilizokuwepo bado Arusha tengeru 14kms dual carriage way international standard na mwakani wanaongeza tena hadi usa

bado Arusha kisongo nayo inatanuliwa

kisongo uwanja wa ndege napo kuna bypass mpya pale kuonganisha na east Africa

kwahio mkuu changamoto zipo ila bado kulinganisha na wenzetu tumewaacha sana na kinachotubeba ni private investments ndo maana wenzetu wanatuletea picha za malls na masoko zilizojengwa na serikali hata hoteli ya nyota 5 mjengewe na serikali 🤣🤣
 
kabla hujajifunza kwanza tofauti ya rami na lami niambie mji gani mwingine ambazo barabara zake za mitaani zina lami braza[emoji1787][emoji1787] kwamba watu wote lami inafika getini kibongo bongo hapa [emoji26] hivi unajua bro kuna halmashauri hapa nchini hazina hata km 2 za lami

Sasa bro nakupa assignment nenda kwa tamisemi nitafutie halmashauri ya jiji lolote nje ya dar ambalo lina km nyingi za lami kama Arusha just do that you'll tell me

ngoja nikupe mfano kidogo

Arusha by pass 42km zote ziko tarmaced

cbd to njiro atomic 18 kms zote zina lami

cbd to ngaramtoni 17 kms zote lami

cbd to muriet dampo 11 kms

cbd to chekereni to ngarasero 25 kms zote lami

morombo to intel via dampo 8 kms zote lami

bado barabara za ngarenaro levolosi zote lami

town to ngusero

bado zilizokuwepo bado Arusha tengeru 14kms dual carriage way international standard na mwakani wanaongeza tena hadi usa

bado Arusha kisongo nayo inatanuliwa

kisongo uwanja wa ndege napo kuna bypass mpya pale kuonganisha na east Africa

kwahio mkuu changamoto zipo ila bado kulinganisha na wenzetu tumewaacha sana na kinachotubeba ni private investments ndo maana wenzetu wanatuletea picha za malls na masoko zilizojengwa na serikali hata hoteli ya nyota 5 mjengewe na serikali [emoji1787][emoji1787]
Jamaa umeogopa kuniqoute [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakunyoosha na hvyo vi lami uchwara
 
kuna mji uko Tanzania nao unajilinganisha na Arusha

mafukara land🤣🤣

IMG_20211125_101848.jpg
 
Jamaa umeogopa kuniqoute [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nitakunyoosha na hvyo vi lami uchwara
niliona nisikujibu sababu nachat na punguani anayejibu kishabiki badala ya hoja

angalia picha za unazoziita barabara uchwara na hii ndio nimekuwekea ya mwisho siwezi jibizana na mtu asiye na mantiki sawa braza wangu unayetoka kwenye mkoa maskini afrika 🤣🤣

IMG_20211125_103951.jpg
 
mkuu Arusha inawasumbua sana ukaenda kugoogle kabisa🤣🤣🤣

tangu lini umeona blogs za wazungu zikaongea mazuri kuhusu afrika

au unataka niwakumbushe wasukuma kuhusu video ya mapanki😉

Mi nawaambiaga milele na milele huo mkoa wenu wa maskini hautaifikia Arusha 😥 ndo maana kila siku mnatupostia masoko na stendi mnasahau watu wenu wanajisaidia ziwani🤣

IMG_20211125_105205.jpg


IMG_20211125_105321.jpg


IMG_20211125_105302.jpg


IMG_20211125_103951.jpg


IMG_20211125_105236.jpg


IMG_20211125_105219.jpg


IMG_20211125_105405.jpg


IMG_20211125_105350.jpg


IMG_20211125_105337.jpg
 

Attachments

  • AddMusicVideo21510.mp4
    1.2 MB
Sister achana na stand ya daladala kuna mambo mengi hayapo sawa, Arusha haina stand kuu ya mabus yaani ni kila kampuni ya mabus ina stand yake na kushusha abiria na kuwapakiza kila kampuni inaamua sehemu yake kwa mfano BM coach, Dar Express na Kilimanjaro express ushusha abiria pale kwenye jengo la NHC pembeni ya Golden crest sehemu ambayo abiria akishuka inamlazimu kutembea hadi kilombero au klokoni kupata daladala ya route yake vivyo ivyo wanaoshushiwa stand ndogo.

Pia Arusha municipal wanafeli kwenye management ya masoko yao kwa mfano soko la kilombero mvua ikinyesha ni hapatoshi ni kuna tope balaa[emoji23], kitu kingine Arusha waondoe vipanya bhana waweke coasters, waache ushamba coasters sio kwa ajili ya tourists tu.

Kitu nacho ipendea Arusha ina hali ya hewa nzuri, sema udongo wake sasa ni vumbi na tope[emoji23]ndo maana boots zinahusika sana,
Kama wakifanyia kazi ivyo vitu na hakika Arusha ni mkoa poa sana sema ndo ivyo imesaulika.
Ina maana jiji zima lina soko kubwa moja tu hilo la Kilombero ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom