Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
 
Hali ya hewa ya Arusha ni rafiki sana kwa aina zote za nguo. Sasa hili joto la Dar watu wataacha kuwa wachafu? Hata ukitaka nguo nzuri, viatu, makoti Arusha ndio kila kitu, kila ninapoenda Arusha lazima nirudi na mikato
 
Hali ya hewa ya Arusha ni rafiki sana kwa aina zote za nguo. Sasa hili joto la Dar watu wataacha kuwa wachafu? Hata ukitaka nguo nzuri, viatu, makoti Arusha ndio kila kitu, kila ninapoenda Arusha lazima nirudi na mikato
Sasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.

Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"

Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Ndio maaana nimeoa arusha
 
Back
Top Bottom