Vice J
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 530
- 766
Ndo home sasa uku apa murieti kukinyesha mvua andaa gum boots😂Kuna sehemu kule Barabara ya eac Kuna tope balaa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo home sasa uku apa murieti kukinyesha mvua andaa gum boots😂Kuna sehemu kule Barabara ya eac Kuna tope balaa😂
Kuvaa viatu vikubwa na mashati oversize ndio unadhifu?Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.
Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.
Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Umewahi tembelea Arusha?Kuvaa viatu vikubwa na mashati oversize ndio unadhifu?
Wengi wanajuaga watu wa Arusha ni kama kile kikundi Cha makonda Cha wadudu🤣Umewahi tembelea Arusha?
kweli kabisa kumbe ni tofauti sana na watu wanavyoona kwenye mitandaoWengi wanajuaga watu wa Arusha ni kama kile kikundi Cha makonda Cha wadudu🤣
Kwanza kwa Tanzania hii sijaona mkoa watu wanapenda dini kama Arusha siku za jumapili utaona watu wanatoka kanisani kwa misururu, Arusha ndio sehemu mikutano ya injili inajaza sana, juzi makonda alikua na maombi ya kitaifa mji ulisimama, safina wakifanyaga maombi pale mji unasimama, Kikundi kidogo Cha watu wanaojiita wadudu ndio wamekuja kuharibu taswira ya mji wa Arusha hasa miaka ya hivi karibuni mbaya zaidi vyombo vya habari ndio vinawapa hao airtime kwa vile wanajua wabongo hatupendi vitu vya maana, Arusha imekua ikiongoza mitihani yote ya la 7 na form 4 kitaifa lakini hutasikia chochote kutoka Arusha zaidi ya bangi na wadudu inasikitisha sanakweli kabisa kumbe ni tofauti sana na watu wanavyoona kwenye mitandao
Nimebaini East Africa, Arusha ndio mjiniNimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.
Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.
Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
ChaiNimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.
Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.
Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.