Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Kuna ukweli wa haya ila pia Tanga ni wasafi sana kwa experience yangu Tanga nao wapo kwenye huo mtetemo wa usafi.
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Bila picha mkuu.
 
Makonda kwenda Arusha amefanya watu kuijua Arusha kiundani na kuongelewa zaidi
 
Unapajua Dar wewe 😄 au unatorokwa na maneno 😃, Dar kuna watu wanapendeza kama hawana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kupendeza tu
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Hao lachuga ndio wasafi!Mtu kwao.
 
Mji mvua ikinyesha kidogo tu kila sehemu matope full mbuga.
Mji bado una tumia hiace mwendo wa kuinama.
Arusha hapana Bora Sumbawanga😂😂
Nilikiwa napitia comment ila hii umeua ni ukweli mtupu yani wenye raha labda wanaofanya static work ila kama unatembea utakoma 😄😄😄
 
As if Kila anayeishi Arusha anapanda hizo hiace, Arusha Kuna Costa, Kuna Bajaj, Kuna boda, Kuna Uber na bolt wewe tu na usafiri wako ila kumbuka Arusha ni mji wa kitalii usije Arusha kama hauna hela ni Bora ubaki huko kijijini kwenu utaumia
Nilikiwa napitia comment ila hii umeua ni ukweli mtupu yani wenye raha labda wanaofanya static work ila kama unatembea utakoma 😄😄😄
 
As if Kila anayeishi Arusha anapanda hizo hiace, Arusha Kuna Costa, Kuna Bajaj, Kuna boda, Kuna Uber na bolt wewe tu na usafiri wako ila kumbuka Arusha ni mji wa kitalii usije Arusha kama hauna hela ni Bora ubaki huko kijijini kwenu utaumia
Mi mwenyew bolt natumia sana ila suala la matope mtaani lipo sana tuu
 
Mnatuchanganya mjue? Arusha ni moja ya sehemu chafu kabisa Tanzania, porini huko tuko mali sio mjini.
 
Back
Top Bottom