Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah! Hizo bus ni ngumu sana asee, na vile huwa zinachana mbuga zenyewe tu hakuna bus jingine kabisa 😂😂SAsa huku si vijinini kabisa?
Urio, Neema za Munfu wanachana mbuga hatari🤣🤣🤣
Wengi wao ni watukuja unakuta Mrangi kabisa lakini anajiita mduduHalafu wengi ni wenyeji wa manyara na singida chunguza😁
Ndio viwanja vyetu hivi mkuu 😁Usa river kamji kenye mandhari murua kabisa.
Ngurdoto logde/momela/ River tree/game reserve hadi Leganga hadi Danish
Msalimie Donii, paapaa bondia mnyenyekevu😂Ndio viwanja vyetu hivi mkuu 😁
Fresh 😁Msalimie Donii, paapaa bondia mnyenyekevu😂
Sasa wenzako wanaopanda Uber unawalinganisha na wapanda hiace,,Utafiti wako Bado una mapungufuNimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.
Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.
Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Acha ushamba kwani hujui arusha kuna indrive, uber na bolt yani mji wa kitalii ukose hivo vitu tena asilimia kubwa ya watu wa arusha hawapandi hivo viace hivo wanapandaga wamama wa sokoniSasa wenzako wanaopanda Uber unawalinganisha na wapanda hiace,,Utafiti wako Bado una mapungufu
Kabisa, shida n elimu ya kukaririSasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.
Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"
Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
Dah mkuu huoni aibu kutaja hiace kama usafiri wa jiji?naona na Dodoma nao vimejaa igeni mbeya kuna Rosa kama Town bus na coaster kwenda wilayani sema tu yule bibi kaharibu na vibajaj vyake.Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.
Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.
Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Hunanuelewa wa mambo so wanajeshi wa israel u nchi za kiarabu wanava hariri kwa vle ni jua u joto so ht da rmadereva hizo ni uniform unatakiwa ukubaline naloSasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.
Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"
Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
Arusha is overrated..Hali ya hewa ya Arusha ni rafiki sana kwa aina zote za nguo. Sasa hili joto la Dar watu wataacha kuwa wachafu? Hata ukitaka nguo nzuri, viatu, makoti Arusha ndio kila kitu, kila ninapoenda Arusha lazima nirudi na mikato
We dada acha chuki na uongo usio na faida.Watu wa arusha washamba sana visuruali vimebana maviatu makubwa na lishati kama kanzu halafu wanaongea kama anaikatikia na siku hizi nasikia me wanagongwa sana na wazungu