Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Uzuri ni kwamba kila mtu ana tafsiri yake ya unadifu.

Screenshot_20241019-122420_Google Go.jpg
Screenshot_20241019-122329_Google Go.jpg
Screenshot_20241019-122317_Google Go.jpg
Screenshot_20241019-122227_Google Go.jpg
 
SAsa huku si vijinini kabisa?
Urio, Neema za Munfu wanachana mbuga hatari🤣🤣🤣
Daah! Hizo bus ni ngumu sana asee, na vile huwa zinachana mbuga zenyewe tu hakuna bus jingine kabisa 😂😂
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Sasa wenzako wanaopanda Uber unawalinganisha na wapanda hiace,,Utafiti wako Bado una mapungufu
 
K
Sasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.

Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"

Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
Kabisa, shida n elimu ya kukariri
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Dah mkuu huoni aibu kutaja hiace kama usafiri wa jiji?naona na Dodoma nao vimejaa igeni mbeya kuna Rosa kama Town bus na coaster kwenda wilayani sema tu yule bibi kaharibu na vibajaj vyake.
 
Mtoaji wa hii thread ulipita tu Arusha mara moja, ujakutana na raia zinakaa huko wanaita ilkidin'ga zinavyotoa harufu za kibeberu na ugoro
 
Sasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.

Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"

Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
Hunanuelewa wa mambo so wanajeshi wa israel u nchi za kiarabu wanava hariri kwa vle ni jua u joto so ht da rmadereva hizo ni uniform unatakiwa ukubaline nalo
 
Hali ya hewa ya Arusha ni rafiki sana kwa aina zote za nguo. Sasa hili joto la Dar watu wataacha kuwa wachafu? Hata ukitaka nguo nzuri, viatu, makoti Arusha ndio kila kitu, kila ninapoenda Arusha lazima nirudi na mikato
Arusha is overrated..
Watu wa huko hata baridi wanahisi kwa TZ nzima ndio panaongoza.
 
Watu wa arusha washamba sana visuruali vimebana maviatu makubwa na lishati kama kanzu halafu wanaongea kama anaikatikia na siku hizi nasikia me wanagongwa sana na wazungu
 
Arusha.png

Hao kwenye picha ni wana-Arusha katika picha ya miaka ya 1990s. Ni mkoa ambao watu wake wana exposure miaka mingi na ni wasafi true, pamoja na kilimanjaro, utalii umechangia pakubwa kwa sababu ya interaction na watu wa mambele huko. Hata video za kwanza za uimbaji Tanzania zenye ubora zilianza kurekodiwa Arusha kwenye studio za Habari Maalumu. So nakubaliana na wewe. Kasoro tu ni vile vidaladala vipanya, vinachafua mji wekeni mabasi ya daladala yenye hadhi sawa na jiji la utalii, watalii wanaogopa kupanda mle.
 
Watu wa arusha washamba sana visuruali vimebana maviatu makubwa na lishati kama kanzu halafu wanaongea kama anaikatikia na siku hizi nasikia me wanagongwa sana na wazungu
We dada acha chuki na uongo usio na faida.
 
Back
Top Bottom