Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Vitoto vya elfu 2 vikishibaga chips mayai na take away baada ya kuhongwa elfu 10 na mishangazi ambayo hiyo mishangazi sisi ndo wake zetu vinaandika upupu. Ona kama hichi kimeenda arusha kimepanda hiace kimesikia harufu ya marashi ya gen z mwenzie wa kike kimeanzisha sredi.
 
Sasa angalia hapa dar, pamoja na joto loote hili kondakta na dereva wa daladala wanaambiwa wavae suti.

Yaani mtu unakaa chini unajiuliza "Hivi hawa viongozi wetu walienda shule kusomea ujinga"

Wao wanashinda kwenye ac ndio maana suti wanaona poa tu,.
Hata sio suti, ni uniforms za kawaida tu.
Halafu kwa nini makondakta wa Dar huwa wanavaa suruali mbili mbili kama wamechanganyikiwa??
 
wadudu tuko vizuriii
FB_IMG_1729183850185.jpg
 
Usafi gani meno machafu watu wote kama vile wamelamba ugolo mji mzima wakicheka wanafunika mdomo,

Viatu vikubwa kasuruali kakubana shati lumbesa, huo sio usafi ni uchafu
 
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na mazingira.

Yani hata ukipanda daladala (wenyewe wanaita hiace/Haisi) za Arusha harufu ya kwenye daladala unayoipata ni ya manukato mazuri, hata makondakta wao ni nadhifu wakiwa na nguo nzuri na safi.

Sehemu nyingi pia za umma za biashara wanajitahidi sana kufanya usafi na kuweka mazingira katika hali nzuri.
Kusema ukweli mji wa Arusha umekaa kilocal sana. Ubishi wa wenyeji mwingiiiii na wanachobisha hata analysis hawajafanya. Mji watu wanasafiria vigari vimekatwa juu na kuwa kama vibanda vya kahawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Vitoto vya elfu 2 vikishibaga chips mayai na take away baada ya kuhongwa elfu 10 na mishangazi ambayo hiyo mishangazi sisi ndo wake zetu vinaandika upupu. Ona kama hichi kimeenda arusha kimepanda hiace kimesikia harufu ya marashi ya gen z mwenzie wa kike kimeanzisha sredi.
Mji mvua ikinyesha kidogo tu kila sehemu matope full mbuga.
Mji bado una tumia hiace mwendo wa kuinama.
Arusha hapana Bora Sumbawanga😂😂
 
Kusema ukweli mji wa Arusha umekaa kilocal sana. Ubishi wa wenyeji mwingiiiii na wanachobisha hata analysis hawajafanya. Mji watu wanasafiria vigari vimekatwa juu na kuwa kama vibanda vya kahawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Kwa watu wanaokwenda na muda vi-hiace vya Arusha vya watu 15 ndio usafiri sahihi sana, sio mnakalishwa kwenye karandinga la eicher la watu 50, kujaa shida, linapakia na kushusha vituo 30 safari kama ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wakati kamji kadogo tu.
 
Mji mvua ikinyesha kidogo tu kila sehemu matope full mbuga.
Mji bado una tumia hiace mwendo wa kuinama.
Arusha hapana Bora Sumbawanga😂😂
Hiace ya abira 15 ndio usafiri sahihi kama unajali muda, safari inaanza na kuisha faster, kufurahia karandinga la eicher la watu 50 ni ujuha.
 
Ni maeneo ya town town tu, ndani ndani huko sio powa na baridi pipo hazipeleki maji bafuni.
Nakupinga, watu wa Arusha kwenye kuvaa wanajua/tunajua

Mimi nimeanza kwenda sokoni kununua pamba nikiwa mdogo darasa la tatu. Na tulikuwa tunapendeza sana, tunakuwa smart.

Leo hii mkubwa ile tabia nimerithi, nikivaa lazima nipendeze. Na wala haina uhusiano na gharama za nguo. Ni culture tu, tangu wadogo huwezi kuta mtu amevaa nguo rangi za ajabu sijui shati la pink au kiatu cha plastic... tofauti kabisa na mikoa mingine
 
Back
Top Bottom