Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

Ni kweli baadhi maeneo ni masafi lakini masoko ya arusha ni kama mazizi ya kondoo
Sahihi.
1. Soko la Kilombero chafu sana
2. Samunge hairidhishi.
Kwa ujumla Arusha mjini ni chafu kabisa.
Mpangilio wa mjini kati nako sio poa.
Arusha nzuri iko pembeni mwa mji
 
V
Kwa watu wanaokwenda na muda vi-hiace vya Arusha vya watu 15 ndio usafiri sahihi sana, sio mnakalishwa kwenye karandinga la eicher la watu 50, kujaa shida, linapakia na kushusha vituo 30 safari kama ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wakati kamji kadogo tu.
Vile vigari mnabananisha viti kama mnapakia watu wasio na miguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
V
Kwa watu wanaokwenda na muda vi-hiace vya Arusha vya watu 15 ndio usafiri sahihi sana, sio mnakalishwa kwenye karandinga la eicher la watu 50, kujaa shida, linapakia na kushusha vituo 30 safari kama ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wakati kamji kadogo tu.
Vile vigari mnabananisha viti kama mnapakia watu wasio na miguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Hata sio suti, ni uniforms za kawaida tu.
Halafu kwa nini makondakta wa Dar huwa wanavaa suruali mbili mbili kama wamechanganyikiwa??
Ile ya juu inakuaga chafu(imevaliwa na watu wengi) sana hivyo hawataki igusane na ngozi.

Maana kondakta akiacha kazi, jezi inabaki, deiwaka nae akipanda anavaa hiyo hiyo, akishuka inabaki ikimsubiri atakaepokea kijiti.
 
Ile ya juu inakuaga chafu(imevaliwa na watu wengi) sana hivyo hawataki igusane na ngozi.

Maana kondakta akiacha kazi, jezi inabaki, deiwaka nae akipanda anavaa hiyo hiyo, akishuka inabaki ikimsubiri atakaepokea kijiti.
Yani pamoja na pesa zote wanazokusanya wanashindwa kujinunulia hata suruali moja ya elfu saba?!, hiyo ni kazi au utumwa!
 
Wewe tembea Meru uone wanavyojipenda hata kuliko town
Mkuu sijakupinga kama hawajipendi, lahasha wanajipenda sana na nipo huku Meru yapata miaka 9 sasa nauzoefu na ninachokwambia kwa baadhi ya maeneo, mwenyewe natupia pamba fresh kabisa na unyunyu juu😁
 
Nakupinga, watu wa Arusha kwenye kuvaa wanajua/tunajua

Mimi nimeanza kwenda sokoni kununua pamba nikiwa mdogo darasa la tatu. Na tulikuwa tunapendeza sana, tunakuwa smart.

Leo hii mkubwa ile tabia nimerithi, nikivaa lazima nipendeze. Na wala haina uhusiano na gharama za nguo. Ni culture tu, tangu wadogo huwezi kuta mtu amevaa nguo rangi za ajabu sijui shati la pink au kiatu cha plastic... tofauti kabisa na mikoa mingine
Sijakupinga mkuu, mwenyewe naelewa sana na napiga pamba sana na unyunyu juu ila kuna baadhi ya maeneo hio hali ipo😁
 
Back
Top Bottom