Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Sijui huwa unakubaliana na hoja gani!Another craps
Kila hoja lazima uponde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui huwa unakubaliana na hoja gani!Another craps
Sio kila kitu kivile but wanajaribu.Arusha ndio kila kitu
Sahihi.Ni kweli baadhi maeneo ni masafi lakini masoko ya arusha ni kama mazizi ya kondoo
Vile vigari mnabananisha viti kama mnapakia watu wasio na miguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Kwa watu wanaokwenda na muda vi-hiace vya Arusha vya watu 15 ndio usafiri sahihi sana, sio mnakalishwa kwenye karandinga la eicher la watu 50, kujaa shida, linapakia na kushusha vituo 30 safari kama ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wakati kamji kadogo tu.
Vile vigari mnabananisha viti kama mnapakia watu wasio na miguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Kwa watu wanaokwenda na muda vi-hiace vya Arusha vya watu 15 ndio usafiri sahihi sana, sio mnakalishwa kwenye karandinga la eicher la watu 50, kujaa shida, linapakia na kushusha vituo 30 safari kama ya kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wakati kamji kadogo tu.
Ile ya juu inakuaga chafu(imevaliwa na watu wengi) sana hivyo hawataki igusane na ngozi.Hata sio suti, ni uniforms za kawaida tu.
Halafu kwa nini makondakta wa Dar huwa wanavaa suruali mbili mbili kama wamechanganyikiwa??
Yani pamoja na pesa zote wanazokusanya wanashindwa kujinunulia hata suruali moja ya elfu saba?!, hiyo ni kazi au utumwa!Ile ya juu inakuaga chafu(imevaliwa na watu wengi) sana hivyo hawataki igusane na ngozi.
Maana kondakta akiacha kazi, jezi inabaki, deiwaka nae akipanda anavaa hiyo hiyo, akishuka inabaki ikimsubiri atakaepokea kijiti.
Acha uwongo wewe!Arusha wamebadilishwa na RC Makonda
Mkuu sijakupinga kama hawajipendi, lahasha wanajipenda sana na nipo huku Meru yapata miaka 9 sasa nauzoefu na ninachokwambia kwa baadhi ya maeneo, mwenyewe natupia pamba fresh kabisa na unyunyu juu😁Wewe tembea Meru uone wanavyojipenda hata kuliko town
Sijakupinga mkuu, mwenyewe naelewa sana na napiga pamba sana na unyunyu juu ila kuna baadhi ya maeneo hio hali ipo😁Nakupinga, watu wa Arusha kwenye kuvaa wanajua/tunajua
Mimi nimeanza kwenda sokoni kununua pamba nikiwa mdogo darasa la tatu. Na tulikuwa tunapendeza sana, tunakuwa smart.
Leo hii mkubwa ile tabia nimerithi, nikivaa lazima nipendeze. Na wala haina uhusiano na gharama za nguo. Ni culture tu, tangu wadogo huwezi kuta mtu amevaa nguo rangi za ajabu sijui shati la pink au kiatu cha plastic... tofauti kabisa na mikoa mingine
Inategemea uko meru gani isijekuwa Ngaramtoni😂Mkuu nipo huku Meru yapata miaka 9 sasa nauzoefu na ninachokwambia 😁
Hapana sio Ngaramtoni, wewe uko wapi kwani? 😂Inategemea uko meru gani isijekuwa Ngaramtoni😂
Mimi niko Kisimiri juu huku nyuma ya mlima Meru🤣🤣Hapana sio Ngaramtoni, wewe uko wapi kwani? 😂
Kumbe? Mimi nipo Usa-River, sasa embu niambie kuhusu zile bus za kutokea huko kwenda town hizi "URIO SAFARIS" hali inavyokuwaga. 😂😂Mimi niko Kisimiri juu huku nyuma ya mlima Meru🤣🤣
Huku waliko watu wenye meno ya chai
SAsa huku si vijinini kabisa?Kumbe? Mimi nipo Usa-River, sasa embu niambie kuhusu zile bus za kutokea huko kwenda town hizi "URIO SAFARIS" hali inavyokuwaga. 😂😂
Usa river kamji kenye mandhari murua kabisa.Kumbe? Mimi nipo Usa-River, sasa embu niambie kuhusu zile bus za kutokea huko kwenda town hizi "URIO SAFARIS" hali inavyokuwaga. 😂😂