Jiji la Dodoma ni chafu!

Ungechukua koleo, fagio, chepe upige usafi uwaoneshe usafi unavyotakiwa fanywa

Ova
 
Dodoma ingetakiwa iwe safi na kpangiliwa vizuri sana kulinganisha na Dar ambapo palikosewa mifano ka majiji mengine yaliyohsmishwa kama Abuja, Yamasoukro, Pretoria
Dodoma ilianza vizuri kwa mpangilio na ilikopi mji wa Lilongwe Malawi ambako enzi hizo CDA walikuwa wakienda kuangalia mpangilio wa maeneo na ujenzi wa nyumba, kwenye ujenzi vifaa vya ujenzi vilikuwa havitozwi ushuru hivyo vilikuwa vikitoka ulaya vinapelekwa Dodoma bila ushuru na bei ilikuwa ya chini sana, lakini viongozi wa CDA wakaanza kuviiba na kuvipeleka Dar kuviuza kwa bei kubwa, serkali ilipowakamata ikaondoa mpango huo na kuivunja CDA. Ilipoivunja CDA ramani yote ya mpangilio ikasambaratishwa watu wakaanza kupimiwa viwanja ndani ya maeneo yaliyojengwa mfano kituo cha mafuta Shabibby na Area C na D ndiyo ukawa mwisho wa ustaarabu na bustani ya CDA kwa ajiri ya kupanda miti na maua ya kulipendezesha jiji ikafa.
 
Habari bila kidhibiti ni hiwaya tu.
 
Jiji lina harufu ya Nnya balaaaaaaaaaa
Nenda mitaa ya kati utaziba pua mwenyewe kmmqe,ukija mitaa ya chako ni chako ndio utakimbia,yaani full Inyeeeee gwedegwedeee
 
Majiji yote yanasafisha kisehemu ambacho mkubwa anaweza kupitia ila pembezoni ni uswazi. Dar ni safi asubuhi Hadi saa tisa. Saa kumi Hadi asubuhi mh.Makala akienda kulala Machinga na mama ntilie wanaingia na zana zao kuchafua.
 
Jiji lina harufu ya Nnya balaaaaaaaaaa
Nenda mitaa ya kati utaziba pua mwenyewe kmmqe,ukija mitaa ya chako ni chako ndio utakimbia,yaani full Inyeeeee gwedegwedeee
Acha tu. Mifumo ya majitaka sijui imeharibika?
 
Majiji yote yanasafisha kisehemu ambacho mkubwa anaweza kupitia ila pembezoni ni uswazi. Dar ni safi asubuhi Hadi saa tisa. Saa kumi Hadi asubuhi mh.Makala akienda kulala Machinga na mama ntilie wanaingia na zana zao kuchafua.
Kama nchi tunatakiwa tuweke mifumo madhubuti. Usafi sio kutoka tu na mifagio eti tunafagia lakini baadae uchafu unarudi palepale.
 
Pachafu mno.
Wiki chache nyuma nilipita pale sabasaba stand ya daladala aisee panatia kinyaa.
Hata sehemu ya kukanyaga haipo
 
Pachafu mno.
Wiki chache nyuma nilipita pale sabasaba stand ya daladala aisee panatia kinyaa.
Hata sehemu ya kukanyaga haipo
Huko Sabasaba ndio mwisho wa maelezo. Ni kubaya sana watu wanapanga bidhaa karibia na tairi za basi. Tope ndio usiseme. Utafikiri wanaotumia stendi ni vichaa.
 
Mwaka jana nilishuka Dodoma saa sita usiku ... Kwa kweli Dodoma bado sana, inafaa kuitwa kijiji kikubwa kichafu... kufanya usafi tu ni mgogoro!. Ndio maana Hangaya kutwa kucha kiguu na njia kuelekea Pwani. Usiku huo huo niliamua kuendelea na safari kwa magari ya IT... Itaichukua Dodoma miaka zaidi ya 20 kuwa angalau sawa na Dar es salaam ya sasa.
 
Si lazma majiji yote Tz yafanane na Dar. Dar inamakosa mengi yaliyofanyika na Dodoma haina hayo makosa. Pamoja na shida zote bado Dodoma inakuwa kwa kasi lakini viongozi wanataka kukwamisha hatua zisiendelee kupigwa. Tatizo kuu kwa sasa likiwa uchafu.
 
Uongo....unawasingizia watani zangu. Kwanza sasa hivi mvua zimesimama hayo matope yanatoka wapi.
 
Mtoa mada hajatoa ulinganifu wowote ispokuwa ametoa kero yake. Shughulikieni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…