Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
- Thread starter
-
- #101
Halmashauri ya Dodoma iliamua kujenga kwa mapato ya ndani. Arusha na Dar wangetaka wangejenga ya kwao.Okay iko wapi ya kuwatosha wote hao....
Mbona wa dar na Arusha hawakupewa nafasi hiyo ya kusubiri
Nawashangaa wanakuja na story za Dar sijui wapi huko ambazo hazina uhusiano wowote na uchafu wa Dodoma.Mtoa mada hajatoa ulinganifu wowote ispokuwa ametoa kero yake. Shughulikieni
Dar es salaam ndio jiji kongwe na kubwa katika eneo hili, Dodoma ndio inajengwa tena kwa masterplan iliyobuniwa miaka ya sabini, kwanza na sasa baada ya msukumo wa awamu ya tano tunategemea kuona usasa zaidi!, lakini bado Dodoma inapwaya. Angalau basi tungeona mabanda yaliyojaa pale njia nne yakiondolewa kupisha kitu kinachofanana na mji wa kisasa.... Hola!!. Uchafu kwa Dodoma haupaswi kuwa jambo la kujifunza kutoka Dar es salaam au kwingine kokote kuliko na vijiji vikubwa... Dodoma inatakiwa kuwa ya mfano katika nyanja zote zinazotafsiri hadhi ya kuitwa jiji.Si lazma majiji yote Tz yafanane na Dar. Dar inamakosa mengi yaliyofanyika na Dodoma haina hayo makosa. Pamoja na shida zote bado Dodoma inakuwa kwa kasi lakini viongozi wanataka kukwamisha hatua zisiendelee kupigwa. Tatizo kuu kwa sasa likiwa uchafu.
Muogope Mungu ndugu yaani ufananishe China Plaza na zile mbao zilizojazana nje ya msikiti wa Gadafi kweli? Kwa idadi ya watu sikatai kkoo watu nyomiii ila haikeri km pale mpangilio mbovu sana tena sanahuu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
Watu km nyie mnaotetea upuuzi huwa mnanikera sana.shindwa na ulegee kwa kuja kuziba rizki za watu hizo mbao ziende wapi sasa?
Tatizo Watanzania wengi wanalala kwenye store ndio maana sishangai watu kutetea uchafu na u hovyo hovyo. Msingi wa mleta mada ni kwamba tulifanya makosa Dar tukategemea tutarekebisha jiji la Dodoma lakini huko nako tunarudia makosa yale yale.huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
Kwa hiyo km uchafu upo nchi nzima ndo watu wasiseme,akili ya Watized buana!Ukweli upi mkuu..mbona hizo changamoto ni nchi nzima tu
Sasa kwnn asiseme Tz nzima..kwahy wewe unajifanya mmarekani AuKwa hiyo km uchafu upo nchi nzima ndo watu wasiseme,akili ya Watized buana!
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Nyie watu mna akili ndogo sana. Makosa yaliyofanyika Dar hayatakiwi kujirudia Dodoma. Km tu hivi sasa Dodoma ina idadi ndogo ya watu tayari kuna dalili za kuelemewa na uchafu vp kwa miaka michache ijayo. Ni lazma serikali iweke mipango mikali ili lengo la kuhamia Dodoma liwe na maana,la sivyo kutakuwa hakuna maana yoyote!Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..
Sawa Akili kubwa..Nyie watu kujua ndio hovyo kabisaNyie watu mna akili ndogo sana. Makosa yaliyofanyika Dar hayatakiwi kujirudia Dodoma. Km tu hivi sasa Dodoma ina idadi ndogo ya watu tayari kuna dalili za kuelemewa na uchafu vp kwa miaka michache ijayo. Ni lazma serikali iweke mipango mikali ili lengo la kuhamia Dodoma liwe na maana,la sivyo kutakuwa hakuna maana yoyote!
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Ongelea na wewe sehemu yako hakuna aliekukataza.kwanin mnaliongelea dodom tu?
Kwahiyo maeneo ya wauza nyanya uchafu ndo unaruhusiwa? Uchafu ni uchafu tu tuache kutetea ujingaHaya na vipi kuhusu kilimanj, area c, area d, kisasa, medeli, makulu, njedengwa, iyumbu au huko haukwenda.......? Ukute wewe ni muuza nyanya ndio maana ulikua maeneo ya sokoni
Mtu mwenye asili uchafu utamjua tuUnateseka ukiwa wapi??
Ok unaweza kutupa mbinu ya kulitenganisha vumbi na ardhi ya dodoma? Ile ni asilia ya eneo hilo, mengine ni kuwa mchawi tu.
Toka huko rudi kwenu.
Tanzania kila mtu anataka afanye biashara barabarani sjui taifa gani hili? Uvivu wa kufikiri umekithiri mno!Unatoa mbao huko unakuja kuzitua barabarani. Utakua una akili wewe?
Mwenda zake ndo chanzo cha yote haya. Yeye ndo aliruhusu watu kuvamia barabara ili kuuza vitambulisho vingi vya mchongo. Akatuletea usukuma wake mjini.Hovyo kabisaDodoma ilianza vizuri. Lakini siku za hivi karibuni mambo yanazidi kuwa mabaya.
Kabisa!Hamna lolote la uzungu wala uafrika. Ni uzembe tu.
We jamaa utakakuwa ni mchafu sana,hata kwako siwezi omba hata maji.waache watu watafte mkate wa siku
kituharibia mji weww na nani?
usikute nabishana na housegrl wa mhindi anatumia sim ya mtoto wa bosi wake.
Hata iringa road hajafika huyuHamia hata Iringa.Ni jirani tu hapo.