Jiji la Dodoma ni chafu!

Jiji la Dodoma ni chafu!

Okay iko wapi ya kuwatosha wote hao....
Mbona wa dar na Arusha hawakupewa nafasi hiyo ya kusubiri
Halmashauri ya Dodoma iliamua kujenga kwa mapato ya ndani. Arusha na Dar wangetaka wangejenga ya kwao.
 
Si lazma majiji yote Tz yafanane na Dar. Dar inamakosa mengi yaliyofanyika na Dodoma haina hayo makosa. Pamoja na shida zote bado Dodoma inakuwa kwa kasi lakini viongozi wanataka kukwamisha hatua zisiendelee kupigwa. Tatizo kuu kwa sasa likiwa uchafu.
Dar es salaam ndio jiji kongwe na kubwa katika eneo hili, Dodoma ndio inajengwa tena kwa masterplan iliyobuniwa miaka ya sabini, kwanza na sasa baada ya msukumo wa awamu ya tano tunategemea kuona usasa zaidi!, lakini bado Dodoma inapwaya. Angalau basi tungeona mabanda yaliyojaa pale njia nne yakiondolewa kupisha kitu kinachofanana na mji wa kisasa.... Hola!!. Uchafu kwa Dodoma haupaswi kuwa jambo la kujifunza kutoka Dar es salaam au kwingine kokote kuliko na vijiji vikubwa... Dodoma inatakiwa kuwa ya mfano katika nyanja zote zinazotafsiri hadhi ya kuitwa jiji.
 
huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
Muogope Mungu ndugu yaani ufananishe China Plaza na zile mbao zilizojazana nje ya msikiti wa Gadafi kweli? Kwa idadi ya watu sikatai kkoo watu nyomiii ila haikeri km pale mpangilio mbovu sana tena sana
 
huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
Tatizo Watanzania wengi wanalala kwenye store ndio maana sishangai watu kutetea uchafu na u hovyo hovyo. Msingi wa mleta mada ni kwamba tulifanya makosa Dar tukategemea tutarekebisha jiji la Dodoma lakini huko nako tunarudia makosa yale yale.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..
Nyie watu mna akili ndogo sana. Makosa yaliyofanyika Dar hayatakiwi kujirudia Dodoma. Km tu hivi sasa Dodoma ina idadi ndogo ya watu tayari kuna dalili za kuelemewa na uchafu vp kwa miaka michache ijayo. Ni lazma serikali iweke mipango mikali ili lengo la kuhamia Dodoma liwe na maana,la sivyo kutakuwa hakuna maana yoyote!

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nyie watu mna akili ndogo sana. Makosa yaliyofanyika Dar hayatakiwi kujirudia Dodoma. Km tu hivi sasa Dodoma ina idadi ndogo ya watu tayari kuna dalili za kuelemewa na uchafu vp kwa miaka michache ijayo. Ni lazma serikali iweke mipango mikali ili lengo la kuhamia Dodoma liwe na maana,la sivyo kutakuwa hakuna maana yoyote!

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Sawa Akili kubwa..Nyie watu kujua ndio hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom