Jiji la Dodoma ni chafu!

Jiji la Dodoma ni chafu!

Hata kama mtapingana na mtoa mada/mimi! Bado ukweli unabaki pale pale; Dodoma haina hadhi ya kuitwa Jiji kutokana na kukabiliwa na Changamoto nyingi!

Ila sikatai; iwapo Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu mbalimbali, kwa baadaye Mji utabadilika. Ila kwa sasa hapana aisee.
Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..
 
Hata kama mtapingana na mtoa mada/mimi! Bado ukweli unabaki pale pale; Dodoma haina hadhi ya kuitwa Jiji kutokana na kukabiliwa na Changamoto nyingi!

Ila sikatai; iwapo Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu mbalimbali, kwa baadaye Mji utabadilika. Ila kwa sasa hapana aisee.
hii ni mada nyingine sasa,


utalalamika sana

next jiji sijui ndo utasemaje
 
Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..

Mtoa mada amejikita kwenye uchafu tu, jambo ambalo lipo kila sehemu! Hapo nakubaliana na wewe. Ila ukija kwenye Jiji kama Jiji, Dodoma bado inatakiwa itazamwe kwa jicho la huruma.

Serikali inatakiwa iwekeze fungu la kutosha ili Mji uwe Jiji kweli.
 
Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..
😄😄😄 yaani dar wanaibeba sana ila ukweli wanaujua maeneo ya aghakani kule ferry unahisi kutapika tu harufu na shomboshombo sijui hawalioni hilo.

wanapinga dom kwa chuki si kingine
 
hii ni mada nyingine sasa,


utalalamika sana

next jiji sijui ndo utasemaje

Tofautisha kati ya kutoa maoni na kulalamika! Wakati fulani maoni yanasaidia kuwaamsha wahusika kuongeza bidii.

Au unataka tuwe tunawasifia tu! Ya kwamba Dodoma ni Jiji zuri kuliko Majiji yote Tanzania! Kwa usafi, miundombinu, nk jambo ambalo halina hata chembe ya uhalisia?
 
Tofautisha kati ya kutoa maoni na kulalamika! Wakati fulani maoni yanasaidia kuwaamsha wahusika kuongeza bidii.

Au unataka tuwe tunawasifia tu! Ya kwamba Dodoma ni Jiji zuri kuliko Majiji yote Tanzania! Kwa usafi, miundombinu, nk jambo ambalo halina hata chembe ya uhalisia?
kwanin mnaliongelea dodom tu?
 
Mtoa mada amejikita kwenye uchafu tu, jambo ambalo lipo kila sehemu! Hapo nakubaliana na wewe. Ila ukija kwenye Jiji kama Jiji, Dodoma bado inatakiwa itazamwe kwa jicho la huruma.

Serikali inatakiwa iwekeze fungu la kutosha ili Mji uwe Jiji kweli.
Ukisema hivyo unakosea mkuu.. labda nikukumbushe hata Mwanza kipindi inapewa hadhi ya jiji haikuwa kama unavyoiona leo, mji ndio kwanza hauna hata miaka kumi tangia upate hadhi ya jiji.. taratibu mji utakushangaza
 
Unaongea vitu vya msingi sana na hujaweka picha...

Uchafu ukiacha kinyesi,,, vingine kama mpangilio huwa ni kitokana na macho ya mtu..

Ndio maana msela unaweza deki na kusafisha home siku nzima na ukaona ni kusafi lakini akija Binti utakuta ameanza upyaaa... Utafikiri hakuna ulilofanya...

Hebu weka picha tulete mtazamo... Acha maneno
 
Haya na vipi kuhusu kilimanj, area c, area d, kisasa, medeli, makulu, njedengwa, iyumbu au huko haukwenda.......? Ukute wewe ni muuza nyanya ndio maana ulikua maeneo ya sokoni
 
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.

Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.

Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?

Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.

Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Hamia hata Iringa.Ni jirani tu hapo.
 
Haya na vipi kuhusu kilimanj, area c, area d, kisasa, medeli, makulu, njedengwa, iyumbu au huko haukwenda.......? Ukute wewe ni muuza nyanya ndio maana ulikua maeneo ya sokoni
😄😄😄😄😄 ana chuki na mtu mmoja sasa kaamua kuifikisha kwa kuunga jiji zima
 
Unateseka ukiwa wapi??

Ok unaweza kutupa mbinu ya kulitenganisha vumbi na ardhi ya dodoma? Ile ni asilia ya eneo hilo, mengine ni kuwa mchawi tu.

Toka huko rudi kwenu.
 
Wako busy kusifia na kuabudu aliyewateua hadi wanakosa muda wa kutazama mazingira yao.

Kwanza utakuta hao watendaji husika hawaishi Dodoma makazi yao ni Dar weekend wanakimbizana kwa misafara kwenda Dar kuwahi papa za kidimbwi.

Tuanze kutoa tuzo za mji mchafu kushinda yote Tz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom