Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.
Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.
We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Mtu Asiyejulikana,
wewe inaelekea ndiyo wale ambao Bakhresa akikupa hata kamilioni kamoja ili amtandike mkeo "bakora" utakubali kwa kuwa amekusaidia mtaji wa kufanyia maendeleo.
pathetic!!
Hivi CCM ni wabaguzi?Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Maana ya upinzani ni nn sasa.Acheni ukabila watu wa mbeya tunajua hata sababu zilizowafanya mvurugane si Sugu.Sumu ya ukabila wanambeya itawamaliza.nakumbuka hata wakati anagombea Dr Nchimbi hali ya ukabila ilijithihirisha wazi pamoja na kwamba yy ni mkazi wa mbeya.Na kwa kuwa hakuwa mzawa wa mbeya mkamtosa.tunakumbuka pia enzi ya mwaikambo pale Bima kilichotokea na mpaka sasa hambadiliki.tunafahamu mnamtaka Naibu spika na hilo liko wazi na si mtuletee sababu ati Raisi aliwasusa ni Raisi gani anayewasusa wananchi wao?ukabila wenu uliwafanya mvurugane ndipo rais akaamua mmalize kwanza matatizo yenu ndipo arudi kwenu.
Wewe Unafikiri kwa kutumia makalio
Kwahiyo hapo ndipo akili yako ilipoishia?
Si ajabu kusikia nawewe umehitimu na kupewa cheti cha kidato cha 4.
Badala ya kumsema Rais ambaye fedha zote ziko mkononi mwake atende bila ya upendeleo wewe unawaambia wanaMBEYA wawacjague CCM ambao wameiharibu nchi kwa miaka 59 sasa.
Nadhani unaweza kuvunja rekodi ya ujinga kwa hapa jf kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita , Mbeya hatutaweza kubembeleza kwa kiwango cha kudhalilika kisa tunataka maendeleo , maendeleo ya Mbeya yataletwa na wana Mbeya wenyewe .Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
ccm hata wanyama hawaikubali maana hata wao ukiwauliza kuhusu maisha watakwambia acha tuWananchi wangeikubali ccm tungeona wakijitokeza kujiandikisha kupiga kura. Sasa hivi ukimuuliza mtu kama anaikubali ccm inabidi aseme anaikubali kwa ajili ya usalama wake. Kwani hao wanaikubali ccm kinawashinda nini kuingia huku jf? Huwezi kusema unakubalika kisha silaha yako ikawa ni kuwakomoa watu wasiokukubali kwa kuwanyima maendeleo kama mleta uzi anavyosema.
Maisha Bora kwa Kila Mtanzania....kuna watu bado akili zimelala kama tikiti maji shambani. Karne hii unakuja na upupu wa kuhusu maendeleo bila kumchagua mtu wa CCM hayawezi kuja, to hell...so what? CCM wako madarakani toka uhuru, si tungeona flyovers kila mkoa sasa?!!Mtu Asiyejulikana,
Kwani maendeleo ni maamuzi ya rais? Ni hivi, hatuko tayari kumchugua mwanaccm yoyote, sisi tutamchagua huyo huyo Sugu, na ili hasira ya rais itimie vizuri, mshaurini abomoe miundombinu iliyopo ili wana Mbeya atukomoe vizuri. Hatuwezi kumsujudia binadamu yoyote kwa ajili ya maendeleo ambayo ni haki yetu.
Nadhani unaweza kuvunja rekodi ya ujinga kwa hapa jf kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita , Mbeya hatutaweza kubembeleza kwa kiwango cha kudhalilika kisa tunataka maendeleo , maendeleo ya Mbeya yataletwa na wana Mbeya wenyewe .
Kyela tangu iundwe na Mungu ina wabunge wa ccm tu lakini yaweza kuwa ndio wilaya ya mwisho kwa maendeleo nchini Tanzania .
Ushauri wako umekataliwa na kupuuzwa , na nachukua nafasi hii kukutangaza kama ADUI MPYA WA WANA MBEYA , hadharani na gizani .
Tusaidie hao waliochsgua ccm wako wapi sasa kimaendeleo ukilinganisha na mbeyaMimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Huna haya wala Soni kwa hiyo unawapangia Mbeya wapende chama gani? Kwani ikisuswa na CCM watu wa Mbeya wanapoteza maisha??
Magu anaondoka 2025 ataingia mwingine na maisha yataendelea, ajifunze Demokrasia kutoka kwa wenzie waliotangulia huwezi kukubalika na wote.
Idiot!!!.