Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kawashauri mazuzu wenzako maana kwetu sisi wana mbeya tulisha elimika kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.
Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.
We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app