mto post n mwehu sana,kawadanganye wehu wenzio sasa kama ccm inaleta maendeleo majimbo haya toka nchi ipate Uhuru yapo chin ya ccm lkn hakuna maendeleo,nakutajia machache:Songea,peramiho,Mbinga,tunduru,Dodoma na wilaya Zeke Lind kwa wazir Mkuu,jimbo la Nape nauye,tabora,rukwa,kilolo,jimbo la lukuvi hili toka hata mbunge hajawahi badilishiwa lkn mpaka Leo hii halina maji safi,mafinga,iringa vjjn singida,na vitongoji vyake tanga na vitongoji vyake hayo n majimbo machache tu ambayo yako chini ya ccm na ni majimbovmabov haija wahi tokea sasa utasemaje ccm inaleta maendeleo umesha ona wote n mambugila wa kutudanganya? Nanyi wabunge wa upinzan mnapoenda majimbon kwenu ongeen kwa mifano ktk majimbo yote ambayo yako chin ya ccm kwa idadi kuliko kuongea kwa nadharia! Hawa ccm mkiongea kwa nadharia mtapigwa nao n wajanja sana namna ya kucheza na akili za watanzania. Wabunge wa upinzan nawashaur tena mkiongea kwa nadharia ktk kipind hch bila takwimu mtapigwa na ccm na kubaki kulalamika,ccm wanatumia uelewa mdo wa wananchi huko vjijin kuwachakaza