reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
We mboni was 79,mange 82 nadhani huyo mzeeMla raha mjini kijana wa miaka hiyoo rika la akina linda kimesera, mboni masimba na akina mange kimambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mboni was 79,mange 82 nadhani huyo mzeeMla raha mjini kijana wa miaka hiyoo rika la akina linda kimesera, mboni masimba na akina mange kimambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nna mambo mengi mnoo.Pita hapo msibani,mashangingi wote wa mjini wamejaaa
Pombe za kumwaga,ila hakuna kulala msibani kalale kwenu
Any way naona kesho watazika kinondoni
Ova
Ni baba mtoto na business partner
Kibibi kijana.. [emoji23]
Umeuliza au umesema?Huyu jamaa na dada yake wamefariki kwa HIV?
Patricia alikuwa mtu wa pombe sanaaa ,yaani alcoholicHuyu jamaa na dada yake wamefariki kwa HIV?
Kwanini mtu na dadake wsmefariki mapema namna hii? Afya zilikuwa gogoro?Patricia alikuwa mtu wa pombe sanaaa ,yaani alcoholic
Duh hayo mambo mengine mmh
Ova
Dada alikuwa mtu wa pombe sanaKwanini mtu na dadake wsmefariki mapema namna hii? Afya zilikuwa gogoro?
Heee ni baba mtoto??? mbona kwenye mazishi tulioyaona huku live huyo mtoto hajatajwa?? Kuna fumbo kubwa hapa. Ila nimewaona baadhi ya watoto wa mjini kwenye msiba nikapiga hesabu zangu 1+1= 2.Ni baba mtoto na business partner
We endelea kuwaibia wataopata ajali.Msambaa wahedi.Mhh! Wacha tu niendelee kuishi zangu huku Kijijini. Kwa kweli maisha yenu ya mjini ya kina Mishym73, kwa kweli siyawezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza nn sasa nawee?? KhaaahNimewaona kwenye mazishi front kabisa Tom Kisusi, chris Lupembe na Ben Kinyaiya, basi tu machale yakaanza kunicheza ukizingatia huyo anaesemwa mtoto wa marehemu hakupewa kipaumbele kabisa nikiunganisha doti na huyo mzee wa kimarekani mzungu basi kichwa kinazunguka hatariii. Mji huu wa Daslama una mambo mazito sana.
Ile pub ya Mebs enzi zile alikuwa hakosi weekends. Safari Carnival palikuwa uani kwakePatricia alikuwa mtu wa pombe sanaaa ,yaani alcoholic
Duh hayo mambo mengine mmh
Ova
Nimewaza ni marehemu alikua best yao si unajua tena waarab wa Pemba hujuana kwa vilemba 🤣 🤣 🤣 🤣 😭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza nn sasa nawee?? Khaaah
Kumekuchaaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimewaza ni marehemu alikua best yao si unajua tena waarab wa Pemba hujuana kwa vilemba [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji24]
Walisema alimuasili sio biologicalHeee ni baba mtoto??? mbona kwenye mazishi tulioyaona huku live huyo mtoto hajatajwa?? Kuna fumbo kubwa hapa. Ila nimewaona baadhi ya watoto wa mjini kwenye msiba nikapiga hesabu zangu 1+1= 2.
Kwani wakoje mkuu??Nimewaona kwenye mazishi front kabisa Tom Kisusi, chris Lupembe na Ben Kinyaiya, basi tu machale yakaanza kunicheza ukizingatia huyo anaesemwa mtoto wa marehemu hakupewa kipaumbele kabisa nikiunganisha doti na huyo mzee wa kimarekani mzungu basi kichwa kinazunguka hatariii. Mji huu wa Daslama una mambo mazito sana.