Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Point of correction alishinda uchaguzi lakini hakutangazwa mshindi, na yeye kwa kuwa hakuwa mtata akaamua kupotezea na kutokana na makandokando yake mengi mwishowe akarudi alikolelewa.Tuwe wakweli hivi nyomi hili linazidi kweli enzi za lowasa Mimi naamini Kama lowasa hakupita kwa nyomi ile sidhani Kama TL atapita sasa
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wana mwambia za mwaka juzi utadhani mwaka juzi kulikuwa na uchaguzi😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee yule anapoketi kuangalia nyomi La lissu YouTube nahisi kila muda wanamuokota kazima chini kwa kupaniki.
Mimi pia ni chadema mkuu lakini naona majamaa yatapiga ukanjanja wao kwenye kutangaza mshindi na sipendi Vita itokee kwenye hii nchiPoint of correction alishinda uchaguzi lakini hakutangazwa mshindi, na yeye kwa kuwa hakuwa mtata akaamua kupotezea na kutokana na makandokando yake mengi mwishowe akarudi alikolelewa.
Safari hii Chadema tuna chuma cha pua, taarifa kwa wezi wote wa kura kaeni mkijua ama zetu ama zenu.
Mkuu wala huhitaji kujitangaza kuwa wewe ni chadema au la.Mimi pia ni chadema mkuu lakini naona majamaa yatapiga ukanjanja wao kwenye kutangaza mshindi na sipendi Vita itokee kwenye hii nchi
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Tukutane tar 28Mkuu wala huhitaji kujitangaza kuwa wewe ni chadema au la.
Anyway una uhuru pia wa kuamini unachokiamini
Sawa mtani wangu mwanaccm
Mkuu nitake radhi ni fedheha kubwa Sana kwangu na familia kua mshirika wa hao manyang'auSawa mtani wangu mwanaccm
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
View attachment 1580967
Labda kwa wizi.CCM itashinda kwa kishindo hamtaamini
Amiiiini!Takbirr
Allah Akbar
Inn shaa Allah Mara hii tunakwenda kupata rais muadilifu ambae hata watesa mashekh wetu na watanzania kwa ujumla
Ewe Mola wa haki tunakuomba umlinde huyu kiongozi wetu muadilifu dhidi ya yule katili Pombe na genge lake
Ewe Mola wa maajabu onyesha maajabu safari hii lissu ashinde dhidi ya yule katili Pombe
Tumechoka kutawaliwa na dikteta
We can't breathe
Nyie hamuwajui Watanzania mnadanganywa na mihemko ya kisiasa ya kikundi cha watu,sasa ngojeeni October 28 ndio mtajua hamjui Watanzania walivyo.Labda kwa wizi.
A European not an European
Be not fooled by letter "E" at the beginning of that word.
Hao ni wana Chadema na vibaka wanaokwenda kumtafuta Lissu usiku, mbona huko mitaani watu walikuwa wanaendelea na mambo yao tu wala hawana habari na huyo Lissu. Natamani kampeni ziishe hata leo ili tupige kura maana uamuzi tulishaufanya siku nyingi hata kabla ya kura
Achana naee maneno kisandukuniNaongelea kupiga kura. Wazee haturuhusiwi kumpigia Lissu kura ama unaongelea nini?
Neno European sauti unayotamka sio U mkuu....Hahaha! Umenikumbusha mbali sana.
Article "an" inatumika mwanzoni mwa maneno na majina yanayoanza na au kutamkwa mwanzoni na herufi za vowels yaani a e i o u.
Neno "European" linaanza na herufi "e" na linatamkwa "uropian'.
Yaani neno "European" siyo tu linaanza na herufi "e" bali pia linatamkwa kwa kuanza na herufi "u" ambazo zote ni vowels na lazima utamkapo uanze na article "an".
Kuna maneno mengine mfano "hour" linatakwa [our] "heir"[ea] nk japo yanaanza na herufi "h" matamshi yake herufi "h" haifanyi kazi na badala yake vowels "o" na "e" ndizo husimama mwanzoni kwa hiyo ni lazima article "an" iwepo mwanzoni.
Kwa hiyo, ni sahihi ukisema "an hour" eg half an hour before
"An heir" eg he is an heir of the deceased.
"An European" eg It is an European Union.
Umeanza kukata pumzi TL si LOWASSA hivi Kuna chochote alichokua akikisema Lowassa majukwaani Zaid ya ELIMU ELIMU ELIMU huyu anawavua nguo na anawapa wananchi ELIMU YA URAIA na kutambua haki ZAO wameamkaa sasaNi dhahiri ujio wa Tundu Lissu umebadili upepo wa kisiasa, Mihemko ni jambo la kawaida kwenye nyakati kama hizi, Mwaka 2015 tuliona watu wakideki barabara kwa ajili ya Mheshimiwa Lowassa ila matokeo ya uchaguzi yalikuwa tofauti na matarajio ya wengi, Naimani wapinzani walijifunza na uzuri bado muda upo wa kurekebisha makosa na kuzingatia ushauri wa mheshimiwa membe aliotoa siku ile pale airport, huwezi kuiondoa CCM kwa kutegemea tu ukubwa wa mikutano ya majukwaani, inahitajika mikakati madhubuti kwenye ngazi za vitongoji, vijiji, kata hadi halmashauri ili upinzani ushinde uchaguzi, ni vizuri ikumbukwe tume iliyopo sio huru na dalili za kuwepo kwa upendeleo kwa chama tawala zimeshaonekana kwenye mchakato wa uchaguzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msingi wa hoja yangu ni kuwataka wapinzani kutobweteka kwa kuangalia tu ukubwa wa mikutano ya majukwaani, naelewa fika tofauti iliyopo kati ya Lowassa na Lissu ila wanapaswa kutorudia makosa ya 2015Umeanza kukata pumzi TL si LOWASSA hivi Kuna chochote alichokua akikisema Lowassa majukwaani Zaid ya ELIMU ELIMU ELIMU huyu anawavua nguo na anawapa wananchi ELIMU YA URAIA na kutambua haki ZAO wameamkaa sasa