Wacha ujinga hujajenga kwa hela za Wazaz wako umejenga kwa Kodi zetu na mlizotia mifukoni ni nyingi zaid ya mlizozipeleka ktk maendeleoPale Genge la nyumbu linapokaa chini ya miundo mbinu mizuri iliyojengwa na ccm wakitiana ujinga.
Asante Lissu walau tumeanza kupata nuru!!! Ilifika pahala mtu unajifungia ndani.
" The storm is almost over"
My apologyMkuu nitake radhi ni fedheha kubwa Sana kwangu na familia kua mshirika wa hao manyang'au
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa mbishi kama kenge.Hahaha! Umenikumbusha mbali sana.
Article "an" inatumika mwanzoni mwa maneno na majina yanayoanza na au kutamkwa mwanzoni na herufi za vowels yaani a e i o u.
Neno "European" linaanza na herufi "e" na linatamkwa "uropian'.
Yaani neno "European" siyo tu linaanza na herufi "e" bali pia linatamkwa kwa kuanza na herufi "u" ambazo zote ni vowels na lazima utamkapo uanze na article "an".
Kuna maneno mengine mfano "hour" linatakwa [our] "heir"[ea] nk japo yanaanza na herufi "h" matamshi yake herufi "h" haifanyi kazi na badala yake vowels "o" na "e" ndizo husimama mwanzoni kwa hiyo ni lazima article "an" iwepo mwanzoni.
Kwa hiyo, ni sahihi ukisema "an hour" eg half an hour before
"An heir" eg he is an heir of the deceased.
"An European" eg It is an European Union.
Kitu Phonology kinahusika.Neno European sauti unayotamka sio U mkuu....
Unanza na Y....hahaha...fanya kama unaufanya mdomo wako mrefu embu....ndiyo utamke hilo neneo.
Sijui mnazunguzia nini. Ila kama nu mtu a European...ila kama ni muungano kwangu haisikiki vizuri kuutaja muungano wa Ulaya kama a European...bali the.
Hiyo y isikushangaze saana katika fonimu ni sauti ya kipekee saana. Kwanza inatamkiwa kwenye kaakaa gumu...lakini pia ukiingia ndani y ni irabu lakini pia konsonanti.
Samahani nimeeleza ambavyo sikuulizwa.
Chadema ikipata Majimbo zaidi ya 05 , nipigwe ban hapa JFCCM LAZIMA TUMTAFUTE ALIYETUDANGANYA KUWA CHADEMA IMEKUFA TUKAJISAHAU NAONA KAMA CCM INAENDA KUWA CHAMA CHA UPINZANI NASISI LUZUKU ZITAKUWA HAZITOSHI LAZIMA TUTAFUTANE
Fungueni thread ya lughaHahaha! Umenikumbusha mbali sana.
Article "an" inatumika mwanzoni mwa maneno na majina yanayoanza na au kutamkwa mwanzoni na herufi za vowels yaani a e i o u.
Neno "European" linaanza na herufi "e" na linatamkwa "uropian'.
Yaani neno "European" siyo tu linaanza na herufi "e" bali pia linatamkwa kwa kuanza na herufi "u" ambazo zote ni vowels na lazima utamkapo uanze na article "an".
Kuna maneno mengine mfano "hour" linatakwa [our] "heir"[ea] nk japo yanaanza na herufi "h" matamshi yake herufi "h" haifanyi kazi na badala yake vowels "o" na "e" ndizo husimama mwanzoni kwa hiyo ni lazima article "an" iwepo mwanzoni.
Kwa hiyo, ni sahihi ukisema "an hour" eg half an hour before
"An heir" eg he is an heir of the deceased.
"An European" eg It is an European Union.
Kuanzisha kitu haimaani umri mkubwa
Na Idiot ni neno linalotumiwa na vijana wenye mihemuko.
Tulikwisha ona watawala na chaguzi zao.
Kwa huyu Lisu anafanana utawala wa Chembeya.
Una mjua huyo mtawala?
Chembeya alinyakua na kuwa mtawala kwa miezi 6 , jeshi la vijana lililomuweka madarakani liliandamana kumwita msaliti baada ya kushindwa kuwapa ajira kama alivyo waahidi. kilichofuatia walimuua kwa mawe.
Hawachelewi kusema ni picha za kwenye fiesta ya mwaka jana.Kule Dodoma sijui wana hali gani akina haraka haraka na mtu wao. Hii imevuraga kabisa mkutano wao wa kesho huko watakakofanyia, mtawasikia wakisema vitu visiyo eleweka na hata kuvunja sheria za uchaguzi kutokana na panic. Katika panic hiyo wanaweza kuahidi hata kuanza ujenzi wa roketi kubwa (Satellite) na kulirusha anga za mbali ili kumonitor nyendo za wapinzani
Unadhani kila mtu ni aidha chadema au ccm,!!.. wengine sie watazamaji tu, sababu twajua uchaguzi ni maigizo ya kweli ili kuridhisha wakubwa tusikose mikopo na misaada, ndiyo maana hakuna tume huruNamukipindua matokeo nchi haitawaliki tena tuna anza na nyinyi kwanza
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Huwezi shindana na dola, ushasikia neno dola itakuanguki.. usiombeThis time kuna watangaza matokeo watakufa muda huo huo wakishatangaza tu
Mahaba baba wala hakuna dawa! Huyu ndiye aliyesubiriwa kwa muda mrefu! Magufuli usicheze na uchaguzi huu utaishia the HagueHuko Mara Watavunja Rekodi ya Tanzania.
Ila kila Siku Lissu anaongeza idadi ya wahudhuriaji kuna uchawi gani?[emoji23][emoji23]
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
Yaani nakwambia hizi kanda za ziwa, Kaskazini hatuna tatizo, Nyanda za juu kusini, magharibi Magu kwisa habari yakee!Cdm wakipiga Mwanza vizuri, Dar, Mbeya na kusini, Magufuli arudi kupumzika Chato tu
Nashauri kampeni za cdm zifungiwe Mwanza, Dar sina hofu nayo hata kidogo.Yaani nakwambia hizi kanda za ziwa, Kaskazini hatuna tatizo, Nyanda za juu kusini, magharibi Magu kwisa habari yakee!