Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Asante Lissu walau tumeanza kupata nuru!!! Ilifika pahala mtu unajifungia ndani.
" The storm is almost over"

Kweli asee, wale kijani vindaki ndaki walikua wanatamba jamani..... walikua wana kauli za kibabe kama vile nchi mali yao.... lakini wapenda mabadiliko tulisimama, hatimae sasa wapo wanaounga mkono nao kuanza kuogopa...

Lowassa mwenyewe kamtoa hofu mkuu hahahaha
 
Umefika wakati kuwe na maridhiano.watanzania wawe tayari kuanza kubabadilishana uongozi kati ya ccm na wapinzani. Tujiandae kama itatokea. Ni kosa kuamini uongozi ni wa ccm pekee. Tukijiandaa ni vizuri tutabaki na amani milele

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha! Umenikumbusha mbali sana.

Article "an" inatumika mwanzoni mwa maneno na majina yanayoanza na au kutamkwa mwanzoni na herufi za vowels yaani a e i o u.

Neno "European" linaanza na herufi "e" na linatamkwa "uropian'.

Yaani neno "European" siyo tu linaanza na herufi "e" bali pia linatamkwa kwa kuanza na herufi "u" ambazo zote ni vowels na lazima utamkapo uanze na article "an".

Kuna maneno mengine mfano "hour" linatakwa [our] "heir"[ea] nk japo yanaanza na herufi "h" matamshi yake herufi "h" haifanyi kazi na badala yake vowels "o" na "e" ndizo husimama mwanzoni kwa hiyo ni lazima article "an" iwepo mwanzoni.

Kwa hiyo, ni sahihi ukisema "an hour" eg half an hour before

"An heir" eg he is an heir of the deceased.

"An European" eg It is an European Union.
Wewe jamaa mbishi kama kenge.

Unakoelekea utasema "an university student"
 
Neno European sauti unayotamka sio U mkuu....

Unanza na Y....hahaha...fanya kama unaufanya mdomo wako mrefu embu....ndiyo utamke hilo neneo.

Sijui mnazunguzia nini. Ila kama nu mtu a European...ila kama ni muungano kwangu haisikiki vizuri kuutaja muungano wa Ulaya kama a European...bali the.

Hiyo y isikushangaze saana katika fonimu ni sauti ya kipekee saana. Kwanza inatamkiwa kwenye kaakaa gumu...lakini pia ukiingia ndani y ni irabu lakini pia konsonanti.

Samahani nimeeleza ambavyo sikuulizwa.
Kitu Phonology kinahusika.

Good boy
 
Tatizo vijana wengi wanapenda mabadiliko ila hawajiandikisha kwenye daftari la kudumu.
 
Hahaha! Umenikumbusha mbali sana.

Article "an" inatumika mwanzoni mwa maneno na majina yanayoanza na au kutamkwa mwanzoni na herufi za vowels yaani a e i o u.

Neno "European" linaanza na herufi "e" na linatamkwa "uropian'.

Yaani neno "European" siyo tu linaanza na herufi "e" bali pia linatamkwa kwa kuanza na herufi "u" ambazo zote ni vowels na lazima utamkapo uanze na article "an".

Kuna maneno mengine mfano "hour" linatakwa [our] "heir"[ea] nk japo yanaanza na herufi "h" matamshi yake herufi "h" haifanyi kazi na badala yake vowels "o" na "e" ndizo husimama mwanzoni kwa hiyo ni lazima article "an" iwepo mwanzoni.

Kwa hiyo, ni sahihi ukisema "an hour" eg half an hour before

"An heir" eg he is an heir of the deceased.

"An European" eg It is an European Union.
Fungueni thread ya lugha

Mbaaaf wahed
 
Usitake watu waamini kuwa sisi watu wazima hatuna akili ya kujua mema na mabaya. Magufuli ni katili. Wazee hatuta mpigia kura. Atatangazwa na NEC kuwa mshindi lakini nguvu ya umma itatumika.
Kuanzisha kitu haimaani umri mkubwa
Na Idiot ni neno linalotumiwa na vijana wenye mihemuko.
Tulikwisha ona watawala na chaguzi zao.
Kwa huyu Lisu anafanana utawala wa Chembeya.
Una mjua huyo mtawala?
Chembeya alinyakua na kuwa mtawala kwa miezi 6 , jeshi la vijana lililomuweka madarakani liliandamana kumwita msaliti baada ya kushindwa kuwapa ajira kama alivyo waahidi. kilichofuatia walimuua kwa mawe.
 
Kule Dodoma sijui wana hali gani akina haraka haraka na mtu wao. Hii imevuraga kabisa mkutano wao wa kesho huko watakakofanyia, mtawasikia wakisema vitu visiyo eleweka na hata kuvunja sheria za uchaguzi kutokana na panic. Katika panic hiyo wanaweza kuahidi hata kuanza ujenzi wa roketi kubwa (Satellite) na kulirusha anga za mbali ili kumonitor nyendo za wapinzani
Hawachelewi kusema ni picha za kwenye fiesta ya mwaka jana.
 
Huko Mara Watavunja Rekodi ya Tanzania.

Ila kila Siku Lissu anaongeza idadi ya wahudhuriaji kuna uchawi gani?[emoji23][emoji23]
Mahaba baba wala hakuna dawa! Huyu ndiye aliyesubiriwa kwa muda mrefu! Magufuli usicheze na uchaguzi huu utaishia the Hague
 
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]

Siandiki waraka hapa.

Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.

Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.

Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.

Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.



ni mwenyekiti wa kijiji anapita nn, ebu kapitie mapokezi ya magu kwanza ndo ujue maaana ya jiji kusmama
 
Back
Top Bottom