Athuuuuubutu!Lissu aongezewe ulinzi. Jamaa alivyo na roho mbaya anaweza kujaribu kumuua kwa mara ya pili kabla 28 Oktoba haijafika.
Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm
Hiyo sahau, hawezi hawezi tena.Lissu aongezewe ulinzi. Jamaa alivyo na roho mbaya anaweza kujaribu kumuua kwa mara ya pili kabla 28 Oktoba haijafika.
[emoji23][emoji23] RELAX!Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm
Mkiiba kura mwaka huu tunaitia kiberiti nchi yetu nzuri kwa mikono yetu wenyewe kumbuka mvunja nchi ni mwananchi. Msijaribu.Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm
Mkuu Mbeya Mwanza ,Songwe tayari siku nyingi
Saivi wameshituka hakuna mwananchi anapenda CCMCCM wamewekeza kwenye maneno na kulazimisha watu waone wamefanyiwa mazuri wakati ukweli wanaugua njaa kali.
Magufuli anapata presha baada ya kuona watu hawana habar na ulaghai wake wa ndege, madaraja na mitaro yake.
Jamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm