Magufuli ana roho ya kukataliwa! Hebu ona rafu zote za miaka 5, airtime ya kutosha na bado now anajitangaza utafikiri ndo mara ya kwanza kugombea!!Hawa majamaa kama wamepoteana vile mapema wakati mechi hata haijafika half time , kila siku wanashambuliwa wao wametepeta pamoja na media zote kuzilazimisha ziwafanyie promo,hii karne ya 21 wananchi wamesoma hadi vijijini hawadanganywi kwa propaganda za kwenye tv na redio watu wanaangalia real life
Tayari Wingu LIMETANDA.....Mwezi ujao upepo utabadika KABISAAAA.. CCM hawataamini.. Itatokea movement kubwa haijawahi tokea..
CCM ikimbize mwenge walau wiki mbili aisee anga limeikataaTayari Wingu LIMETANDA.....
Huyu jamaa anatisha kwakweliTayari Wingu LIMETANDA.....
Josephat Mwingira japo kuna mazingira magumu ya kuongea ukweli awamu hii, Sauti ya Unabii imenena.Huyu jamaa anatisha kwakweli
Uonevu waliopata five years unatosha haya ndio majibu.Vijana MNA maneno, haya malizieni , tuone kama kesho hamtalilia Utawala mpya.
Mihemko ya vijana inachekesha.
Vijana MNA maneno, haya malizieni , tuone kama kesho hamtalilia Utawala mpya.
Mihemko ya vijana inachekesha.
Walisema uchaguzi huu hawatatumia wasanii, kofia& tshir na mabango!! Lakini imekuwa kinyume chake!!Nayaona mabango makubwa ya magufuli nchi nzima kitu ambacho sijawahi kukiona kwenye historia ya uchaguzi tanzania
CCM LAZIMA TUMTAFUTE ALIYETUDANGANYA KUWA CHADEMA IMEKUFA TUKAJISAHAU NAONA KAMA CCM INAENDA KUWA CHAMA CHA UPINZANI NASISI LUZUKU ZITAKUWA HAZITOSHI LAZIMA TUTAFUTANE
Hana mabango, hatembei na wasanii, hafungi shule wanafunzi waje, hatishii watumishi wa serikali waje, hajajenga flyover, wala railways, wala kununua ndege.
Lakini MAELFU WANAMFUATA.
LISSU ANAKERA JAMANI?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hata Mimi ningepata HEARTATTACK !!!
Mkuu hii kauli aliitoa lini?Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).
Result? It doubled.
I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb